Mkutano wa Nishati Afrika (Africa Energy Summit) 27-28 Januari, 2025

Mkutano wa Nishati Afrika (Africa Energy Summit) 27-28 Januari, 2025

Kuna afande anakuwa baina ya Tazara na Vingunguti anaitwa Dullah. Kawaida uniform zake huwa chafu balaa.

Jana nimepita, mzee kapiga uniform mpya anang'aa. Yani mpaka babu wa watu anavalishwa nguo mpya sababu ya wageni 😀 😀 😀 😀 😀 😀
Hahaha hahaha kama unaenda gomz au kama unaenda baracuda kuanzia pale kwenye makampuni ya magari sijui kituo wanaitaje...Wanasumbua sana wazee wetu.
 
1738055662468.png
... mbona mnamaindi sana watu waliotucheleweshea uhuru wazee?
:AweeWoo::AweeWoo::AweeWoo:😅
 
Hupendi kumsikia Magufuli au unafikiri hatuna cha kujifunza kutoka kwake, kizuri au kibaya? Hittler hutajwa miaka 80 baada ya kifo chake ni jana tu walikuwa wanakumbukia aliyofanya na kuvikumbusha vizazi vilivyopo visirudie hayo. Magufuli ni nani asitajwe kwa mazuri au mabaya?
Umejaza ujinga tu kwenye kichwa chako.

Unajiandikia tu utumbo.

Pambaneni bila ya kumuingiza Magufuli. Unaweza mfananisha Magufuli na raisi yeyote wa Africa toka nchi zipate uhuru. Let alone hawa vilaza wanaoendesha Tanzania leo.
 
Kwanini Samia amechagua tarehe ya kuanza mkutano huu iwe ni siku ya birthday yake ?

Shtukeni!

#How to beat an aquarius woman at her own game
=Focus on personal growth and pursue your own dreams.

Remember an aquarius woman may try to defend or rationalize her behavior , but by exposing her hypocrisy , you are forcing her to confront her true self and reevaluate her actions.

Example of hypocritical behavior of aquarius woman; Preaching about honesty while engaging in secretive behavior.

Confrontational strategy on how to confront this hypocritical behavior of aquarius woman; Point out the contradiction between her words and actions , questioning her integrity.

If an aquarius woman is promoting open mindedness but displaying judgemental attitudes , confrontational strategy is to challenge her judgemental comments or actions , encouraging her to practice what she preaches.


It is essential to recognize and distance yourself from toxic behavior in any relationship including with an aquarius woman. By focusing on your personal-goals and cutting off toxic behavior , you regain control of your own life and create a healthy space for personal growth. Remember beating an aquarius woman at her own game means refusing to participate in her manipulative tactics and choosing to prioritize your own well-being.
KESHAWAWEZA!
:AweeWoo: :AweeWoo::AweeWoo:😅
 
Ungekuwa na akili wewe ungeandika hoja hapa, umeishia la ngapi? Au utumbo ndio umejaa kichwani?
Tają mradi mmoja ambao una PPP ya China, zaidi ya kuja kuchukua contract tenders tu.

Sio ukisha shiba maharage unakuja kutuandikia ujinga humu,

Mitungi ya gas ni serikali inagawa au ni marketing ploy ya Rostam kuuza gas yake ndio anaegawa.

Kutoka kichwani kwako tu, mradi wa kuzalisha umeme, joint venture ya Uganda na Tanzania alianzisha nani, kama sio Magufuli.

Unaandika ujinga tu humu.
 
Tają mradi mmoja ambao una PPP ya China, zaidi ya kuja kuchukua contract tenders tu.

Sio ukisha shiba maharage unakuja kutuandikia ujinga humu,

Mitungi ya gas ni serikali inagawa au ni marketing ploy ya Rostam kuuza gas yake ndio anaegawa.

Unaandika ujinga kutoka kichwani kwako tu, mradi wa kuzalisha umeme joint venture ya Uganda na Tanzania alianzisha nani, kama sio Magufuli.

