Mimemskiliza Jana Mahera nikaona naye ameshapoteana na wahujumu wa Uchaguzi wameanza kutajana. Wagombea walikuwa wanashinda Ofisi za Tume kudai hizo Barua ila Tume ikawa inawazungusha Tu. Leo Kati ya siku 60 za kampeni zimebaki siku 12 ndio anawataka wakurugenzi watoe Barua Ili iweje?? Kimsingi ameshaona kuna kuumbuka mchana kweupe.
Watakaopewa Barua leo wanapaswa waende mahakamani kuzuia Uchaguzi katika maeneo Yao Ili wapate muda Sawa wa Kupiga Kampeni. Vinginevyo wakiingia uwanjani na wakashindwa, watapoteza sifa ya kukata rufaa huko mbeleni.
Aidha, wahakikishe hizo Barua zina tarehe halisi (ya Siku wanayopewa Barua) mana wanakuwaga na tabia ya ku-back-date Ili kufunika uovu wao.
Watakaopewa Barua leo wanapaswa waende mahakamani kuzuia Uchaguzi katika maeneo Yao Ili wapate muda Sawa wa Kupiga Kampeni. Vinginevyo wakiingia uwanjani na wakashindwa, watapoteza sifa ya kukata rufaa huko mbeleni.
Aidha, wahakikishe hizo Barua zina tarehe halisi (ya Siku wanayopewa Barua) mana wanakuwaga na tabia ya ku-back-date Ili kufunika uovu wao.