Mkutano wa Nishati Afrika (Africa Energy Summit) 27-28 Januari, 2025

Mkutano wa Nishati Afrika (Africa Energy Summit) 27-28 Januari, 2025

Tanzania inakuwa nchi mwenyeji wa Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika Kuhusu Nishati (Africa Energy Summit) utakaofanyika Jijini Dar es Salaam tarehe kwa siku mbili 27-28 Januari, 2025.

Mkutano huu unaandaliwa kwa pamoja baina ya Serikali ya Tanzania, Benki ya Dunia na Benki ya Maendeleo ya Afrika. Waudhuriaji ni pamoja na sisi wenyeji Tanzania Marais wa nchi za Afrika 24, wawakilishi wa wakuu wa nchi na serikali za Afrika 21; Wakuu wa Taasisi za Kimataifa sita (6) wakiwemo Rais wa Benki ya Dunia, Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika na Rais wa Taasisi ya Rockefeller; na Washirika wa Maendeleo watano (5) watashiriki Mkutano huo. Aidha, jumla ya washiriki wengine 2,600 wa ndani na nje ya Tanzania wamejisajili kwa ajili ya Mkutano huo.


NCHI zilizohudhuria NI zipi?
 
Kwanini Samia amechagua tarehe ya kuanza mkutano huu iwe ni siku ya birthday yake ?

Shtukeni!

#How to beat an aquarius woman at her own game
=Focus on personal growth and pursue your own dreams.

Remember an aquarius woman may try to defend or rationalize her behavior , but by exposing her hypocrisy , you are forcing her to confront her true self and reevaluate her actions.

Example of hypocritical behavior of aquarius woman; Preaching about honesty while engaging in secretive behavior.

Confrontational strategy on how to confront this hypocritical behavior of aquarius woman; Point out the contradiction between her words and actions , questioning her integrity.

If an aquarius woman is promoting open mindedness but displaying judgemental attitudes , confrontational strategy is to challenge her judgemental comments or actions , encouraging her to practice what she preaches.


It is essential to recognize and distance yourself from toxic behavior in any relationship including with an aquarius woman. By focusing on your personal-goals and cutting off toxic behavior , you regain control of your own life and create a healthy space for personal growth. Remember beating an aquarius woman at her own game means refusing to participate in her manipulative tactics and choosing to prioritize your own well-being.
 
Hii ni kutokana na ukweli kwamba Magufuli hakuwa mtu mwenye kupenda mikutano na majadiliano ya pamoja.

Magufuli alipendelea zaidi maamuzi ya upande mmoja yaani maamuzi binafsi.

Ushirikiano wa kimataifa ni muhimu hususani katika nchi za kiafrika ili kuleta maendeleo mapana zaidi.
 
Hii ni kutokana na ukweli kwamba Magufuli hakuwa mtu mwenye kupenda mikutano na majadiliano ya pamoja.

Magufuli alipendelea zaidi maamuzi ya upande mmoja yaani maamuzi binafsi.

Ushirikiano wa kimataifa ni muhimu hususani katika nchi za kiafrika ili kuleta maendeleo mapana zaidi.
Asingeweza kufanya kitu, pale wako marais wa nchi nyingi hana mandate ya kuwaendesha au kuwaamulia
 
Hii ni kutokana na ukweli kwamba Magufuli hakuwa mtu mwenye kupenda mikutano na majadiliano ya pamoja.

Magufuli alipendelea zaidi maamuzi ya upande mmoja yaani maamuzi binafsi.

Ushirikiano wa kimataifa ni muhimu hususani katika nchi za kiafrika ili kuleta maendeleo mapana zaidi.
Unapenda sana maneno au sio?

Kwamba hii mikitano imeanza leo? Na nini matokeo ya hiyo mikutano hadi sasa?

Tuambie mkutano kati ya China na wakuu wa nchi za Afrika uliofanyika Beijing pamoja na mkutano wa nishati safi uliofanyika Paris matokeo yake yako wapi?

Usipende kutumia hisia, hicho kichwa ulichopewa sio pambo.
 
Unapenda sana maneno au sio?

Kwamba hii mikitano imeanza leo? Na nini matokeo ya hiyo mikutano hadi sasa?

