Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Prove wrong for what? kuendelea kususia mikutano ya siasa?Wanaochochea cdm wakatae ni wale waliokuwa watesi wao jana. Kinachowauma ni kuona Samia anawaprove wrong kwamba siasa ni ya wote na hakuna mwenye hati miliki ya uongozi. Wakafie mbali huko aliko mwenzao.
Sasa matusi ya Nini? Kwanini umenitukana? Si ungelitoa jibubyakaisha na si matusi! Sabato njemaMbowe na Heche wameitwa wewe unapata Nini?
Miaka inaenda, kina Joyce Mukya wanacho Cha kurithi wewe Ndugu zako watarithi UNYUMBU.
Wewe Ni msukule wa wanasiasa kina Mbowe na watoto wako watakuwa misukule wa watoto wa kina Mbowe.
Hakuna Mambo ya bahati mbaya dunia hii.
Kama?Mmmhh. Ngoja ninywe mtori, nyama nitazikuta chini. Sina imani na hayo mazungumzo, na mifano ninayo.
Imesema kweli, kama wana gutts, waingie msituni. Mtu anasema njoontuzunhumze, mnasema hatuji, Basi nenda infantry tuone matokeo!Wale mnaopinga Mbowe na Chadema kukutana na Rais ingien misituni mpambane na Serikali tuone mtapata matokeo gani.
Upumbavu huo hata mie siwezi na mrema pia alishindwa, yaani atetee mijitu isiyojitambua akiwekwa sello hata kusogea gerezani kwenda kumsalimia hamthubutu, mbowe chukua pipa kamiminiwe na wewe asali ulambe, umekaa gerezani miez9 keyboards woriaz tuliashia kuandika twira hashtag #mbowesiogaidi# #freembowe# hatukuthubutu kuandamana hata maji ya kunywa hatukuleta.Huyo Mbowe muuni tu yeye na Ccm na sukuma Gang wote wasanii
Badala muwatete Wananchi nyie mnaangalia interest zenu tu
So mavyama yote hapa Tz. Ni kwa Ajili ya wizi tu.
Hebu tiririka kidogo ndugu Tindo. Tindo ni kifaa kinachotwanga sehehmu ngumu.Mmmhh. Ngoja ninywe mtori, nyama nitazikuta chini. Sina imani na hayo mazungumzo, na mifano ninayo.
Huyo Mbowe muuni tu yeye na Ccm na sukuma Gang wote wasanii
Badala muwatete Wananchi nyie mnaangalia interest zenu tu
So mavyama yote hapa Tz. Ni kwa Ajili ya wizi tu.mpumbavu katika ubora wake
Mpumbavu katika ubora Wake..Mama ni Rais Bora kuwahi kutokea Tz
Alipovunjiwa biashara zake wewe si ulikiwa unamsimanga na kuchekelea?? sasa unataka skusaidie nini kwani yeye ni Rais?Huyo Mbowe muuni tu yeye na Ccm na sukuma Gang wote wasanii
Badala muwatete Wananchi nyie mnaangalia interest zenu tu
So mavyama yote hapa Tz. Ni kwa Ajili ya wizi tu.
Ndio hao hao wengi ni yale maccm fisi.Wanaochochea cdm wakatae ni wale waliokuwa watesi wao jana. Kinachowauma ni kuona Samia anawaprove wrong kwamba siasa ni ya wote na hakuna mwenye hati miliki ya uongozi. Wakafie mbali huko aliko mwenzao.
Mbowe na.Prof Lipumba ni kitu kimojaKuna watu wanasema hakuna sababu ya Chadema kukutana na Samia kwa mwenedo wa tunayoyaona including issue ya Halima et al. To me, kwa mazingira ya leo baada ya Mwendazake, ambaye alikuwa Jiwe "katili" kama ametokea mtu akasema njoo tutungumze, si busara kukataa wito. UTAKATAA UNACHOITIWA. Busara za kawaida zinaniongoza hivyo!
Hongera Mbowe, Hongera Chadema kwa kuitikia wito maana pressure ilikuwa kubwa eti msiende huko.
Hopefully you did not compromise your position on all political issues you have been demanding for decades!
FINALLY: Tunaomba mrejesho, TO BUILD TRUST AMONG TANZANIANS AS THIS WAS AND IS STILL A CONTENTIOUS ISSUE!
Mimi naunga mkono kila jitihada inayopelekea kuleta maelewano katika uwanja wa siasa. Itakuwa kosa kubwa Sana kwa CDM kutokutumia fursa ya kuleta maridhiana ya kitaifa kuhusu jinsi ya kuendesha siasa nchini. CCM ni chama sawa kabisa na CDM. Hakipaswi kunyimwa haki za kuendesha siasa kwa mujibu wa Katiba iliyopo na Sheria zilizopo.Ndio hao hao wengi ni yale maccm fisi.
Tunajua mnaumia , lkn matunda yake yanaweza kuwa positive, ikishindikana Basi mapambano yanaendelea. Lkn lazima kuitikia wito!Mbowe na.Prof Lipumba ni kitu kimoja
Kajinyonge kama imekuuma.View attachment 2232674
Ikulu walipamisi sana awamu ya tano,
hakuna cha maridhiano hapo mbowe mtoto wa mjini huyo
Mapambano ya nini?Tunajua mnaumia , lkn matunda yake yanaweza kuwa positive, ikishindikana Basi mapambano yanaendelea. Lkn lazima kuitikia wito!
Haya uliwahi kuyasema miaka ile JPM akiwa ikulu?.Huyo Mbowe muuni tu yeye na Ccm na sukuma Gang wote wasanii
Badala muwatete Wananchi nyie mnaangalia interest zenu tu
So mavyama yote hapa Tz. Ni kwa Ajili ya wizi tu.