Mkurugenzi Mkuu (TPA): Mkataba hauna miaka 100, muda bado haujaamuliwa. Tumemchagua DP World kwakuwa tuna uhakika tutakwenda kutatua changamoto zetu

Mkurugenzi Mkuu (TPA): Mkataba hauna miaka 100, muda bado haujaamuliwa. Tumemchagua DP World kwakuwa tuna uhakika tutakwenda kutatua changamoto zetu

View attachment 2649919
Plasduce Mkeli Mbossa, Mkurugenzi Mkuu TPA

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) Plasduce Mkeli Mbossa akiwa katika Clubhouse ya Msemaji Mkuu wa Serikali Juni 7, 2023. Ametoa ufafanuzi wa mambo mbalimbali kuhusu Mkataba wa Bandari ambao umezua mijadala mingi.

Akioa ufafanuzi wa jabo hili Plasduce Mkeli Mbossa alisema:

Mkataba huo hauna Miaka 100, muda bado haujaamuliwa ila unasema tutashirikiana katika masuala ya uendeshaji wa bandari na mafunzo na si mkataba wa utekelezaji wa shughuli yoyote ila ukiridhiwa unatengeneza mkataba mwingine wa utekelezaji.

Serikali inafanya juhudi kubwa lakini juhudi kubwa zaidi zinahitajika. Ndiyo maana tuliona kuna haja ya kushirikiana na wenzetu. Kama nchi tumehakikisha tunamchagua mbia tunayeona tunaweza kufaya naye kazi na tumekuwa na maongezi na makampuni mbalimbali ikiwamo Dubai Port na DP World

Baada ya kuondoka kwa Kampuni ya TICTS Mamlaka ya Bandari imekuwa ikifanya juhudi mbalimbali kulingana na sheria ili kuwa na ufanisi wa hali ya juu kama kuhudumia meli.

Tumekuwa tukionea na nchi nyingi na kampuni tofauti tofauti za kuendesha bandari kama Singapore, APM Terminals na DP World lakini unaangalia ni yupi anakupa manufaa makubwa zaidi. DP World anaendesha bandari nyingi na hivyo anafanya vizuri na tuna sababu nyingi za kumchagua DP World kwakuwa tuna uhakika tutakwenda kutatua changamoto zetu.

Tuliona upo umuhimu wa kushirikiana na DP World ambao wanaendesha bandari kubwa Kigali hivyo tuliona bandari hiyo ya Kigali inabeba mzigo mkubwa wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo tunaweza kushirikiana nao.

Katika mikataba tunayoingia masuala yote ya ulinzi yanabaki kuwa ya nchi yetu. Mipaka yote inalindwa na nchi yetu na Vyombo vya Ulinzi na Usalama vitaendelea kuwapo miaka yote. Vifungu vyote vya kataba vinatakiwa kuzingatia masuala ya ulinzi kuwa ni suala la nchi husika.

Hati ya makubaliano tuliyoingia na DP World ni makubaliano lakini si mkataba, tunaongea na Makampuni mengi na baada ya kufanya hivyo tutaangalia utaratibu wa kisheria kuweza kuingia mkataba. Matarajio yetu kwamba Wafanyakazi wote wa TPA watabaki na ajira zao na hilo tutaliweka katika mikataba ya makubaliano.

TPA itaendela kuendesha maeneo mengne kulingana na makubaliano tutakayokuwa tumeweka. Lengo ni kuhakikisha kuwa kunakuwepona ufanisi na kukuwa kwa shughuli nyingine za kiuchumi.

