Ndio maana ulaya na Marekani vijana hawana muda na mambo ya dini halafu huwa tunawaona wamepotoka, kumbe wako sahihi 💯💯Pepo mchafu toka
Pepo wa upumbavu na ujinga toka
Pepo unayeeneza ujinga na upumbavu toka.
Kwa kumbukumbu zangu, tangu Tanzania iasisiwe awamu hii ndio ya kwanza kutumia gharama kubwa kumsamisha Rais aliyeko madarakani.
viongozi wa dini wa ukweli hawa hapa.... wanaongea vitu vinavyoeleweka.Karibu.
Mkutano uko mubashara kupitia Channel ten kutoka ukumbi wa JNICC na mgeni rasmi ni waziri mkuu mh Majaliwa.
Up dates;
Kwa sasa mh Majaliwa anahutubia na anajaribu kuelezea kwa kirefu mafanikio ya serikali ya awamu ya 5
Waziri mkuu anawashukuru viongozi wa dini kwa dua zao zilipelekea nzige wa hatari kuishia mpakani kwa nchi jirani na wasiingie kwetu kadhalika Corona ikatoweka.
Hao wote walikuwepo!viongozi wa dini wa ukweli hawa hapa.... wanaongea vitu vinavyoeleweka.
viongozi wa dini hawasifu mtu - humsifu MUNGU pekee.
Waache kumchezea Mungu. Mungu siyo wa wana-CCM tu.Karibu.
Mkutano uko mubashara kupitia Channel ten kutoka ukumbi wa JNICC na mgeni rasmi ni waziri mkuu mh Majaliwa.
Up dates;
Kwa sasa mh Majaliwa anahutubia na anajaribu kuelezea kwa kirefu mafanikio ya serikali ya awamu ya 5
Waziri mkuu anawashukuru viongozi wa dini kwa dua zao zilipelekea nzige wa hatari kuishia mpakani kwa nchi jirani na wasiingie kwetu kadhalika Corona ikatoweka.
Mwaka huu tutaona mengi. Mara wasanii, mara viongozi wa dini. Wapiga ramli nao wataitwa kuunga juhudi?Viongozi wa dini sisi waumini tupo nyuma yenu.nyinyi mnaongozwa na roho wa Mungu,mema mnayofanya hakika ni miongozo iliyobarikiwa na Muumba mbingu na nchi.
Mungu awaongoze mzidishie upendo wenu kwa Rais wetu kipenzi JPM.
Kwa hali hii hata viongozi wa dini wameshikishwa silaha kudhuru waumini wao ambao siyo wanachama wa CCM.Kama utaamua kutumia akili na kuacha hisia za uoga, kusujudu na kuabudu binadamu basi utagundua DINI ya kweli huwezi kuipata kwenye NYUMBA ZA IBADA katika karne hii ya 21.
Ni kwasabau DINI zetu zimeingiliwa na Tamaa, chuki, unafiki, ulafi na uongo wa hali ya juu na tunatumia nyumba za ibada kuficha dhambi Hizi. Viongozi wa dini leo hii wanatukana hadharani wapate nafasi za kisiasa, wanachochea chuki na badala ya kuunganisha watu wao ndio chanzo cha matabaka na mgawanyo.
Hakuna Dini nzuri kama kuhubiri na kuishi UPENDO, kusaidia WAHITAJI na kuwasamahe wale wote waliotukusea. Hizi ni bidhaa adimu kwenye dini za leo ambazo viongozi Wamekuwa MABALOZI wanasiasa.
Inasikitisha kuambiwa Watu hawa wanaliombea taifa amani, taifa ambalo linapandikizwa chuki na visasi vinavyopewa baraka na viongozi hao hao wa dini.
Hawa viongozi wa dini ni wakupingwa vikali na wanasiasa wa vyama vyote sio CCM, CDM,ACT n.k
Mafarisayo hao. Wanafanya biasharaKaribu.
Mkutano uko mubashara kupitia Channel ten kutoka ukumbi wa JNICC na mgeni rasmi ni waziri mkuu mh Majaliwa.
Up dates;
Kwa sasa mh Majaliwa anahutubia na anajaribu kuelezea kwa kirefu mafanikio ya serikali ya awamu ya 5
Waziri mkuu anawashukuru viongozi wa dini kwa dua zao zilipelekea nzige wa hatari kuishia mpakani kwa nchi jirani na wasiingie kwetu kadhalika Corona ikatoweka.
Mimi mwenyewe ni muumini na nimewapuuza!Kama huyo paroko namsubiri kanisani,nitahoji upuuzi alioufanya!Wapuuzwe na nani sasa? Unadhani waumini watakusikiliza wewe ghost kuliko kiongozi wao? Bora muwashawishi wawaunge mkono kuliko hizo porojo.
maagizo na vitisho, we uoni tangu askofu kakobe aaunge juhudi amekuwa mtanzania halisi ishu ya uaraia imekufa kifo cha mendeKweli siasa SI HASA. Kuna viongozi wa dini na waumini wanaowaongoza ambao wana ufuasi wa kisiasa tofauti lakini viongozi wanaonesha wanaegemea wapi hata kama jambo(event) lipo kiserikali? Mafungu ya 10 yataendelea kutolewa na wale wengine hata kama ni jambo la kiimani?