Mkutano wa Chadema na Rais Samia: Mtu hakatai WITO hukataa anachoitiwa

Kaza roho! Subira huvuta kheri!
 
Wanaochochea cdm wakatae ni wale waliokuwa watesi wao jana. Kinachowauma ni kuona Samia anawaprove wrong kwamba siasa ni ya wote na hakuna mwenye hati miliki ya uongozi. Wakafie mbali huko aliko mwenzao.
wamfuate Jiwe huko wambusu
 
Ahsante kwa taarifa, siasa ndivyo zilivyo...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…