Kuna tetesi nimezisikia toka Alhamisi iliyopita kuwa mzee Meko hofu kuu imemuingia baada ya ripoti ya ndani ya CCM kuonesha hali ya CCM kisiasa inakwenda mrama kupita maelezo toka kampeni kuanza.
Inasemekana mzee Meko amekuwa mkali kupita maelezo, na ameagiza wateule wake wote waingie field kusaidia kuokoa jahazi la sivyo ndani ya wiki moja atawatumbua kama kichaa.
Hivyo tusishangae sana haya ya huyu kada wa CCM ambaye ndiye mwenyekiti wa tume ya uchaguzi kuja kumfanyia kampeni kwa lazima.
Mchezo wao wa kupanic tuliuelewa wazi baada ya kumuona Pole Pole anarudia kufanya Press comference ndani ya masaa 48 toka kufanya press yake, halafu Press yake ikaishia kuvurumisha matusi matupu.