Bado unaota JK ni rais, hizi ni enzi za utumbuaji kamuulize DAU atakujuza.Nyie kila siku kulia lia wakati wa JK mlisema nchi imenshinda leo tena mnasema imekaa kilofa daah!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado unaota JK ni rais, hizi ni enzi za utumbuaji kamuulize DAU atakujuza.Nyie kila siku kulia lia wakati wa JK mlisema nchi imenshinda leo tena mnasema imekaa kilofa daah!
Hawakukaa kimya au hujui kusoma ? Hujaona hapo juu kuwa kwa muda mrefu walikuwaSawa.ila chanzo sio hicho.siku zote haya yalifanyika mbona walikaa kimya?tatizo tumembana mwigulu.kwenye miili 7.na log out.
WamuacheSababu ndo hiyo
Hakubaliani na hoja za serekare ya magu
jenerali ulimwengu alisema nchi imerudi nyuma miaka hamsini,nadhani sasa anaeleweka vizuri"Tutaishi kama mashetani"
Kwani hii ya nani???Unaonaje ukaanzisha yako?
Hata mimi napenda sana Maxence Melo apate dhamana haraka.Nakupata sana mkuu.
Mimi mwenyewe nimekuwa nachechemea miaka ya hivi karibuni na hiyo ni kutokana na wingi wa mada za muonekano wa FB na Instm kukatisha tamaa.
Ila bado nijivunia kuwepo hapa kwa miaka 10 ilopita na nimeona mengi, ila kwa sasa JF imefikishwa mahali si pazuri na wa kulaumiwa ni hawa baadhi ya wanachama wenzetu ambao pengine walikuwa na lengo zuri la kukosoa lakini wakavuka mipaka.
Kwa sasa maji yamemwagika na ni vigumu kuyazoa.
Ni matumani yangu kwamba Maxence Melo ataachiwa bila masharti na pia kushirikiana na polisi kwa kadri ya uwezo alo nao.
Kosa lake ni kuzuia uchunguzi wa polisi yaani "preventing the course of justice" kwa maana kwamba mlalamikaji ni dola na mlalamikiwa ni Max kwa niaba ya JF.
Cha msingi ni kwa wakili wa Max kuhakikisha Maxcence Melo anapata dhamana kesho.
Akipata dhamana itamwezesha kujipanga upya na kuunda mkakati mpya wa kuisuka JF upya kulingana na sharia ya mtandaop inavyotaka maana ilikwishasainiwa.
Hii hoja imekaa ki-transgender sana. Inabidi ku-handle with careJF ina rensponsibility kubwa sana, kama vivlivyo vyombo vingine vya Habari, kuna mambo mengi ya uongo na uzushi huletwa humu na kuachwa, ikumbukwe kwamba nchi nyingi kama Kenya, Rwanda, Burundi n.k Vita ililetwa na Vyombo vya Habari kama redio na TV, hivyo JF ina jukumu la kulinda amani ya nchi, kama ni kweli amekamatwa, na kama siyo kweli basi wajifunze na wabadilike, watambue jukumu lao kwenye Jamii!
CEO wa JF asipumbazwe na watu wanaosapoti kwenda kinyume na Serikali hapa, wengi wao wana maisha yao na wala hawaishi TZ, na JF ikifa kesho, au ofisi ya JF kunyimwa kibali cha kufanya kazi TZ hawana cha kupoteza, zaidi ya kuhamia kwenye mtandao mwingine na kuendeleza wanayoyafanya, hivyo angalia maisha yako na familia yako, fanya lililo sahihi na jinsi Serikali inavyokutaka kwani mwisho wa siku Serikali ndiyo yenye nchi, watakushauri wanachama wa JF wanavyotaka lkn Serikali ndiyo wasimamizi wa hii nchi!
hilo tukio lilikanushwa na mahakama,liliandikwa kwenye magazeti sana tu ila wewe una insist eti walioleta habari jamii forums ndio watoe ushahidi. So insaneHilo tukio unalolisema mimi binafsi nililijua humu JF baada ya mtoa mada kupost. Hivyo kila mtu anaamini na anahisi nani aliyefoji ile documents. Thays y polisi wanamtaka huyo aliyepost aseme kalitoa wapi na ili waweze kumpata muhusika na speculation kama hizo zako za kudhania ziwe confirmed.
Kwa hili serikali ina nia njema sana. JF inabidi irudi kipindi kile cha Na sio sasa imekuwa Political Forums. Kwa CCM na Chadema kuleta habari zao za kichochezi huku hawatoi hata 30,000 za kuwa Gold members