KERO Mkurugenzi Garda World jitafakari, wafanyakazi tumekuchoka

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Ni mfumo tuu watu wana taka kuonana onana kila saa na ndio mwanzo wa kuharibiana CV bwana Luq hataki 😆
Kwenye huo mfumo kuna kama socket una bonyeza mnaweza kusikilizana na kuongea wote wawili
Majungu tu. Ukiwaendekeza Wabongo makazini wataharibia haraka sana.
 
Kijana mambo ya kunianika huku sio vizuri 😊
 
Kuna kazi yao niliwahi kufanya arusha,, walichukua tenda hapo International school of moshi (ISM) ya kuwafungia electric fence na camera za ulinzi,, Aloooo jamaa kwenye malipo ni wababaishaji sana
 
Majungu tu. Ukiwaendekeza Wabongo makazini wataharibia haraka sana.
we jamaa kiazi sana na sina shaka kama huko nyuma uko salama 🌈 huwezi Kila kitu ukaingiza maneno majungu nyie ndio mnaoteka raia mitaani we ungekuja hapa Kwa fact na najua ww ni member wa Garda world badilikeni hata hao walinzi sio kama wa zaman asaiv walinzi wengi 60% ni graduate walio kosa kazi Kwa Sheria wanajua sio kama zaman umsukume tu kama mtt badilika mkuu
 
serikali yetu huwa hawatilii mkazo vitu kama hivi sijui kwann pale gada tumeungana na kk lkn upande wa kk mh mwinyi ni share holder wa kampuni lkn hawana say yoyote ni kama hawaijui.
 
Kmmke Tatz walinzi wengu shule ndogo sa jamaa anawachukulia poaa.
nimeheshimu hiyo profile sura ya mwamba ningekujibu ovyo....binafsi Nina diproma hiyo ni elimu ndogo lkn Kuna Wana kibao graduate wanapiga part time kusikilizia michongo lkn tukikutana malindoni na watu dizaini yako mnatuleteaga dharau sana..
 
🤣🤣🤣akina mafwele wako wengi mi nadhani ni kuto kuwa na hofu ya mungu unajua Kuna watu wamekaa wanajua huyu ndio mkombozi wetu kumbe vise versa😭😭
 
Miungu watu kwenye maofisi ni wengi Sanaa
Kuna NGO moja iko Moshi jamani Yule boss ni kizunguzungu anapenda kuabudiwaaa anapelekesha watu kama kawazaa ye ye. Hataki mfanyakazi aambaye yuko na akili huru

Mwanamke wake ambaye hata elimu yake haieleweki ndo anampandisha cheo daily wakati kwenye ukaguzi wa wafanyakazi yule demu ndo anafanya vibaya Sana.

Mwenyekiti wa body amemuweka mahali ambapo anammudu.

We baba Kiama yako inakuja mda si mrefu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…