At Calvary
JF-Expert Member
- Aug 22, 2018
- 4,533
- 3,595
Atakuwako tu.Time will tell.Magufuli alishasema haoni mtu wa kuyaendeleza/kumalizia projects ambazo by 2025 zitakuwa hazijakwisha.
Muda wa kumuandaa ndio huu.!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atakuwako tu.Time will tell.Magufuli alishasema haoni mtu wa kuyaendeleza/kumalizia projects ambazo by 2025 zitakuwa hazijakwisha.
mbunge na katibu mwenezi nani ana cheo kikubwa katika nchi hii, ya chama kimeshika hatamu?Hajatumbuliwa, wakati tukifahamu malipo ya mbunge - hebu tujuze malipo ya mwenezi
Chakubanga ameprove failure kwa miaka 5 imebidi awekwe pembeni kiaina.Ni mkutano wa kutathmini yaliyojiri katika uchaguzi mkuu wa 2020 na kuweka mikakati thabiti ya maandalizi ya Uchaguzi.
Katibu Mkuu, Dkt. Bashiru amesema sasa wanayo kazi moja kubwa ya kujaza nafasi ya Katibu wa Itikadi na Uenezi komredi Polepole a.K.a Mwendokasi aliyeteuliwa kuwa Mbunge.
Bashiru amesema Polepole ameifanyia CCM mambo makubwa na uteuzi alioupata kutoka kwa Rais Magufuli anastahili, amempongeza sana.
Karibu.
Maendeleo hayana vyama!
Huyuhuyu Polepole wa tume ya katiba ya Warioba? Kweli maisha ni mzunguko.Pole pole anakwenda bungeni si kwa bahati mbaya.It is all planned. Extension ya muda wa Rais........
Ufipa kawaachieni mbunge mmoja tu ' wa dawa "......Aida!Chakubanga ameprove failure kwa miaka 5 imebidi awekwe pembeni kiaina.
Issue ya kina covid 19 imekula kichwa chakubanga, kuondoa soo mkuu akamtupia miengoni kwa Ndugai.Ni mkutano wa kutathmini yaliyojiri katika uchaguzi mkuu wa 2020 na kuweka mikakati thabiti ya maandalizi ya Uchaguzi.
Katibu Mkuu, Dkt. Bashiru amesema sasa wanayo kazi moja kubwa ya kujaza nafasi ya Katibu wa Itikadi na Uenezi komredi Polepole a.K.a Mwendokasi aliyeteuliwa kuwa Mbunge.
Bashiru amesema Polepole ameifanyia CCM mambo makubwa na uteuzi alioupata kutoka kwa Rais Magufuli anastahili, amempongeza sana.
Karibu.
Maendeleo hayana vyama!
Katibu muenezi anapswa kuongeza wingi wa kura halali za CCM hapo ndiyo tunasema ameongeza mtaji kwa ccm, sasa kununua wapinzani na kuingiza kura feki za kwenye mabegi huo hatuwezi kusema kuwa ni mtaji wa CCM hii inadhihirisha CCM imezidi kuchukiwa zaidi kipindi cha chakubanga ndiyomaana ameshindwa kazi ya uenezi na kujipa kazi ya ununuzi wa waasi na uingizaji wa kura feki kwa mabegi na vikapu.Ufipa kawaachieni mbunge mmoja tu ' wa dawa "......Aida!
chama cha matukio....yaani hata kukopi mikakati ya wenzao yameshindwa!Jamaa washaanza maandalizi ya uchaguzi wa 2025, chandimu wako bize juu ya kutolewa jela kwa nusrat, watakuja shituka spana tena washapigwa
Tupe orodha ya mliowauza!Katibu muenezi anapswa kuongeza wingi wa kura halali za CCM hapo ndiyo tunasema ameongeza mtaji kwa ccm, sasa kununua wapinzani na kuingiza kura feki za kwenye mabegi huo hatuwezi kusema kuwa ni mtaji wa CCM hii inadhihirisha CCM imezidi kuchukiwa zaidi kipindi cha chakubanga ndiyomaana ameshindwa kazi ya uenezi na kujipa kazi ya ununuzi wa waasi na uingizaji wa kura feki kwa mabegi na vikapu.
Please behave! Kwanini kila wakati unashupalia upuuzi huu. He will never extendPole pole anakwenda bungeni si kwa bahati mbaya.It is all planned. Extension ya muda wa Rais........
Kwa hiyo hii ni move ya kuzima upepo wa uapisho haramu ndani ya gereji?Chadema bado wanajadili Rungu la Spika kutokuwepo wakati wa kuapishwa Mjela mjela Nusrat na Kamanda Halima James Mdee
Tuone Kama kina polepoleWataapishiwa fasta fasta Kama kina Covid 19.Kwa hiyo hii ni move ya kuzima upepo wa uapisho haramu ndani ya gereji?
Wataapishwa fasta fasta kwenye mazingira yale yale ili kuhalalisha yale ya kina Mdee!Tuone Kama kina polepoleWataapishiwa fasta fasta Kama kina Covid 19.
Hivyo ndivyo CCM ilivyo mwisho wa uchaguzi mmoja ndiyo mwanzo wa uchaguzi mwingine.Hao jamaa wamebakia kupiga kelele kuhusu wakina mdee wakija kushituka kumekuchaJamaa washaanza maandalizi ya uchaguzi wa 2025, chandimu wako bize juu ya kutolewa jela kwa nusrat, watakuja shituka spana tena washapigwa
Hahaha Baraza la Mawaziri linakaribia kutangazwa na huyu dogo atakuwa Waziri na Bila Shaka wa habariKwa nini Polepole wamemtumbua? Ubunge ni cheo kidogo sana kulinganisha na katibu mwenezi wa CCM
Kura watoto wa watu na kuwapendekeza walioliwa kwenye viti maalumu vya Wanawake kupitia Chadema.Ndiyo maana imewauma sana wakina mdee kula shavuHivi Mnyika professional yake ni nini? Maanake inaonekana hana anachojua juu ya political science
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Hata Mimi pia dogo Ni jembe sanaKila nje pole pole alipokua anaongea na waandishi wa habari, nilikua namfuatilia sana. Namkubali sana huyu jamaa.
Mkuu u nailed itsafu ya WAJENGA hoja wa Mabadiriko ya Katiba inaimarishwa! Maspika yalishapatikana...
Chadema wana usingizi wa pono!Hivyo ndivyo CCM ilivyo mwisho wa uchaguzi mmoja ndiyo mwanzo wa uchaguzi mwingine.Hao jamaa wamebakia kupiga kelele kuhusu wakina mdee wakija kushituka kumekucha