cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Au nasema uongoo??[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji1374]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au nasema uongoo??[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji1374]
Bora CHADEMA wamehama hayo mazingira.
Mwenge faida kubwa ni uzinzi tu hakuna kingine
Hizi takataka iko uwanjani penu? Kasafishe uwanja usilete aibu hapa.
Watakuwa wamemwonea! Wakimbiza mwenge wanajiona miungu watu! Wanahoja za kukera!soon ataliwa kichwa
Sisi nahisi tumelaaniwaKupumbaza akili wananchi na raia wa taifa hili. Na viongozi ndo wanataka sana hili.
kwa uropokaji wa huyo kijana wa mwenge wa mwaka huu. NIngekuwa mimi ningemtukana kabisa na nimzabue vibao ili rais achukue uDED wake kwa roho safi.Kiburi cha shibe ya madaraka ni kibaya mno.
DED wa Halmashauri fulani mkoani Mara amemjibu hovyohovyo kiongozi wa mbio za Mwenge kitaifa Abdalah Shaibu.
Hakutaka kutoa taarifa sahihi za miradi na alimjibu hovyo hadi watu waliona aibu.
Bwana Shaibu amesema Mwenge ni wa Rais wa JMT na amefikisha taarifa za DED huyo kwa Rais.
DED mwenyewe ni wa Halmashauri ya wilaya ya Rorya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kyomaaaNATAMANI LITOKEE KUNDI KA MAJAMBAZI WAUIIBE MWENGE.
MIMI NA FAMILIA YANGU TUTASHEREHEKEA SIKU 7 BILA MAPUMZIKO
Kamjibu sawasawa na maswali yake! Garbage in garbage out..!Kiburi cha shibe ya madaraka ni kibaya mno.
DED wa Halmashauri fulani mkoani Mara amemjibu hovyohovyo kiongozi wa mbio za Mwenge kitaifa Abdalah Shaibu.
Hakutaka kutoa taarifa sahihi za miradi na alimjibu hovyo hadi watu waliona aibu.
Bwana Shaibu amesema Mwenge ni wa Rais wa JMT na amefikisha taarifa za DED huyo kwa Rais.
DED mwenyewe ni wa Halmashauri ya wilaya ya Rorya
Kiburi cha shibe ya madaraka ni kibaya mno.
DED wa Halmashauri fulani mkoani Mara amemjibu hovyohovyo kiongozi wa mbio za Mwenge kitaifa Abdalah Shaibu.
Hakutaka kutoa taarifa sahihi za miradi na alimjibu hovyo hadi watu waliona aibu.
Bwana Shaibu amesema Mwenge ni wa Rais wa JMT na amefikisha taarifa za DED huyo kwa Rais.
DED mwenyewe ni wa Halmashauri ya wilaya ya Rorya
Huyo mwamba hata wakimla kichwa atajiunga na mamilioni ya watanzania kutafanya shughuli zingine za kiuchumi ambazo ziko kibao lakini atakuwa amefikisha ujumbe kwamba ni Ded ambaye yuko vizuri upstairs na hawezi kupelekeshwaHuyo DED ni big brain.
Mtu na akili yako huwezi kuendeshwa na makalagabao waendesha mwenge.
Yule mtu wa mwenge ukimuona tu unajua sio mzima kichwani.
Respect over everything.
Atauibaje na ulinzi wote ule?NATAMANI LITOKEE KUNDI KA MAJAMBAZI WAUIIBE MWENGE.
MIMI NA FAMILIA YANGU TUTASHEREHEKEA SIKU 7 BILA MAPUMZIKO
Nasimama na DEDKiburi cha shibe ya madaraka ni kibaya mno.
DED wa Halmashauri fulani mkoani Mara amemjibu hovyohovyo kiongozi wa mbio za Mwenge kitaifa Abdalah Shaibu.
Hakutaka kutoa taarifa sahihi za miradi na alimjibu hovyo hadi watu waliona aibu.
Bwana Shaibu amesema Mwenge ni wa Rais wa JMT na amefikisha taarifa za DED huyo kwa Rais.
DED mwenyewe ni wa Halmashauri ya wilaya ya Rorya
Ni mwanausalamaHuyo Abdallah Shaibu ni Senene ya CCM.