Blood of Jesus
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 4,486
- 8,098
faida ya kuugua ni kutubu. Unapata muda wa kutosha kutengeneza na Mungu wako. ila isiwe miaka 10.
JESUS IS LORD&SAVIOR
JESUS IS LORD&SAVIOR
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nimeiona aisee jamaa kafa vibaya sana kwa maumivu machungu. inaumiza!Ile video ya ajali yake inasikitisha sana
Tusikimbie na magari wakuu
Punje zimekata.Kwamba mahindi yameisha?
ni rahisi sana kufa Afrika hasa TZ kuliko sehemu zingine. Afrika kifo ni kugusa tu.Afrika ni aibu tupu, watu wanakufa vifo vya ajabu ajabu tu. Leo hii mtu anagongwa na gari kizembe tu.
Serikali inapaswa kusimamia usalama hasa kwa madereva wasio na sifa.
Ajali nyingi ni za wazembe wasiojali maisha ya wengine.
Kama wataka kuona kifo juu juu neenda India utaona kufa nikama kunywa maji.ni rahisi sana kufa Afrika hasa TZ kuliko sehemu zingine. Afrika kifo ni kugusa tu.
hao wabongo waliochangamka. ni watu basi wale.Kama wataka kuona kifo juu juu neenda India utaona kufa nikama kunywa maji.
kivipi? fafanuaKama wataka kuona kifo juu juu neenda India utaona kufa nikama kunywa maji.
Nafikiri ndiyeHii ndio hiyo ajali inayosemekana imeua mwanaume na mwanamke Mlandizi kiasi wameshindwa kuwatoa kwenye gari, lakini mtoto mdogo kapona?
how was it?Hii Mlandizi pana Shida, hata Tajiri wa Kisangani Spare parts Ajali ilikuwa mitaa hiyo hiyo
Kama zilivyopotea zile nyekundu zilizotamba enzi zile za Obama kila mwezi zilikuwa lazima zitoe kafaraGari za Sauli zilishapotea...
Ajali ni kote (air, water, & land). SGR haijaja kama muarobaini wa ajali.Hii SGR isambae nchi nzima tu. Mimi njia ya Dar-Moro-Dom situmii tena bus au gari binafsi. It's too dangerous.
Kuna kipande fulani kama unaitafuta ruvu ukiwa unatokea mlandizi pale hapafai kabisaDuh hizi ajali hizi. Zinamaliza sana nguvu kazi.
Itakuwa alikiuka masharti ya kafara. Huenda alitakiwa amtoe waliyemchagua ambaye anampenda sana akakataa.Duh hizi ajali hizi. Zinamaliza sana nguvu kazi.
Tatizo Wana mbeya tunapenda bus za mineso kama za sauli scania sio kama michina hio Yakina achimwene na newforce likipiga tuta usipoangalia vizuri unachomoka dirishaniAkina Achimwene si wapo? Au wataibuka wengine na maisha yataendelea. Dunia haijawahi kukunguwazwa kwa kuondokewa na mwanadamu. Ndiyo maana ikasemwa kwamba everybody is replaceable - hata uwe na umuhimu kiasi gani.
Na hii inaturudisha kule kule kwenye Mhubiri 1: 2 (Yote ni ubatili!)
Katafute na wewe hizo punje za Mahindi. Kwani we hupendi utajiri?UTAJIRI WA PUNJE ZA MAHINDI BANA!