Uchaguzi 2020 Mkutano wa Halmashauri Kuu ya CCM: Dkt. Hussein Ally Mwinyi achaguliwa Kugombea Urais Zanzibar kupitia CCM. Membe afukuzwa rasmi

Mbarawa kanyofolewa ili Mwinyi apite. Ya Membe vs Lowassa then Magufuli yanaweza kutokea
 
Naaaaah, Nahodha lazima achukue, nilimpa Makame ila kakosa basi tena.. Sasa Nahodha is better kuliko Mwinyi by far.
Mimi toka mwanzo nampa Dr Khalid Salum Mohammed na ndiye YEYE

Mwinyi Makamu wake

Tusubiri tuone ,nime bett hivi
 

1.KUYALINDA MAPINDUZI

2.KUUENZI MUUNGANO WETU.

Maneno ya DHAHABU kabisa.....
 
Hongera Mwinyi kwa kuwa Rais wa Zanzibar 2020.
Mwinyi akishapita hapo tyr ni Rais hakuna kizuizi kingine.
 
Hii serikali ya magufuli ni ya kitapeli sana, imesheheni WAHALIFU LUKUKI. Kuna haja gani ya kuilipisha maiti?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…