Uchaguzi 2020 Mkutano wa Viongozi wa Dini wa kuunga mkono juhudi za Rais Magufuli kuelekea Uchaguzi Mkuu!

Uchaguzi 2020 Mkutano wa Viongozi wa Dini wa kuunga mkono juhudi za Rais Magufuli kuelekea Uchaguzi Mkuu!

Tutaingia ikulu kwa kishindo.cc tunamwamini Mungu ninyi muwaamini waganga.maana wakati tunafunga na kuomba kuiondoa corona ninyi mlikiwa mnaomba watanzania wafe ili mfaidike nn?.ndipo hapo sasa watumishi wa Mungu waadilifu kwa Mungu wao wakaona wafanye maombi kwa ajili ya magufuli na serikali yake ili warudi tena kuitetea hii nchi.viva Tanzania viva magufuli
Ukimaanisha?

Kwamba ni halali kutumia dini kuingia ikulu mnavyofanya na unatushauri sisi tusiotumia dini tutumie waganga?

Hivyo ni kwamba una halalisha kutumia dini kupata madaraka?

Mzima kweli wewe?

Mkuu,tufata principles,we do not follow your immoral behavior mnaziofanya!

Wewe unatumia dini,full stop...mwache ambae hatumii huo ujinga,apate ikulu asipate wewe una presha gani nae?

Mnachofanya ni immoral na mnajua,kazi yetu ni ku-condemn what you are doing basi....fanyeni tani yenu concequences mtapata nyie nyie kutokana na matendo yenu
 
Karibu.

Mkutano uko mubashara kupitia Channel ten kutoka ukumbi wa JNICC na mgeni rasmi ni waziri mkuu mh Majaliwa.

Up dates;

Kwa sasa mh Majaliwa anahutubia na anajaribu kuelezea kwa kirefu mafanikio ya serikali ya awamu ya 5

Waziri mkuu anawashukuru viongozi wa dini kwa dua zao zilipelekea nzige wa hatari kuishia mpakani kwa nchi jirani na wasiingie kwetu kadhalika Corona ikatoweka.

Hamna Picha ?
Tunataka kujua hao Viongozi wa Dini ni akina Nani , Msijekuwa mmekusanya Wasanii akina Mashimo, Gwajima, Mzee wa Upako, Kakobe , Sheikh kada wa CCM wa Mkoa wa Dar halafu Mseme ni Mkutano wa Viongozi wa Dini
 
Viongozi hao wa dini ni wa kupuuzwa maana wanafanya upuuzi!
Wapuuzwe na nani sasa? Unadhani waumini watakusikiliza wewe kuliko kiongozi wao? Bora muwashawishi wawaunge mkono kuliko hizo porojo.
 
Karibu.

Mkutano uko mubashara kupitia Channel ten kutoka ukumbi wa JNICC na mgeni rasmi ni waziri mkuu mh Majaliwa.

Up dates;

Kwa sasa mh Majaliwa anahutubia na anajaribu kuelezea kwa kirefu mafanikio ya serikali ya awamu ya 5

Waziri mkuu anawashukuru viongozi wa dini kwa dua zao zilipelekea nzige wa hatari kuishia mpakani kwa nchi jirani na wasiingie kwetu kadhalika Corona ikatoweka.
Naona Majaliwa hana hoja kwani anarudiarudia maneno yaleyale. Majaliwa anaonekana hana uwezo kwenye jukwaa la siasa na anamalizia kwa kuwataka viongozi wa serikali kuwashirikisha viongozi hao wa dini!
 
Back
Top Bottom