[emoji23] [emoji23] Acha woga!sio swala la hata sababu kisa cha yeye kuwa huko ni member ..... kwahiyo sisi ndo tupo mashakani yeye ni kwavile tu amegoma kuwapatia majina hehehee ngoja nihame id hii kwanza niende ile ingine kiboo
Kwa sasa hata neno mheshimiwa litakua halina maana itabidi tuanze kutumia neno Mtukufu aliye tukuka kuliko maraisi na wafalme wote.Kimenuka! Sasa ni Mwendo wa comment za kupongeza tu!
Tunaunga Mkono Jitihada za Mh. Rais kwa kukuza Uchumi na kurejesha Uadilifu na nidhamu Serikalini!
Server (domain? )zake haziko TanzaniaKama wanaweza si wangeanza kumkamata mmiliki wa instagram anakotambia mange kimambi
umejuaje?Melo yuko salama..wala hakuna jambo jipya kaitwa kuhojiwa tuu.
Lakini walio sababisha kuitwa kuhojiwa ni wale waleta habari za uzushi ambazo serikali inalazimika kuhangaika kuzikanusha kila leo...
sheria ile ya mitandao ina ipa mamlaka polisi kupata taarifa za mtu kutoka kwa mtu na inawezekana hata kuchukua vifaa husika...
Melo yuko salama salimini.
Hahahahahahahahahahhaha.....mama weee ,,,, walikuwa wananitafuta mimi hivyoo
Wameshindwa kuibeba kama walivyofanyaga ya kubenea.Alikuwa na kesi ya kuwakatalia polisi kupekua saver yake kufuatilia wanaopost katika JF
nyie ndomnahaki ya kuwa tukana viongozi wachadema kwakuwa hawajashika dola sindio??acha uzwazwa hapa kikubwa kama wana JF tupinge uvamizi huu unaotaka kufanywa na serikaliHawa Chadema wamesababisha hayo yote maana wao ni wazee wa kuongea kila neno wanalojisikia na wala bila heshima wala adabu kwa dola inayotuongoza. Kwa mtindo huu JF itafungwa kwa Sababu ya hilo.
Ukweli mchungu.mkuu hili nilikitarajia, tena naona kama wamechelewa. Kibaya wanaotafutwa sio wanaotukana bali ni wale wanaosema ukweli.
Hii serikali ya mtukufu aliye tukuka Raisi wa maraisi haijashindwa. infact imeimarisha uchumi na kujenga viwanda, na sasa inanunja ndege kibao ili wananchi muanze kutumia ndege na sio mabasi tena.serikali iliyoshindwa hii raisi muoga huyu ,jesh lote alilonalo mpaka lawanao lala juu ya misumari anaogopa kukosolewa poor you..!!
Imepostiwa na mdau ingekuwa ya kutungwa ingeshakanushwataarifa inayoalifu issue ya CEO wa jf bila logo ya mtandao husika..kulikoni..???..
Mungu ampiganie.
Timu ya Mods itaendelea kuwajulisha kinachoendelea
Yote juu yakoKwa sasa hata neno mheshimiwa litakua halina maana itabidi tuanze kutumia neno Mtukufu aliye tukuka kuliko maraisi na wafalme wote.