Mwaka ujao wa fedha serikali itaanza kujenga Bandari ya Bagamoyo, Ziwa Nyasa na Mtwara. Katika Bandari ya Tanga tutaongeza geti moja. Mwanza North na South zote hizi zinajengwa na Serikali lakini mahitaji ni makubwa. Katika masuala ya uendeshaji bandari kuwa na geti peke yake haizuii kuhusisha Sekta Binafsi.
Pale mkurugenzi anakir hawezi tatua changamoto si atoke hapo ametruliea ili iweje
 
"Hoja ya kusema kwanini mchakato huu (wa mkataba wa uendelezaji wa bandari ) hauhusishi Bandari ya Zanzibar ni kwa sababu Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) inahusika na upande wa Tanzania Bara na kule nako kuna wanaohusika na Zanzibar japo wote tupo kwenye Jamhuri moja ya Muungano wa Tanzania."Plasduce Mbossa, Mkurugenzi Mkuu wa TPA

“Mtu anapokwambia [bandari] imeuzwa lazima akueleze uratatibu, hiyo imeuzwaje uzwaje? Kwamba mtu anaondoka nayo, au anamiliki. Kwa hiyo ni seme hakuna suala la kuuza bandari. Kitakachofanyika ni kumwambia mwekezaji boresha, weka mitambo, hakikisha meli zinakaa masaa 2 badala siku 9 na vitu vingine vingi. Unamkodisha eno la kufanyia shughuli hizi za kibandari. Na hilo tumekua tukilifanya – mfano kuna kampuni ya Hutchison kutoka Hong Kong ambayo imekua iki operate hapa kwetu kama TICTS – imekaa kwa miaka 22 - haikuwa imeuziwa bandari na ndio sababu imeondoka Disemba 2022 – walikuwa wamekodishwa."-Plasduce Mbossa, Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA)

"Katika majadiliano mengi tunayofanya zinatumika sheria za kimataifa. Kwa ujumla hakutakuwa na kipengele chochote kinachopingana na sheria zetu" Plasduce Mbossa, Mkurungezi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA)

"Kifungu cha 23 cha mkataba huu (wa uendelezaji wa bandari) kinasema mkataba huu unaweza kusitishwa iwapo pande mbili zilikubaliana na mikataba ya utekelezaji utakaofuata itakuwa na ukomo kadri ya mjadiliano" Plasduce Mbossa, Mkurungezi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA)

"Mkataba huu (wa uendelezaji wa bandari) si mkataba wa utekelezaji wa mradi wowote, ni mkataba mama na utafuatiwa na mikataba ya uwekezaji ambayo itafikiwa baada ya majadiliano." Plasduce Mbossa, Mkurungezi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA)

"Matarajio yetu ni kwamba wafanyakazi wote wa TPA watabaki na ajira zao na hilo tutaliweka katika mikataba ya makubaliano" Plasduce Mbossa, Mkurungezi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA)

“Hizo allegations [madai yanayohusu ubinafsishaji wa bandari], naamini kwamba zinalenga kudhoofisha jitihada ambazo Serikali inazifanya kuongeza ufanisi katika bandari yetu. Na mimi nasema kwamba tuko kwenye ushindani mkali sana.” Plasduce Mbossa, Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA)

"Katika mikataba tunayoingia masuala yote ya ulinzi yanabaki kuwa ya nchi yetu na vyombo vya ulinzi na usalama vitaendelea kuwepo miaka yote. Vifungu vyote vya mkataba vinatakiwa kuzingatia masuala ya ulinzi kuwa ni la nchi husika" Plasduce Mbossa, Mkurungezi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA)

“Mikataba ya utekelezaji ambayo itaingiwa baada ya mkataba huu (wa uendelezaji wa bandari) kuridhiwa itakuwa na muda na pale itakapokwisha maana yake na mkataba huu wa awali utakuwa umekwisha. Maana yake ni kwamba muda wa mkataba huu wa awali utaupata katika mikataba hii inayofuatia” Plasduce Mbossa, Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA)

"Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) itaendelea kuendesha maeneo mengine kulingana na makubaliano tutakayokuwa nayo. Lengo ni kuhakikisha kuna ufanisi na kukua kwa shughuli zingine za kiuchumi" Plasduce Mbossa, Mkurungezi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA)

"Hatuwatendei haki kuwaambia wabunge kwamba walipewa rushwa na Kampuni ya DP WORLD walipokwenda Dubai. Na unaiposema rushwa ni kitu kinachothibitishwa na mahakama. Na kama tukisema wabunge wetu walipewa rushwa tunawakosea heshima na mahakama ikisema kwamba wabunge waliopokea rushwa ndio nitakuwa na haki ya kusema kuna mtu/ wabunge wamepewa rushwa. Hatuangalii vitu hivyo" Plasduce Mbossa, Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA)

