Mkutano wa Nishati Afrika (Africa Energy Summit) 27-28 Januari, 2025

Mkutano wa Nishati Afrika (Africa Energy Summit) 27-28 Januari, 2025

Mie nategemea huyu Rais wa World Bank na huyu CEO wa Roccafella hawaondoki hapa Bongo bila kusaini mikataba mikubwa ya uwekezaji wa Umeme kwa PPP.

Nategemea at least tumetarget kupata megawat 7000 by 2030 kutokana na mkutano huu
Sahihi kabisa
 
Mie nategemea huyu Rais wa World Bank na huyu CEO wa Roccafella hawaondoki hapa Bongo bila kusaini mikataba mikubwa ya uwekezaji wa Umeme kwa PPP.

Nategemea at least tumetarget kupata megawat 7000 by 2030 kutokana na mkutano huu
Wana mpango umeme Tanzania uwe 10000Mw. Je huo umeme utatufaidisha watanzania? Au tunaingia mikopo kujenga mitambo ya kuzalisha 10,000MW Halafu watanzania tunatumia umeme kuchajia simu na kuangalia mipira ya simba na yanga kwenye tv halafu umeme wanatumia "wawekezaji" tunaishia kuwatajirisha wachina na wahindi, wanapiga hela wanasepa wanatuacha tunachaji simu na kuangalia tv, na umaskini kama kawaida.
 

The Citizen walimpa " MAUA" yake ila akaishia kuwafungia.
 
3. Tanzania haiwezi kuendelea na mpango wa TANESCO kuzalisha umeme pekee tukitegemea umeme kuwa wa bei nafuu, Lazima pawepo na ushindani wa bei na huduma,
Wazo zuri, ila TZ ushindani haujawahi leta ubora wa huduma, ushindani ni dhana, si kitu halisi.

Mfano ni makampuni ya mawasiliano kama Yas, Airtel, Voda, Halotel, na ISP kama TTCL, Zuku na wengine, bei zinafanana kwenye kila bundle, huduma ni zilezile, no ubunifu.

TZ hakuna ajenda ya kumpunguzia mlaji gharama za huduma, ona usafiri wa anga tuko na Air Tanzania tu, no ushindani, kuna kampuni nyingi za mabasi ya mikoani ila gharama na huduma ni mbovu. Sad.
 
Kama 16% ya watumiaji umeme (ambao ni households) hawawezi kuendesha hata kituo kidogo cha kupooza umeme cha Megawat 18, itakuwaje kwa Megawat 80 za SGR!!!???

Tanzania umeme huo wa kufikia megawati 10,000, ina maana lazima Mkuranga yote na Kibaha iwe viwanda.

Kwa nini tunadanganywa!!???
 
Nikutowajibika vyema tu sio kwamba tanesco inashindwa sema wale wafanye kazi wasifanye wanajua watalipwa tu!. vitu vya serikali dezodezo sana
Upo sahihi tunajifanya vipofu hatutaki kuaddress the real issue watu wanatafuta upigaji.

📌SHITHOLE COUNTRIES ZIMELAANIWA!!!
 
===
Nimefuatilia mkutano Mkuu wa nishati maarufu kama M300 Africa nimejifunza yafuatayo:-

1. Nigeria na Africa Kusini ndio nchi zilizofanikiwa zaidi kuzalisha na kusambaza Umeme kwa kutumia sekta binafsi ( PPP )

2. Moroco ndio nchi pekee Africa yenye umeme wa bei chini zaidi na unazalishwa na sekta binafsi.

3. Tanzania haiwezi kuendelea na mpango wa TANESCO kuzalisha umeme pekee tukitegemea umeme kuwa wa bei nafuu, Lazima pawepo na ushindani wa bei na huduma,

Ushauri, Nashauri kituo cha Ubia nchi PPPC kutafuta Wawekezaji serious wa nishati nchi ili kuibua ushindani wa kibiashara ili kutoa nafuu kwa walaji ambao ni Wananchi.
Maua yapi . Labda maua yaliyokauka ndiyo apewe. Kwa mara nyingine tena Tanzania inaongozwa na kiranja mwenye akili ndogo. Yaani hamna kitu kabisa hapa. Basi tu nchi IPO kwenye Auto pilot
 
===
Nimefuatilia mkutano Mkuu wa nishati maarufu kama M300 Africa nimejifunza yafuatayo:-

1. Nigeria na Africa Kusini ndio nchi zilizofanikiwa zaidi kuzalisha na kusambaza Umeme kwa kutumia sekta binafsi ( PPP )

2. Moroco ndio nchi pekee Africa yenye umeme wa bei chini zaidi na unazalishwa na sekta binafsi.

3. Tanzania haiwezi kuendelea na mpango wa TANESCO kuzalisha umeme pekee tukitegemea umeme kuwa wa bei nafuu, Lazima pawepo na ushindani wa bei na huduma,

Ushauri, Nashauri kituo cha Ubia nchi PPPC kutafuta Wawekezaji serious wa nishati nchi ili kuibua ushindani wa kibiashara ili kutoa nafuu kwa walaji ambao ni Wananchi.
Hivi hua mkiandika (ikiwemo wewe) mnarudia kusoma mlichoandika au bora liende mkuu???
 
Mkutano wa Nishati wa Wakuu wa Nchi za Afrika
 

Attachments

  • VID-20250128-WA0098.mp4
    24.6 MB
Back
Top Bottom