Tuambie mkutano kati ya China na wakuu wa nchi za Afrika uliofanyika Beijing pamoja na mkutano wa nishati safi uliofanyika Paris matokeo yake yako wapi?

Usipende kutumia hisia, hicho kichwa ulichopewa sio pambo.
Hujaona ongezeko la Wachina wanaowekeza kwenye miradi mbalimbali nchini? Huo mkutano wa nishati safi uliofanyika Paris ndio chagizo la mkutano huu. Ajenga ya Samia ya nishati safi inapata nguvu zaidi na sasa inaenea Afrika kote. Unashindwaje kuona haya kama una akili? Ulitaka viongozi hao waje hapa na kuanza kugawa mitungi ya gesi kwa kila mtu? Kuna agenda za energy pool and energy sharing kati ya nchi za Afrika je unajua kuwa haya yote yanahitaji mazungumzo na makubaliano? Haya yote yasingewezekana wakati wa Magufuli.
 
Hujaona ongezeko la Wachina wanaowekeza kwenye miradi mbalimbali nchini? Huo mkutano wa nishati safi uliofanyika Paris ndio chagizo la mkutano huu. Ajenga ya Samia ya nishati safi inapata nguvu zaidi na sasa inaenea Afrika kote. Unashindwaje kuona haya kama una akili? Ulitaka viongozi hao waje hapa na kuanza kugawa mitungi ya gesi kwa kila mtu? Kuna agenda za energy pool and energy sharing kati ya nchi za Afrika je unajua kuwa haya yote yanahitaji mazungumzo na makubaliano? Haya yote yasingewezekana wakati wa Magufuli.
Umetaja mambo ya msingi kwa hizi faida chache ulizoainisha. Safi.

Lakini jitahidi unapoleta hoja uwe huru bila kumtaja Magufuli (ondoa fikra za utumwa). Huwenda yeye alifanya mengi na makubwa zaidi ya haya bila kuhusisha hii unayoita mikutano ulya kimataifa.
 
Umetaja mambo ya msingi kwa hizi faida chache ulizoainisha. Safi.

Lakini jitahidi unapoleta hoja uwe huru bila kumtaja Magufuli (ondoa fikra za utumwa). Huwenda yeye alifanya mengi na makubwa zaidi ya haya bila kuhusisha hii unayoita mikutano ulya kimataifa.
Hupendi kumsikia Magufuli au unafikiri hatuna cha kujifunza kutoka kwake, kizuri au kibaya? Hittler hutajwa miaka 80 baada ya kifo chake ni jana tu walikuwa wanakumbukia aliyofanya na kuvikumbusha vizazi vilivyopo visirudie hayo. Magufuli ni nani asitajwe kwa mazuri au mabaya?
 
Yan mpaka muone wageni wanakuja ndio maafande mnawapitisha na mafarasi kariakoo yan leo ndio askari wanajifanya wana patrol na farasi....SAFARI NI NDEFU SANA...HIVI USISHANGAE LUKAS MWASHAMBWA NAE Yupo DASLAMA KAJA KUUNGA JUHUDI manage Wasafwa mambo Yao wanaelewaga wenyewe
Kuna afande anakuwa baina ya Tazara na Vingunguti anaitwa Dullah. Kawaida uniform zake huwa chafu balaa.

Jana nimepita, mzee kapiga uniform mpya anang'aa. Yani mpaka babu wa watu anavalishwa nguo mpya sababu ya wageni 😀 😀 😀 😀 😀 😀
 
Huku kwenye huu mkutano hakuna "Mama anaupiga mwingi" tunataka nondo za energy sustainability tu, huwez kuta msanii, wala machawa wao wakiongea kitu chochote ila hili likipita utasikia yanasema "mboga mboga mbele kwa mbele". Wasabi bwana juzi kati yamepiga suti za mboga mboga yamekaa kama NINJA Turtles...
 
Kabisa tatizo...Huwezi kuwalaza wakuu wa nchi kwenye zile Hostel za Udom maana Hotel hazitoshi kwa delegation hii yote.
... lakini ingesaidia kuzijua changamoto za nishati Africa, huku kunguni wa wanachuo wakiweka msisitizo!
:AweeWoo::AweeWoo::AweeWoo:😅
 
Back
Top Bottom