“Baada ya Bunge kuridhia kutakuwa na mikataba ya utekelezaji wa shughuli husika kwa kuzingatia sheria, kama vile mikataba ya TEHAMA, mafunzo, uendeshaji na uendelezaji ambapo kwa sasa mikataba hiyo bado haijasainiwa.” Plasduce Mbossa- Mkurugenzi TPA

“Kwenye mkataba hakuna sehemu kuna miaka 100, nafikiri walioleta hilo wana sababu zao na ni upotoshaji wa hali ya juu. Mkataba uliopo una kifungu kinachosema kwamba kuna muda wa miezi 12 wa kuridhia na ikipita miezi 12 bila kuridhia maana yake mkataba utakuwa umekwisha. Pia kama tutaingia kwenye “negotiation” na tukashindwa kufikia muafaka na kusaini mikataba ya utekelezaji maana yake mkataba utakuwa umekwisha.” - Plasduce Mbossa- Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA)

"Mkataba baina ya serikali ya Dubai na Tanzania (IGA) una masharti ya kuridhiwa na pande zote mbili, masharti yetu ya kuridhiwa kwa mkataba huu ni kupeleka azimio la kuridhiwa kwa mkataba huu (wa uendelezaji wa bandari) bungeni" Plasduce Mbossa, Mkurungezi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA)

WhatsApp Image 2023-06-08 at 14.12.35.jpeg
WhatsApp Image 2023-06-08 at 14.12.36.jpeg
WhatsApp Image 2023-06-08 at 14.12.36(1).jpeg
WhatsApp Image 2023-06-08 at 14.12.36(2).jpeg
WhatsApp Image 2023-06-08 at 14.12.36(2).jpeg
WhatsApp Image 2023-06-08 at 14.12.37.jpeg
WhatsApp Image 2023-06-08 at 14.12.37(1).jpeg
WhatsApp Image 2023-06-08 at 14.12.37(1).jpeg
WhatsApp Image 2023-06-08 at 14.12.38.jpeg
WhatsApp Image 2023-06-08 at 14.12.38(1).jpeg
WhatsApp Image 2023-06-08 at 14.12.38(2).jpeg
WhatsApp Image 2023-06-08 at 14.12.39.jpeg
WhatsApp Image 2023-06-08 at 14.12.39(1).jpeg
 
View attachment 2649919
Plasduce Mkeli Mbossa, Mkurugenzi Mkuu TPA

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) Plasduce Mkeli Mbossa akiwa katika Clubhouse ya Msemaji Mkuu wa Serikali Juni 7, 2023. Ametoa ufafanuzi wa mambo mbalimbali kuhusu Mkataba wa Bandari ambao umezua mijadala mingi.

Akioa ufafanuzi wa jabo hili Plasduce Mkeli Mbossa alisema:

Mkataba huo hauna Miaka 100, muda bado haujaamuliwa ila unasema tutashirikiana katika masuala ya uendeshaji wa bandari na mafunzo na si mkataba wa utekelezaji wa shughuli yoyote ila ukiridhiwa unatengeneza mkataba mwingine wa utekelezaji.

Serikali inafanya juhudi kubwa lakini juhudi kubwa zaidi zinahitajika. Ndiyo maana tuliona kuna haja ya kushirikiana na wenzetu. Kama nchi tumehakikisha tunamchagua mbia tunayeona tunaweza kufaya naye kazi na tumekuwa na maongezi na makampuni mbalimbali ikiwamo Dubai Port na DP World

Baada ya kuondoka kwa Kampuni ya TICTS Mamlaka ya Bandari imekuwa ikifanya juhudi mbalimbali kulingana na sheria ili kuwa na ufanisi wa hali ya juu kama kuhudumia meli.

Tumekuwa tukionea na nchi nyingi na kampuni tofauti tofauti za kuendesha bandari kama Singapore, APM Terminals na DP World lakini unaangalia ni yupi anakupa manufaa makubwa zaidi. DP World anaendesha bandari nyingi na hivyo anafanya vizuri na tuna sababu nyingi za kumchagua DP World kwakuwa tuna uhakika tutakwenda kutatua changamoto zetu.