Unaandika ujinga tu humu.
Panga kichwa chako vizuri. Hoja yetu sio kwa wachina kuwa na PPP wanaweza kuja kwa njia nyingine kama contractors, ni miradi mingapi wanafanya kama contractors nchini? Mingi, na kama wamepewa tenda na serikali kihalali kuna shida au ulipenda wapewe wazawa wasiokuwa na uwezo mzuri kama alivyofanya Magufuli kupitia Mayanga Construction, ipo wapi hii kampuni iliyolundikiwa tenda kwa kisingizio cha uwenjeji kumbe ni Magufuli ni mbia?

Mradi wa kuzalisha umeme ni joint venture ya Uganda na Tz, mradi upi? Zipo joint ventures na Rwanda na Burundi pia. Unaelewa mkakati wa kutengeneza transmission line kubwa kuto Ethiopia hadi S.Africa? Huoni kwamba kuna umuhimu wa nchi kukutana na kuweka muelekeo mmoja wa kuwa na umeme wa kutosha Africa.

Ulipenda kuona mtu kama Magufuli anajifungia ndani, hataki kushirikiana na wenzake anawaita Mabeberu wakati yeye ndio beberu na dikteta mkubwa. Hata ushenzi mkubwa wa Magufuli ambao sitaki kuanza kuuongelea hapa wewe huujui halafu unafikiri una akili nzuri?
 
Panga kichwa chako vizuri. Hoja yetu sio kwa wachina kuwa na PPP wanaweza kuja kwa njia nyingine kama contractors, ni miradi mingapi wanafanya kama contractors nchini? Mingi, na kama wamepewa tenda na serikali kihalali kuna shida au ulipenda wapewe wazawa wasiokuwa na uwezo mzuri kama alivyofanya Magufuli kupitia Mayanga Construction, ipo wapi hii kampuni iliyolundikiwa tenda kwa kisingizio cha uwenjeji kumbe ni Magufuli ni mbia?

Mradi wa kuzalisha umeme ni joint venture ya Uganda na Tz, mradi upi? Zipo joint ventures na Rwanda na Burundi pia. Unaelewa mkakati wa kutengeneza transmission line kubwa kuto Ethiopia hadi S.Africa? Huoni kwamba kuna umuhimu wa nchi kukutana na kuweka muelekeo mmoja wa kuwa na umeme wa kutosha Africa.

Ulipenda kuona mtu kama Magufuli anajifungia ndani, hataki kushirikiana na wenzake anawaita Mabeberu wakati yeye ndio beberu na dikteta mkubwa. Hata ushenzi mkubwa wa Magufuli ambao sitaki kuanza kuuongelea hapa wewe huujui halafu unafikiri una akili nzuri?

Huo mradi Samia alienda weka saini, makubaliano ya awali yaliwekwa na Magufuli; ukasimama baada ya kifo chake.

Rusumo Hydro power plant ya Rwanda na Burundi; ujenzi umeanza na Magufuli.

Gas pipeline Ohima-Tanga deal kalileta Magufuli.

Hiyo ya contractor (anaechukua) tender kumwita mwekezaji I have better thing to worry about kuliko kujibu ujinga. Contractor ni investor? Kama huo ndio uelewa wako siwezi potęza muda wangu hata investment hujui ni kitu gani.

Kitu kikubwa mchina sana anacholeta ni kamali.

Kama kujifungia ndani rahisi muulize Mwigulu alipoenda kukutana na members wa Paris Club na Brentwood; amepata hata senti huko.

Halafu muulize Dr. Mpango ziara kama hiyo wazungu walimpa kiasi gani ya kujengea SGR.

Unadhani rahisi miradi ambayo Magufuli alipanga kuimaliza kwa time frame iliyopangwa; imechukua mpaka miaka mitatu zaidi ndani ya muda uliopangwa kwenye mkataba.
 

Huo mradi Samia alienda weka saini, makubaliano ya awali yaliwekwa na Magufuli; ukasimama baada ya kifo chake.

Rusumo Hydro power plant ya Rwanda na Burundi; ujenzi umeanza na Magufuli.

Gas pipeline Ohima-Tanga deal kalileta Magufuli.

