Kabisa! Yaani viongozi wakuu watumie migharama kibao kwa misafara ya ma v8 na allowances kibao kwenda kuzindua miradi,na huo mwenge nao itumie gharama. Kama huo Mwenge ni mali ya Rais,augharamikie kwa mshahara wake.Huyo DED ni big brain.
Mtu na akili yako huwezi kuendeshwa na makalagabao waendesha mwenge.
Yule mtu wa mwenge ukimuona tu unajua sio mzima kichwani.
Respect over everything.
Huyo kiongoz wa mwenge ana qualifications za mamb ya projects? Au ni ilimradi tu, tuanzie hapo!! Yawezekana aliuliza swali lisilo la kitaalam kuhusu projects!!Kiburi cha shibe ya madaraka ni kibaya mno.
DED wa Halmashauri fulani mkoani Mara amemjibu hovyohovyo kiongozi wa mbio za Mwenge kitaifa Abdalah Shaibu.
Hakutaka kutoa taarifa sahihi za miradi na alimjibu hovyo hadi watu waliona aibu.
Bwana Shaibu amesema Mwenge ni wa Rais wa JMT na amefikisha taarifa za DED huyo kwa Rais.
DED mwenyewe ni wa Halmashauri ya wilaya ya Rorya
Huu mwenge hauna tofauti na sanamu ya shetani wabrazil waliyoiabudu Kisha Mungu wa mbinguni kuwapiga. Hata huku kwetu Tz huo mwenge ni miungu na ni chukizo kwa Mungu aliye hai,na ndio laana kwa nchi yetu. Viongozi wa dini amkeni kuzuia hiki kinachofanyika ni kinyume na Mungu wa mbinguni muumba wa mbingu na nchi.NATAMANI LITOKEE KUNDI KA MAJAMBAZI WAUIIBE MWENGE.
MIMI NA FAMILIA YANGU TUTASHEREHEKEA SIKU 7 BILA MAPUMZIKO
Kiburi cha shibe ya madaraka ni kibaya mno.
DED wa Halmashauri fulani mkoani Mara amemjibu hovyohovyo kiongozi wa mbio za Mwenge kitaifa Abdalah Shaibu.
Hakutaka kutoa taarifa sahihi za miradi na alimjibu hovyo hadi watu waliona aibu.
Bwana Shaibu amesema Mwenge ni wa Rais wa JMT na amefikisha taarifa za DED huyo kwa Rais.
DED mwenyewe ni wa Halmashauri ya wilaya ya Rorya
Mwenge ni uchawi unaoambatana na uzinziKiburi cha shibe ya madaraka ni kibaya mno.
DED wa Halmashauri fulani mkoani Mara amemjibu hovyohovyo kiongozi wa mbio za Mwenge kitaifa Abdalah Shaibu.
Hakutaka kutoa taarifa sahihi za miradi na alimjibu hovyo hadi watu waliona aibu.
Bwana Shaibu amesema Mwenge ni wa Rais wa JMT na amefikisha taarifa za DED huyo kwa Rais.
DED mwenyewe ni wa Halmashauri ya wilaya ya Rorya
Sharia za utumishi wa uma kwa nafasi yake anapaswa kutoa taarifa za kazi yake kwa mkuu wa mbio za mwenge? au tunaishi kwa mazoeaKiburi cha shibe ya madaraka ni kibaya mno.
DED wa Halmashauri fulani mkoani Mara amemjibu hovyohovyo kiongozi wa mbio za Mwenge kitaifa Abdalah Shaibu.
Hakutaka kutoa taarifa sahihi za miradi na alimjibu hovyo hadi watu waliona aibu.
Bwana Shaibu amesema Mwenge ni wa Rais wa JMT na amefikisha taarifa za DED huyo kwa Rais.
DED mwenyewe ni wa Halmashauri ya wilaya ya Rorya
Kupumbaza akili wananchi na raia wa taifa hili. Na viongozi ndo wanataka sana hili.Mwenge una faida gani?
Unafiki unamsumbua mleta mada,Why usimtaje jina??
Why usimtaje jina??
Siyo.lafudhi tu hata content ya anachotamka ni bure kabisaLafudhi ya kiongozi wa mbio za Mwenge labda ndio chanzo!
Kwahiyo kwa akili yako unadhani mtu akiwa raisi ndio kuwa na akili?we ndiyo huna akili hata za kuazima, kwa hiyo ana akili kuliko alimweka madarakani. Subir majuto yake huyo mbwa siyo mshabikie tu
Ded apewe maua yakeKiburi cha shibe ya madaraka ni kibaya mno.
DED wa Halmashauri fulani mkoani Mara amemjibu hovyohovyo kiongozi wa mbio za Mwenge kitaifa Abdalah Shaibu.
Hakutaka kutoa taarifa sahihi za miradi na alimjibu hovyo hadi watu waliona aibu.
Bwana Shaibu amesema Mwenge ni wa Rais wa JMT na amefikisha taarifa za DED huyo kwa Rais.
DED mwenyewe ni wa Halmashauri ya wilaya ya Rorya
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji1374]Kupumbaza akili wananchi na raia wa taifa hili. Na viongozi ndo wanataka sana hili.
Elewa jina Shaibu mkuu,Huyu sio Mzanzibar kweli.
Utaununua kwa Bei gani nikiuleta Mimi na team work yanguNATAMANI LITOKEE KUNDI KA MAJAMBAZI WAUIIBE MWENGE.
MIMI NA FAMILIA YANGU TUTASHEREHEKEA SIKU 7 BILA MAPUMZIKO