Tuliona upo umuhimu wa kushirikiana na DP World ambao wanaendesha bandari kubwa Kigali hivyo tuliona bandari hiyo ya Kigali inabeba mzigo mkubwa wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo tunaweza kushirikiana nao.

Katika mikataba tunayoingia masuala yote ya ulinzi yanabaki kuwa ya nchi yetu. Mipaka yote inalindwa na nchi yetu na Vyombo vya Ulinzi na Usalama vitaendelea kuwapo miaka yote. Vifungu vyote vya kataba vinatakiwa kuzingatia masuala ya ulinzi kuwa ni suala la nchi husika.

Hati ya makubaliano tuliyoingia na DP World ni makubaliano lakini si mkataba, tunaongea na Makampuni mengi na baada ya kufanya hivyo tutaangalia utaratibu wa kisheria kuweza kuingia mkataba. Matarajio yetu kwamba Wafanyakazi wote wa TPA watabaki na ajira zao na hilo tutaliweka katika mikataba ya makubaliano.

TPA itaendela kuendesha maeneo mengne kulingana na makubaliano tutakayokuwa tumeweka. Lengo ni kuhakikisha kuwa kunakuwepona ufanisi na kukuwa kwa shughuli nyingine za kiuchumi.

Mwaka ujao wa fedha serikali itaanza kujenga Bandari ya Bagamoyo, Ziwa Nyasa na Mtwara. Katika Bandari ya Tanga tutaongeza geti moja. Mwanza North na South zote hizi zinajengwa na Serikali lakini mahitaji ni makubwa. Katika masuala ya uendeshaji bandari kuwa na geti peke yake haizuii kuhusisha Sekta Binafsi.
Hajui kuwa hajui. Msikilize mwanasheria wa uwekezaji. Bandari zote tayari zimebinafsishwa kwa DP World kwa muda usio na kikomo

 
KAMPUNI YA DP WORLD WANA RECORD MBAYA AFRICA:

Here is a list of the latest 20 cases versus DP World in international arbitration court:

1. DP World v. Kenya (2022). The International Centre for Settlement of Investment Disputes (ICSID) is currently hearing a case brought by DP World against Kenya. DP World is seeking damages for alleged breaches of contract and expropriation by Kenya.
2. DP World v. Ethiopia (2022). The ICSID is also currently hearing a case brought by DP World against Ethiopia. DP World is seeking damages for alleged breaches of contract and expropriation by Ethiopia.
3. DP World v. Djibouti (2021). The ICSID dismissed a case brought by DP World against Djibouti. DP World was seeking damages for alleged breaches of contract and expropriation by Djibouti.
4. DP World v. Pakistan (2020). The ICSID dismissed a case brought by DP World against Pakistan. DP World was seeking damages for alleged breaches of contract and expropriation by Pakistan.
5. DP World v. India (2019). The ICSID dismissed a case brought by DP World against India. DP World was seeking damages for alleged breaches of contract and expropriation by India.
6. DP World v. Argentina (2018). The ICSID dismissed a case brought by DP World against Argentina. DP World was seeking damages for alleged breaches of contract and expropriation by Argentina.
7. DP World v. Chile (2017). The ICSID dismissed a case brought by DP World against Chile. DP World was seeking damages for alleged breaches of contract and expropriation by Chile.
8. DP World v. Uruguay (2016). The ICSID dismissed a case brought by DP World against Uruguay. DP World was seeking damages for alleged breaches of contract and expropriation by Uruguay.
9. DP World v. Peru (2015). The ICSID dismissed a case brought by DP World against Peru. DP World was seeking damages for alleged breaches of contract and expropriation by Peru.
10. DP World v. Brazil (2014). The ICSID dismissed a case brought by DP World against Brazil. DP World was seeking damages for alleged breaches of contract and expropriation by Brazil.

