kuna memba humu ni vipere vya sizonje make kaul zao hazna tija kwa members wa jf lkn pia kwa mkurugenzi alijitoa ku2nza siri za wanamember ambao kwa ujumla wako huru kusema kile ambacho nafsi imeguswa kwa namna moja au nyingine pas na kuvunja sheria za nch,iweje police waingilie uhuru wa m2 wa kupata na kutoa habar kama katiba ye2 inavyosema au ndo mwendelezo wa kuwanyima raia uhuru wa kupata habar kama ktk bunge walilojichanganya maelezo viongoz wa nch ktk kutoa maelezo juu ya urushwaj wa matangazo ya bunge? 2sifke huko watanzania,kupitia jf watu 2najifunza meng yanayojir ktk nch hii na nje ya nch kwan kunamchanyato wa wasomi! police msitumike kias hcho jifunzen kutoka nch zilizoendele kama marekan,mwanch anaandika ya kumpinga trump lkn police hawajawa vipele