Mkutano wa Kitaifa wa Haki, Amani na Maridhiano, 2022: Rais Samia asema Maendeleo hayafanywi na CCM na Rais pekee, aahidi ushirikiano na vyama vingine

Duuuh kumbe kufikia uchumi wakati au kurudi nyuma ni kwa uwezo wa Mungu.., mi nilijuwa juhudi za Watanzania wenyewe
 
Reconciliation with a lot of strings and conditions. Democracy is a global issue, what is wrong in adopting good global democratic practices. There is nothing like African democracy, human rights and piece. Maumivu ya kufinywa ni sawa kwa watu wote duniani. Sawa na uchungu wa kuzaa na kumpoteza ndugu.
 
Wakimaliza kuridhiana huko kwenye siasa zao,waje kwenye uchumi ambako the common wananchi ndiyo wako very concerned.

Hii excuse ya vita vya Ukraine kwenye kila kitu hai-hold water watu tunahitaji kuona mikakati ya serikali kukabiliana na athari hizo kama tunavyoona kwenye nchi zenye viongozi makini.
 
Ungeandika tu Kiswahili kuanzia mwanzo mkuu. Kingereza hakikupendi.
 
Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni!, Zitto is one of the best opposition politician in Tanzania, Leo ameongea vizuri sana kwenye Mkutano huu.
P
Hata bank account yake inasoma vizuri sana kutokana na mkutano huu.
 
. Tanzania yetu ilikwenda tukafika Uchumi wa Kati na kisha tukarudishwa kwa uwezo wa Mungu, wala si kwa uwezo wa mtu
Mama anashindwa kabisa kuachana na Magufuli!?!?! What is wrong!?!??
 
Sisi ambao watoto wetu wako jela maisha ,wameuwawa tusubiri waendelee kuuawa na kukaa jela miaka 30,nashauri ridhiwan na january akawe jela hapo tutakubali kusubiri miaka 60,watu wamelawitiwa ,wamebaki yatima kwa ajili ya mwendazake afu unataka tu subir miaka 9 watu wako vilema ....WAJUKUU WENU WATATAWALA WETU KWA TABU SANA
 
Mkuu The Sheriff , asante kwa hii, tunafutilia mubashara kupitia TBC mubashara.
P
Hii yote ni ujinga mtupu, hakuna kitu hapo as long as CCM bado wameshika dola. hawawezi zungumza la maana litakalo toa haki/maridhiano ya kutenda HAKI ambayo kwa mbali wanaona UMMA utawapiga chini KWENYE BALLOT BOX.....CCM wanahitaji confrontation....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…