KERO Mkurugenzi Garda World jitafakari, wafanyakazi tumekuchoka

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Mkuu Jamii ya watu wa Kaskazini wakipata kazi kwa wazungu wanatabia ya kunyanyasa waswahili wenzao, Wapo tayari kuwazulumu Wa Afrika wenzao ili kumtajirisha mgeni. Wanawapenda wazungu kama Mungu wao wa pili.
 
Mkuu Jamii ya watu wa Kaskazini wakipata kazi kwa wazungu wanatabia ya kunyanyasa waswahili wenzao, Wapo tayari kuwazulumu Wa Afrika wenzao ili kumtajirisha mgeni. Wanawapenda wazungu kama Mungu wao wa pili.
kabsa aisee halafu jamaa ni mmsai lkn jau sana sisi tulitegemea yeye ndio awe mkombozi wetu lkn imekuwa sio kibaya zaidi wanaziba hata hao wazungu tusiwaone😂😂
 
Hata kama kampuni inapitia kipindi kigumu ndio ushindwe kufanya mikutano na wafanyakazi wako zaidi ya miaka 3 na kibaya zaidi hawakujui🤔🤔🤔
 
Kmmke Tatz walinzi wengu shule ndogo sa jamaa anawachukulia poaa.
Kuchukuliwa poa ni matokeo ya njaa iliokithiri mzee. Kuna kazi za kitumwa sana nchini humu nasikitika kwamba hamna chombo ambacho kinasimamia maslahi ya wafanyakazi kwa ujumla.

Mtu analipa mshahara ambao hata yeye nafsi inamsuta ila kwa kuwa anajua watu wana njaa watafanya tu kazi.
 
Nilikuwa sijui kama Ultimate Security ndiyo Garda World maana nilijiuliza hii kampuni mbona imekuwa ghafla tu?

Umefanya kazi miaka 10 umepewa Shake hands ya 1.2m? Aiseee watu wana roho mbaya sana!!

Huyo Luqmay mpelekeni CMA tu ataenda kutema NDOANO.
 
Duh,kazi kweli kweli.Harakati za mtu mweusi ni ngumu sana Kamanda.
Kiufupi kampuni nyingi ni za unyonyaji,na hii inatokana na sera mbovu ya Serikali na Serikali kuongozwa na wahuni,machawa,vizabinazabina.
Hakuna policy iliyo balanced.
Asilimia 80%,wanalia Kila kona.ila 20% ndo wahuni wanakula keki ya Taifa huku wakilindwa na wajinga.
 
Haya naneno ungeweza kuyasema kwake Kama ungezuia gari yake getini
 
Mtaje kwa majina yake yotee

Anaitwaa Goodluck Lukumay fanyia kazi hayo yotee aliyosema mtumishi wako ,La sivyo utakuja kuwa kama 4DAYS ilivyopoteaaaaa
 
Huyo mkurugenzi mbongo ndio miyeyusho. Wazungu kwenye maslahi hawanaga mbambamba. Akishawekwa mbongo anamfundisha boss ugai gai 🤣 halafu yeye anakuwa analipwa mshahara wa kimataifa ila wenzie anawakadiria wawe wanalipwa laki 3/3. Stupid kabisa.
 
Sasa kampuni inayomilikiwa na wazungu by 100% inakuaje na ubabaishaji? Au ni wazungu kutokea Mumbai 🤣?

Hii kampuni nilichoona Kuna magumashi yalifanyika, Ultimate, KK, na kampuni zingine Kwa nje ni kama wameungana kuwa Garda World lakini ndani zimebaki vile vile. Kuna baadhi ya mambo yana misuguano sana kwenye uendeshaji na utawala.

SGA na G4S hawakuingia kwenye hilo shirikisho. Na Kuna baadhi ya maeneo Garda wamepoteza kazi zikachukuliwa na SGA na G4S.
 
Mkuuu wazungu wengii wakiona wanapoteana au kampuni inapumulia mashine wanasepa wanatafuta mtu mwingine hasa hii rangi nyeusi ili waendeshe kampuni kibongobongo ili iweze kuservival mkuu
 


Hebu angalia wenzao wa canada wanavyolipwa🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…