Mkurugenzi amsimamisha kazi Mwalimu aliyewatuma wanafunzi kupakia kuni zake wakapata ajali

Mkurugenzi amsimamisha kazi Mwalimu aliyewatuma wanafunzi kupakia kuni zake wakapata ajali

Nilifika shule mmoja mi na mwenzangu kuanza kazi ya kufundisha, tulikuta wenyeji wetu wakatupokea tukawa tunaachiana zamu kupika wawili wawili. Mchana tukawa tunapikiwa na wanafunzi wa kike wakubwa wawili. Walimu wawili walihama kambi tukabaki wawili na utaratibu wetu wa kupikiwa mchana na kuchotewa maji. Mwisho nilibaki mwenyewe nikaona isije kuwa balaa nikaachana na utaratibu wa kuhudumiwa na wanafunzi tena wanafunzi wenyewe wa kike wamekamilika kila idara miilini mwao. Pamoja na ku sense danger na kuachana kuwatumia wanafunzi lilipangwa jaribio la kunipakazia kuwa nawachakata wanafunzi hao, hao hao wanafunzi wakipangwa watoe ushaidi mbele ya school baraza. Ilikuwa nipakaziwe kashfa ya kulabua wanafunzi ila kashfa hiyo ilipanguliwa kwa nguvu zote na wanafunzi wenzao walioona nafanyiwa njama kwa chuki tu toka kwa walimu wenzangu niliowazidi kufundisha kwa weledi mpaka wanafunzi wakanipenda ikawa wivu
Kumbe na nyie nyie waalimu hamna akili pumbavu zenu.
 
Nihemkwe juu ya nini?Kama mtu hajui miongozo na ukomo wa kazi yake na akaadabishwa ndiyo inakuwa mihemko basi hilo neno libadilishwe maana kimatumizi.
Unajitoa ufahamu..

Tafuta Cha asubuhi tu hapo, kuliko kupotezeana muda.
 
Back
Top Bottom