Masalamakali Singo Naibu Chadema Bara
Nianze na mapendekezo, Napendekeza kwamba kikao tunapongeza baraza.
Baada ya maoni ya wadau, baraza tukutane tuweze kupitia nyaraka za Warioba na nyaraka zingine. Tuweze kuenda kwenye bunge kama baraza. Tusikubali kuenda kwa kuwakilishwa na sekretaliet.
Mimi jana nilifurahi sana kuona tunajadili R4. Nilitegemea tunajadili ili kutandika jamvi.
Nilitegemea utendaji wa serikali uta reflect 4R.
Nilitegemea hivyo na sioni. kwa sababu yapo matatizo ta tume hayajaguswa.
Yapo mambo ambayo ni kikwazo chatume
1. Tume ina mikia miwili. Mkiwa wa kwanza ni hapo juu na wapili ni TAMISEMI ambayo haiongelewi.
Uchaguzi unafanyika kwenye vituo na unatangazwa huko. Je, wale kule chini wamesemwaje kwenye sheria.
Uhuru wa tume ni mambo makuu manne au matano.
Tume inapatikanaje.
2. Tume inawajibika kwa nani.
3. Mambo ya fedha
4. Security ya tume
Hiyo kamati ya usaili ni kamati ya rais.