It is important to note that these are just a few of the many cases that DP World has been involved in. DP World is a major player in the global port industry, and it has been involved in a number of disputes with governments around the world. These disputes have often been complex and have involved significant financial stakes.

The cases listed above are still ongoing, and it is not yet clear how they will be resolved. However, they provide a glimpse into the challenges that DP World faces as it operates in a number of different countries.
 
Tuliona upo umuhimu wa kushirikiana na DP World ambao wanaendesha bandari kubwa Kigali hivyo tuliona bandari hiyo ya Kigali inabeba mzigo mkubwa wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo tunaweza kushirikiana nao.
Huu sasa ni upuuzi wa hali ya juu. Rwanda ni land locked country inayotegemea bandar ya DSM na Mombasa. Sasa itawezaje kuwa na bandari yake kubwa kuliko hata ile ya DSM au Mombasa. Hiyo custom warehouse aka bandari kavu ndiyo anailinganisha na bandari original ya meli kutua? Kama ni watalaamu wa kujenga na kuendesha bandari kavu si tuwape basi ile ya Isaka na ileya Mwanza? Hata tungewapa bandari kavu zetu zote wala haingalikuwa tatizo lakini si hizo bandari halisi tulizopewa na Mwenyezi Mungu.
 
Kichwa cha huyu jamaa kimejaa kamasi nakuapia vile.
 
Tunamtaka Samia na mbarawa watoke watueleze Kwa nini wanauza Tanganyika yetu
Mlioshindwa hoja ndio mnatafuta ku trend Kwa kuzusha ukabila si ndio? Imewakata hiyoo kama ni kuuza basi Nyerere alishaiuza zamani sana 😁😁
 
"Hoja ya kusema kwanini mchakato huu (wa mkataba wa uendelezaji wa bandari ) hauhusishi Bandari ya Zanzibar ni kwa sababu Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) inahusika na upande wa Tanzania Bara na kule nako kuna wanaohusika na Zanzibar japo wote tupo kwenye Jamhuri moja ya Muungano wa Tanzania."Plasduce Mbossa, Mkurugenzi Mkuu wa TPA

“Mtu anapokwambia [bandari] imeuzwa lazima akueleze uratatibu, hiyo imeuzwaje uzwaje? Kwamba mtu anaondoka nayo, au anamiliki. Kwa hiyo ni seme hakuna suala la kuuza bandari. Kitakachofanyika ni kumwambia mwekezaji boresha, weka mitambo, hakikisha meli zinakaa masaa 2 badala siku 9 na vitu vingine vingi. Unamkodisha eno la kufanyia shughuli hizi za kibandari. Na hilo tumekua tukilifanya – mfano kuna kampuni ya Hutchison kutoka Hong Kong ambayo imekua iki operate hapa kwetu kama TICTS – imekaa kwa miaka 22 - haikuwa imeuziwa bandari na ndio sababu imeondoka Disemba 2022 – walikuwa wamekodishwa."-Plasduce Mbossa, Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA)

"Katika majadiliano mengi tunayofanya zinatumika sheria za kimataifa. Kwa ujumla hakutakuwa na kipengele chochote kinachopingana na sheria zetu" Plasduce Mbossa, Mkurungezi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA)

"Kifungu cha 23 cha mkataba huu (wa uendelezaji wa bandari) kinasema mkataba huu unaweza kusitishwa iwapo pande mbili zilikubaliana na mikataba ya utekelezaji utakaofuata itakuwa na ukomo kadri ya mjadiliano" Plasduce Mbossa, Mkurungezi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA)

"Mkataba huu (wa uendelezaji wa bandari) si mkataba wa utekelezaji wa mradi wowote, ni mkataba mama na utafuatiwa na mikataba ya uwekezaji ambayo itafikiwa baada ya majadiliano." Plasduce Mbossa, Mkurungezi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA)

"Matarajio yetu ni kwamba wafanyakazi wote wa TPA watabaki na ajira zao na hilo tutaliweka katika mikataba ya makubaliano" Plasduce Mbossa, Mkurungezi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA)

