Mkurugenzi aliyetenguliwa Mafia, kuchunguzwa kwa Ubakaji

Inawezekana kasingiziwa maana kwa sisi waislamu kubakana siyo rahisi kwa sababu ya uwezekano wa kuwa zaidi ya mke mmoja. Hilo zengwe kachezewa
 
Duuuh hatariiii.
 
Yani huyu ni shetani kabisa, hata kama tunaichukia CCM siwezi kuunga mkono huu upuuzi wa huyu mwanamke.

Binti wa miaka 18 wa sasa si mtoto kabisa.
Hata kama angekuwa na miaka 30 ila kubaka ni jinai
 
Niwashauri Wanaume hata kama upwiru umekubana vipi usiwachokoze mabinti wa nyumbani kwako lazimisha akili yako iwachukulie km wanao hata awe mfanyakazi sijui shemeji hao ni km watoto wako tu.

Ni bora utafute gubegube huko nje likupe hata gono kuliko effect ya kumfanya mtu wa ndani ya familia yako ambaye si mkeo..

Pole kwa huyo x mkurugenzi mahakama itaamua kulingana na ushahidi ingawa yataisha ila mzee huyo atabaki na sonono maisha yake yote.
 
😂 kwa style hii ndio maana hutokaa upate. Wenzako wanapiga hela waongeze mali , wewe unapiga hela uongeze michepuko
 
Kwahiyo mke wewe uko tayari kuangamiza familia yako Kwa excuse hii.

Ziko njiani nyingi za kuliweka hili Sawa, kwahiyo Mume akienda jela wewe ndio furaha?

Huyo Bodaboda anayekupanuwa atawalipia school fees wanao?
Yeye kupanuliwa na boda boda ni sawa ila mume kumbato katoto kabichi anaona binti ata mpindua
 
Regardless Hakuna aliyeshikwa Kwa nguvu na binti wa 16+ siyo kinda.
 


Watamfunga huyo, ila mazingira yatawekwa atatoka kwa rufaa.
 
Shule ulienda kusomea ujinga? Hiyo 16 wewe umeona ni sawa au zaidi ya 18?
Miaka 16 walisema Ila sasa wamepindua umri wameweka 18 sababu Sheria ya Mtoto hairuhusu mtoto kufanya kazi za ndani miaka 16 ilitakiwa awe Shule, hio ni kesi nyingine, ushanielewa?
 
Kwahiyo mke wewe uko tayari kuangamiza familia yako Kwa excuse hii.

Ziko njiani nyingi za kuliweka hili Sawa, kwahiyo Mume akienda jela wewe ndio furaha?

Huyo Bodaboda anayekupanuwa atawalipia school fees wanao?
Sikutarajia hii comment kutoka kwako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…