Mkutano wa Chadema na Rais Samia: Mtu hakatai WITO hukataa anachoitiwa

Mkutano wa Chadema na Rais Samia: Mtu hakatai WITO hukataa anachoitiwa

Kuna watu wanasema hakuna sababu ya Chadema kukutana na Samia kwa mwenedo wa tunayoyaona including issue ya Halima et al. To me, kwa mazingira ya leo baada ya Mwendazake, ambaye alikuwa Jiwe "katili" kama ametokea mtu akasema njoo tutungumze, si busara kukataa wito. UTAKATAA UNACHOITIWA. Busara za kawaida zinaniongoza hivyo!
Hongera Mbowe, Hongera Chadema kwa kuitikia wito maana pressure ilikuwa kubwa eti msiende huko.
Hopefully you did not compromise your position on all political issues you have been demanding for decades!

FINALLY: Tunaomba mrejesho, TO BUILD TRUST AMONG TANZANIANS AS THIS WAS AND IS STILL A CONTENTIOUS ISSUE!
Kaza roho! Subira huvuta kheri!
 
Wanaochochea cdm wakatae ni wale waliokuwa watesi wao jana. Kinachowauma ni kuona Samia anawaprove wrong kwamba siasa ni ya wote na hakuna mwenye hati miliki ya uongozi. Wakafie mbali huko aliko mwenzao.
wamfuate Jiwe huko wambusu
 
Back
Top Bottom