Tetesi: MKT wa CHADEMA, Freeman Mbowe, Kuanza Ziara ya Ulaya na US Kupitia Dubai 28/08/2016? !.

Wazushi ndivyo walivyo, nadhani unakumbuka barua fake kutoka kwa Mwenyekiti wa kamati ya maadili kwenda kwa Mbowe na Lissu iliyoandikwa na Buku 7.
Mpaka kitaeleweka tu dhidi ya huyu dikteta uchwara mwendo kasi.

Alutta continua! continua!

Kamanda hao waliotoa kibali ndio waliopenyeza habari hizo,na ndio maana serikali inajiamini kwa tambo zoote inajua wapi pa kuanzia
 
Pasco hauna tofauti na Dida wa 100.5 anzisha kazi kipindi chako cha kuchamba vinginevyo watadhani unavaa Madela.
 
Pasco ile habari yako ya kigogo mkubwa kutumbuliwa wiki kadhaa nyuma ilikufa kibudu... Naisubiria hii sasa ili niendelee kumjua Pasco wa JF, be 1st to know
 
Pasko katika ubora wake. Everyone has a price. Wengine ni vile tu bei zao hazijafika. But everyone has a price. Trust me.
 
Hii ndo tabia ya Mbowe hata kipindi cha Uchaguzi aliuza chama kwa Lowasa na wakati wa matokeo ya Uchaguzi alikimbilia marekani. Kinachomkimbiza nini? Kwanini asiairishe hadi tarege 1 sept ipite asije akasema hayakufanikiwa kwasababu hakuwepo
 
Achaa kiki zakishamba wakat kaenda ulaya amekuaga mbowe tunae hapa oficn sasa wala hana ratiba yakuondoka, skia nkuambie kama huna nakara yakuandika nakuomba kaakmya kbisaa usitudhalilishe kijana, nadhan umenisoma This last warning!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…