Hiyo ya contractor (anaechukua) tender kumwita mwekezaji I have better thing to worry about kuliko kujibu ujinga. Contractor ni investor? Kama huo ndio uelewa wako siwezi potęza muda wangu hata investment hujui ni kitu gani.

Kitu kikubwa mchina sana anacholeta ni kamali.

Kama kujifungia ndani rahisi muulize Mwigulu alipoenda kukutana na members wa Paris Club na Brentwood; amepata hata senti huko.

Halafu muulize Dr. Mpango ziara kama hiyo wazungu walimpa kiasi gani ya kujengea SGR.

Unadhani rahisi miradi ambayo Magufuli alipanga kuimaliza kwa time frame iliyopangwa; imechukua mpaka miaka mitatu zaidi ndani ya muda uliopangwa kwenye mkataba.
Ukiangalia miradi uliotaja ni kati ya Tz na Rwanda, Burundi, Uganda. Magufuli alikuwa na kasoro moja kubwa ya kutotaka kushirikiana na mataifa yaliyoendelea ambayo yeye aliwaita mabeberu, ikiwa ni pamoja na hao Wachina ambao sijui wamekuibia fursa gani wewe. Wakati wa Magufuli tulikuwa tunakwenda chini katika ushirikiano wetu na jumuiya ya kimataifa na tulikosa mengi mazuri ambayo ndio tumeona mama akienda huku na huko kurudisha uhusiano na kuaminika kwa Tz kulikopotezwa na kipenzi chako Magufuli. Acha ushirikiano na jumuiya ya kimataifa ushamiri ni muhimu kwa maendeleo ya Taifa letu.
 
Ukiangalia miradi uliotaja ni kati ya Tz na Rwanda, Burundi, Uganda. Magufuli alikuwa na kasoro moja kubwa ya kutotaka kushirikiana na mataifa yaliyoendelea ambayo yeye aliwaita mabeberu, ikiwa ni pamoja na hao Wachina ambao sijui wamekuibia fursa gani wewe. Wakati wa Magufuli tulikuwa tunakwenda chini katika ushirikiano wetu na jumuiya ya kimataifa na tulikosa mengi mazuri ambayo ndio tumeona mama akienda huku na huko kurudisha uhusiano na kuaminika kwa Tz kulikopotezwa na kipenzi chako Magufuli. Acha ushirikiano na jumuiya ya kimataifa ushamiri ni muhimu kwa maendeleo ya Taifa letu.
Unasogeza goal post, ulianza kuandika hakutaka kushirikiana na dunia; ukataka kumuondelea credit yeye ndio alikuwa mtekelezaji wa EA energy sharing. Japo plan zilikuwepo toka enzi za JK.

Sasa hivi unaamia kwenye uhusiano na developed nations. Hivi ukiwa na sanctions na hao watu kuna bank yao itakukopesha? Utauza chichotę kwao, utanunua chochote kwao.

Kuropoka kwake majukwaani kuhusu wazungu ni kuonyesha kujiamini; diplomacy haivunjiki kirahisi hivyo kwa maneno ya wanasiasa. Mpaka pale unapokuwa msimamo rasmi ya nchi.

Hakuna siku hata moja Magufuli alikataa kushirikiana na nchi zilizoendelea; mmelishwa media propaganda na ujinga wa kuchezea hela za nchi eti ziara ya kurudisha mahusiano ujinga mtupu.

Huna hoja 👋
 
Kuropoka kwake majukwaani kuhusu wazungu ni kuonyesha kujuamini; diplomacy aivunjiki kirahisi hivyo kwa maneno ya wanasiasa. Mpaka pale unapokuwa msimamo rasmi ya nchi.

Hakuna siku hata moja Magufuli alikataa kushirikiana na nchi zilizoendelea; mmelishwa media propaganda na ujinga wa kuchezea hela za nchi eti ziara ya kurudisha mahusiano ujinga mtupu.
Ahaaa! Kuropoka kwa Magufuli ni kuonesha kujiamini!!!!? Ndio maana nikakuambia unamtetea Magufuli tu. Diplomasia inavunjika kwa maneno madogo tu ya viongozi wakubwa kama rais na Magu alishindwa sana na kuvunja diplosia yetu na Kenya n.k

Magufuli kila wakati alikataa kwenda nchi za ng'ambo akijitetea ni upotevu wa fedha, kumbe ni kuficha madhaifu yake katika lugha na kutoweza kukaa meza moja na kuzungumza formally na watu wenye akili na ustaarabu kama wazungu.
 
