kweleakwelea
JF-Expert Member
- Nov 29, 2010
- 3,072
- 1,545
Me namwona asiye na wizara maalum Kama mtu maalum kabisa serekalini.
1. Awe na nguvu za ziada za kiafrika
2. Mtu mzima ambaye anaweza kutuliza mihemko serekalini na kwenye vikao vyao
3.mwenye uwezo wa kudhibiti mienendo kwenye Baraza na kuonya
4. Mwenye uwezo wa kumshairu raisi inapofikia pagumu hili swali linahusika "ungekiwa wewe raisi ungefanyaje"
5. Lazima Ni mzee wa busara
1. Awe na nguvu za ziada za kiafrika
2. Mtu mzima ambaye anaweza kutuliza mihemko serekalini na kwenye vikao vyao
3.mwenye uwezo wa kudhibiti mienendo kwenye Baraza na kuonya
4. Mwenye uwezo wa kumshairu raisi inapofikia pagumu hili swali linahusika "ungekiwa wewe raisi ungefanyaje"
5. Lazima Ni mzee wa busara