johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
-
- #101
Kenya kampeni hufanyika hadi makanisani!viongozi wa dini wapo Kenya kule huwezi kuta wanashirikiana na watu dhalimu ili wapate bahasha,usimama pamoja na walionewa,Viongozi wa dini congo walisimama kidete na wananchi hadi dikteta kabila akaachia madaraka baada ya kuvimbiwa na kulewa kodi za wakongomani na kupelekea kupitisha mkataba wa kutakiwa kukaa madarakani
sio upuuzi achana na hawa wahuni waliovaa amjoho ambao shetani amewatumia kumkufuru Mungu mbona nchi nyingi tu viongoziw adini awafungamani na madhalimu,nenda hat hapo Kenya tu huwezi kuta wanakaribisha wahuni kwenye madhabahu zao kw akutegemea kuhongwa bahashaKila siku nawaambia dini ni upuuzi lakini hamsikii
Kama utaamua kutumia akili na kuacha hisia za uoga, kusujudu na kuabudu binadamu basi utagundua DINI ya kweli huwezi kuipata kwenye NYUMBA ZA IBADA katika karne hii ya 21.
Ni kwasabau DINI zetu zimeingiliwa na Tamaa, chuki, unafiki, ulafi na uongo wa hali ya juu na tunatumia nyumba za ibada kuficha dhambi Hizi. Viongozi wa dini leo hii wanatukana hadharani wapate nafasi za kisiasa, wanachochea chuki na badala ya kuunganisha watu wao ndio chanzo cha matabaka na mgawanyo.
Hakuna Dini nzuri kama kuhubiri na kuishi UPENDO, kusaidia WAHITAJI na kuwasamahe wale wote waliotukusea. Hizi ni bidhaa adimu kwenye dini za leo ambazo viongozi Wamekuwa MABALOZI wanasiasa.
Inasikitisha kuambiwa Watu hawa wanaliombea taifa amani, taifa ambalo linapandikizwa chuki na visasi vinavyopewa baraka na viongozi hao hao wa dini.
Hawa viongozi wa dini ni wa kupingwa vikali na wanasiasa wa vyama vyote sio CCM, CHADEMA,ACT n.k
Tafadhali si tafadhari,Mh. JK najua unapitia humu tafadhari sana kemea huu ujinga unaofanywa na chama chako.
Hao siyo viongozi wa dini ni wajasiriamali wa diniHuoni wapinzani na tawala wamefikia hatua ya kurushiana mawe, kuchomeana ofisi kukamatana HAPO ndipo dini ilitakiwa kusimama kati kati na kukemea sio kuunga mkono upande mmoja
njaa haina mwenyewe,wafanye wawe masikini ili uwatawale kila akusifuye mpe bahasha hizi ni kanuni za kikomunistiAnother upumbavu wa the so called viongozi wa dini
Dunia hii kweli imejaa hadaa eti huyu Katibu wa maaskofu katoliki Kitime nae anatoa ushauri kwa waumini na viongozi-kweli usilolijua sawa na usiku wa giza.viongozi wa dini wa ukweli hawa hapa.... wanaongea vitu vinavyoeleweka.
viongozi wa dini hawasifu mtu - humsifu MUNGU pekee.
Huyo hawezi kukosa mkuu, tena inawezekana ili jambo yeye ndio kaibua hojakama sheikh Alhad Mussa akikosekana hapo bas kura yangu nampa JPM.
Hao Viongozi wa dini wahuniViongozi wa dini sisi waumini tupo nyuma yenu.nyinyi mnaongozwa na roho wa Mungu,mema mnayofanya hakika ni miongozo iliyobarikiwa na Muumba mbingu na nchi.
Mungu awaongoze mzidishie upendo wenu kwa Rais wetu kipenzi JPM.
Mpumbavu ni wewe unayeyauonea haya ukweli wa mambo, Mazuri yakifanywa na yeyote hata ni Chama kipya kitakachoingia madarakani, ifike mahali Kwanza tuyapende yanayofanywa na kusimamiwa vizuri na viongozi wetu na kutoka kila pahala, yakifanywa na mpinzani tuyakubali na kujivunia piaKiukweli hao viongozi watakuwa ni wapumbavu sana!
mzee, kwani Tundu lissu anafanya kampeni au anatafuta wadhaminiTundu Lisu ndio ameanza!
Kweli asee tunatakiwa tuache tabia ya kuamini katika dini au makanisa bali tuamini katika Mungu mmoja, kusali sio lazima uwe katika dini fulani au uende kanisani, unaweza hata ukatulia nyumbani kwako na familia yako na mkasali, hizi dini zimeanzishwa na binadamu kama sisi tu, na haya makanisa ni nyumba kama nyumba zingine tuKuna haja ya kuacha kwenda MAKANISANI.
MAKANISA yote Ni CCM
Wa Kwanza bila Shaka ni Mch na Mbunge mh Msigwa, yeye ndiye wa KwanzaKama utaamua kutumia akili na kuacha hisia za uoga, kusujudu na kuabudu binadamu basi utagundua DINI ya kweli huwezi kuipata kwenye NYUMBA ZA IBADA katika karne hii ya 21.
Ni kwasabau DINI zetu zimeingiliwa na Tamaa, chuki, unafiki, ulafi na uongo wa hali ya juu na tunatumia nyumba za ibada kuficha dhambi Hizi. Viongozi wa dini leo hii wanatukana hadharani wapate nafasi za kisiasa, wanachochea chuki na badala ya kuunganisha watu wao ndio chanzo cha matabaka na mgawanyo.
Hakuna Dini nzuri kama kuhubiri na kuishi UPENDO, kusaidia WAHITAJI na kuwasamahe wale wote waliotukusea. Hizi ni bidhaa adimu kwenye dini za leo ambazo viongozi Wamekuwa MABALOZI wanasiasa.
Inasikitisha kuambiwa Watu hawa wanaliombea taifa amani, taifa ambalo linapandikizwa chuki na visasi vinavyopewa baraka na viongozi hao hao wa dini.
Hawa viongozi wa dini ni wa kupingwa vikali na wanasiasa wa vyama vyote sio CCM, CHADEMA,ACT n.k
Uko wapi bwana....βππKweli asee tunatakiwa tuache tabia ya kuamini katika dini au makanisa bali tuamini katika Mungu mmoja, kusali sio lazima uwe katika dini fulani au uende kanisani, unaweza hata ukatulia nyumbani kwako na familia yako na mkasali, hizi dini zimeanzishwa na binadamu kama sisi tu, na haya makanisa ni nyumba kama nyumba zingine tu
Arusha mkuuUko wapi bwana....[emoji111][emoji106][emoji120]
Sio hivyo tu alifanya mpaka kampeni ndani ya kanisa,lakini CCM wavumilivu na wanaheshimu viongozi wa dini wala hatukumdhihaki.Tena alikuwa anaingia kwenye vikao vya kamati kuu!