Ahaaa! Kuropoka kwa Magufuli ni kuonesha kujiamini!!!!? Ndio maana nikakuambia unamtetea Magufuli tu. Diplomasia inavunjika kwa maneno madogo tu ya viongozi wakubwa kama rais na Magu alishindwa sana na kuvunja diplosia yetu na Kenya n.k

Magufuli kila wakati alikataa kwenda nchi za ng'ambo akijitetea ni upotevu wa fedha, kumbe ni kuficha madhaifu yake katika lugha na kutoweza kukaa meza moja na kuzungumza formally na watu wenye akili na ustaarabu kama wazungu.
Unajua posho yao ya siku hao walinzi wake wakisafiri nje na maafisa wa serikali. Sio ajabu mtu wa chini ziara moja anapewa si chini $10,000. Unacheza wewe sasa jiulize huyo mama anasafiri na kundi la watu wangapi.

Unadhani Magufuli alizipiga marufuku hizo safari bure tu; hujui tu posho wanazopewa hao watu wakisafiri na safari zingine hazina ulazima wowote ndio maana aka-introduce mtindo wa kuomba vibali kama lazima.

Halafu wakishachukua posho wakifika huko wengi wao wanalala na kula kwa jamaa zao; kuna watu wanaichezea hiyo nchi we shinda mitandaoni tu kutetea propaganda zao.
 
Unajua posho yao ya siku hao walinzi wake wakisafiri nje na maafisa wa serikali. Sio ajabu mtu wa chini ziara moja anapewa si chini $10,000. Unacheza wewe sasa jiulize huyo mama anasafiri na kundi la watu wangapi.

Unadhani Magufuli alizipiga marufuku hizo safari bure tu; hujui tu posho wanazopewa hao watu wakisafiri na safari zingine hazina ulazima wowote ndio maana aka-introduce mtindo wa kuomba vibali kama lazima.

Halafu wakishachukua posho wakifika huko wengi wao wanalala na kula kwa jamaa zao; kuna watu wanaichezea hiyo nchi we shinda mitandaoni tu kutetea propaganda zao.
Siungi mkono hata kidogo kwa kiongozi kwenda nje ya nchi badala aende na timu ya wataalamu wachache anabeba wasanii ishirini! Huu ni ushenzi wa CCM. Ila ni muhimu kwa kiongozi kwenda nje kutafuta fursa mbalimbali za uongozi. Magufuli alikwepa hilo. Hakuruhusu hata mikutano mikubwa ya watu wa nje kufanyika hapa nchini. Alichofanya ni kuwaita Uhuru na Museveni kule Chato na mpaka leo hakuna anayejua aliwaitia nini!
 
===
Nimefuatilia mkutano Mkuu wa nishati maarufu kama M300 Africa nimejifunza yafuatayo:-

1. Nigeria na Africa Kusini ndio nchi zilizofanikiwa zaidi kuzalisha na kusambaza Umeme kwa kutumia sekta binafsi ( PPP )

2. Moroco ndio nchi pekee Africa yenye umeme wa bei chini zaidi na unazalishwa na sekta binafsi.

3. Tanzania haiwezi kuendelea na mpango wa TANESCO kuzalisha umeme pekee tukitegemea umeme kuwa wa bei nafuu, Lazima pawepo na ushindani wa bei na huduma,

Ushauri, Nashauri kituo cha Ubia nchi PPPC kutafuta Wawekezaji serious wa nishati nchi ili kuibua ushindani wa kibiashara ili kutoa nafuu kwa walaji ambao ni Wananchi.
 
Mie nategemea huyu Rais wa World Bank na huyu CEO wa Roccafella hawaondoki hapa Bongo bila kusaini mikataba mikubwa ya uwekezaji wa Umeme kwa PPP.

Nategemea at least tumetarget kupata megawat 7000 by 2030 kutokana na mkutano huu
 
Back
Top Bottom