“Hizo allegations [madai yanayohusu ubinafsishaji wa bandari], naamini kwamba zinalenga kudhoofisha jitihada ambazo Serikali inazifanya kuongeza ufanisi katika bandari yetu. Na mimi nasema kwamba tuko kwenye ushindani mkali sana.” Plasduce Mbossa, Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA)

"Katika mikataba tunayoingia masuala yote ya ulinzi yanabaki kuwa ya nchi yetu na vyombo vya ulinzi na usalama vitaendelea kuwepo miaka yote. Vifungu vyote vya mkataba vinatakiwa kuzingatia masuala ya ulinzi kuwa ni la nchi husika" Plasduce Mbossa, Mkurungezi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA)

“Mikataba ya utekelezaji ambayo itaingiwa baada ya mkataba huu (wa uendelezaji wa bandari) kuridhiwa itakuwa na muda na pale itakapokwisha maana yake na mkataba huu wa awali utakuwa umekwisha. Maana yake ni kwamba muda wa mkataba huu wa awali utaupata katika mikataba hii inayofuatia” Plasduce Mbossa, Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA)

"Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) itaendelea kuendesha maeneo mengine kulingana na makubaliano tutakayokuwa nayo. Lengo ni kuhakikisha kuna ufanisi na kukua kwa shughuli zingine za kiuchumi" Plasduce Mbossa, Mkurungezi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA)

"Hatuwatendei haki kuwaambia wabunge kwamba walipewa rushwa na Kampuni ya DP WORLD walipokwenda Dubai. Na unaiposema rushwa ni kitu kinachothibitishwa na mahakama. Na kama tukisema wabunge wetu walipewa rushwa tunawakosea heshima na mahakama ikisema kwamba wabunge waliopokea rushwa ndio nitakuwa na haki ya kusema kuna mtu/ wabunge wamepewa rushwa. Hatuangalii vitu hivyo" Plasduce Mbossa, Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA)

“Baada ya Bunge kuridhia kutakuwa na mikataba ya utekelezaji wa shughuli husika kwa kuzingatia sheria, kama vile mikataba ya TEHAMA, mafunzo, uendeshaji na uendelezaji ambapo kwa sasa mikataba hiyo bado haijasainiwa.” Plasduce Mbossa- Mkurugenzi TPA

“Kwenye mkataba hakuna sehemu kuna miaka 100, nafikiri walioleta hilo wana sababu zao na ni upotoshaji wa hali ya juu. Mkataba uliopo una kifungu kinachosema kwamba kuna muda wa miezi 12 wa kuridhia na ikipita miezi 12 bila kuridhia maana yake mkataba utakuwa umekwisha. Pia kama tutaingia kwenye “negotiation” na tukashindwa kufikia muafaka na kusaini mikataba ya utekelezaji maana yake mkataba utakuwa umekwisha.” - Plasduce Mbossa- Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA)

"Mkataba baina ya serikali ya Dubai na Tanzania (IGA) una masharti ya kuridhiwa na pande zote mbili, masharti yetu ya kuridhiwa kwa mkataba huu ni kupeleka azimio la kuridhiwa kwa mkataba huu (wa uendelezaji wa bandari) bungeni" Plasduce Mbossa, Mkurungezi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA)

View attachment 2650122View attachment 2650123View attachment 2650124View attachment 2650126View attachment 2650126View attachment 2650127View attachment 2650129View attachment 2650129View attachment 2650130View attachment 2650131View attachment 2650132View attachment 2650133View attachment 2650134
Ni ujinga na utoto kuuza issues za mbona hiki hakifanyiki kule wakati Toka form 2 civics inafundisha mambo ya Muungano na mambo ya Bara.
 
Mliopata kazi kimchongo hapo TPA mjue mwarabu analeta mashine za kutosha hana muda wa kujaza watu wasio na tija kwenye payroll. Karibuni Handenina Mvomero Kuna mapori ya kutosha tuendeleze SEKTA ya Kilimo
Na kazi zitakazohitaji watu 'human beings' atapendelea ndugu zake wazanzibari...watanganyika watazidi kuisoma namba

Angalieni ilivyo sasa kwenye ajira waarabu na wazanzibari hupeana wao kwa wao kwanza
 
Back
Top Bottom