Uchaguzi 2020 Mkutano Mkuu wa CCM 2020 wamchagua John Magufuli kuwa Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Amteua Samia Suluhu kuwa Mgombea Mwenza

Uchaguzi 2020 Mkutano Mkuu wa CCM 2020 wamchagua John Magufuli kuwa Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Amteua Samia Suluhu kuwa Mgombea Mwenza

Hayo kawaambie wakristo wenzako kanisani

Abui Gavana unajifunua jinsi ulivyo mtu wa chuki na kila aliye na hoja TOFAUTI nawe....
Mambo ya DINI yanaingiaje hapa?!!!!

Nasemaje "attaqwa hahuna"
Nasemaje "kullil haqu Lau kana mura"
Nasemaje "innal batwila kana zahuka".....

Allah,raqib na Attid ni mashuhuda wa Al Qalbu yangu....
Endelea na ARGUMENTUM AD HOMINEM....
 
Abui Gavana unajifunua jinsi ulivyo mtu wa chuki na kila aliye na hoja TOFAUTI nawe....
Mambo ya DINI yanaingiaje hapa?!!!!

Nasemaje "attaqwa hahuna"
Nasemaje "kullil haqu Lau kana mura"
Nasemaje "innal batwila kana zahuka".....

Allah,raqib na Attid ni mashuhuda wa Al Qalbu yangu....
Endelea na ARGUMENTUM AD HOMINEM....


Jumbe brown towashi wa Kardinali Pengo , HAHAHAHHHAHHHHHHHaaa umenaswa pabaya
 
mbona unajitekenya we si ndo umesema zoezi lipo kiswahil swahili

Sent from my Nokia 2 using JamiiForums mobile app
kiswahili swahili kizamani

bila ya kufata utaratibu

bila ya akili

kipumbavu

kizungu wakati wa miaka 1345

kama umepita kidogo shule utakumbuka mambo ya ludism kupiga kura umesimama nyuma ya mgombea.
 
Hata mm NISINGEKUWA RAIS bila mh.Kikwete......
Aliwatwanga MPAKA marafiki zake😂😂😂😂😂
Mashallah rais wetu JPM mungu akupe uhai mrefu aaaamin
 
Kama CCM hawaibi kura kitu gani kinawafanya wasiweke tume huru ??
Tume huru ni kuipigania field. Sema wakiandaa UKUTA baadae wanabadili wenyewe. Ni safari ndefu na inahitaji ujasiri wa hali ya juu.
 
Naamini unafatilia hotuba ya mkuu hapo, tutakutana baadae tupate maoni mkuu au una hasira hutaki kumsikiliza.

Naifuatilia vizuri sana, katika vitu visivyonipa tabu ni kusikiliza hata watu nisiokubaliana nao.
 
Umepotoka...
Nakuambia tena hawaibi kura za uraisi. 2015 ,wapinzani kwa ujumla wao walipata asilimia nyingi kuliko Magufuli. Wapinzani wakiweka pembeni tofauti zao wakaweka mgombea mmoja vs Magufuli. I tell you Magu anashindwa saa nne asubuhi.
 
Hata mm NISINGEKUWA RAIS bila mh.Kikwete......
Aliwatwanga MPAKA marafiki zake😂😂😂😂😂
Mashallah rais wetu JPM mungu akupe uhai mrefu aaaamin


Jumbe Brown hahahahahahaaaaaa 😛 😛 😛 😛 😛 😛 😛 😛
 
Back
Top Bottom