Mkurugenzi mmoja mkoani Mara awapuuuza viongozi wa Mwenge na itifaki yake

Mkurugenzi mmoja mkoani Mara awapuuuza viongozi wa Mwenge na itifaki yake

Freed Freed

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2017
Posts
6,547
Reaction score
7,167
Kiburi cha shibe ya madaraka ni kibaya mno.

DED wa Halmashauri fulani mkoani Mara amemjibu hovyohovyo kiongozi wa mbio za Mwenge kitaifa Abdalah Shaibu.

Hakutaka kutoa taarifa sahihi za miradi na alimjibu hovyo hadi watu waliona aibu.
Bwana Shaibu amesema Mwenge ni wa Rais wa JMT na amefikisha taarifa za DED huyo kwa Rais.
DED mwenyewe ni wa Halmashauri ya wilaya ya Rorya, Abdul Mtaka.
 
Kiburi cha shibe ya madaraka ni kibaya mno.

DED wa Halmashauri fulani mkoani Mara amemjibu hovyohovyo kiongozi wa mbio za Mwenge kitaifa Abdalah Shaibu.

Hakutaka kutoa taarifa sahihi za miradi na alimjibu hovyo hadi watu waliona aibu.
Bwana Shaibu amesema Mwenge ni wa Rais wa JMT na amefikisha taarifa za DED huyo kwa Rais.
DED mwenyewe ni wa Halmashauri ya wilaya ya Rorya
Afukuzwe mara moja na afanyiwe uchunguzi hasa uraia wake huyo siyo mwenzetu.
 
Huyo DED ni big brain.

Mtu na akili yako huwezi kuendeshwa na makalagabao waendesha mwenge.

Yule mtu wa mwenge ukimuona tu unajua sio mzima kichwani.

Respect over everything.
we ndiyo huna akili hata za kuazima, kwa hiyo ana akili kuliko alimweka madarakani. Subir majuto yake huyo mbwa siyo mshabikie tu
 
Mwenge faida kubwa ni uzinzi tu hakuna kingine
IMG-20230706-WA0023.jpg
 
Back
Top Bottom