Mkuu wa HAMAS apoteza watoto watatu na wajukuu watatu huku akiendelea kula maisha Qatar

Mkuu wa HAMAS apoteza watoto watatu na wajukuu watatu huku akiendelea kula maisha Qatar

Katika mahojiano na Al Jazeera, mkuu wa ofisi ya kisiasa ya Hamas alisema kuwa damu ya wanawe haina thamani kuliko damu ya Wapalestina, waliouawa na Israel.
aende na yeye sasa
 
Hata tukiwa shule ya msingi tuliimba nyimbo za kumkashifu Idd Amin na Makaburu wa Afrika kusini. Cha ajabu watoto wa palestina wakipinga wakoloni eti ugaidi ila waTanzania ndio inageuka uzalendo!! Acheni unafiki
Mimi sina unafki nakuonyesha rangi yangu sahihi hukuniona sehem yoyte nikiimba nyimbo ya idd amin akifa
Ila kitendo cha ndugu yetu joshua mollel kuteswa na kuuliwa bila sababu za msingi na magaidi wa hamas kiliniuma sana ila wanachopitia palestine ni kile kile tulichopitia kwa kutolewa uhai kwa kijana wetu joshua molel
Hata wewe pia kafie mbele sikuona mahili popote ukicondemn hili tukio MNAFKI mkubwa sana

View: https://twitter.com/jwkhasndi/status/1736379671388815568?t=HB-eiPB0rfakf5KXWHufgA&s=19

View: https://twitter.com/arabnews/status/1728534029023039930?t=HB-eiPB0rfakf5KXWHufgA&s=19

View: https://twitter.com/MwanzoTv/status/1735231333553647696?t=HB-eiPB0rfakf5KXWHufgA&s=19

View: https://twitter.com/TheCitizenTz/status/1735212242247827571?t=EJq1pZs2k2GsNSDM8GzUww&s=19
 
Exactly what you were supposed to write

Nimejikuta nacheka, mko desperate kishenzi, endeleeni kuzodoa Wayahudi muone namna wanafagia vizazi vyote....
Huyo mzee badala ya yeye kuzikwa na wajukuu zake anawazika yeye sasa, kwanza hata hatahudhuria mazishi yao....
Yeye aendelee kula bata Qatar huku vizazi kifutwa Gaza.
Halafu yeye huwa havai dera kama nyie huko mnaopenda mfanane na muarabu.

Hamas-Leaders.jpg
 
endeleeni kuzodoa Wayahudi muone namna wanafagia vizazi vyote....
Huyo mzee badala ya yeye kuzikwa na wajukuu zake anawazika yeye sasa
Hata Mandela alipoteza ndugu zake kibao kisa kupigania haki wala sio jambo jipya kwenye independence struggle. Kama ni kufuta kizazi hao wayahudi wameua watu elfu 30 pekee kati ya wana Gaza million 2 na ushee!! Hitler mmoja tu alifuta watu million 6 almost 30% ya jewish population kipindi hiko.

Muda ukifika every blood will be avenged na hata Biblia inasema hivyo kuwa wayahudi watamwagishwa damu mpaka zitajaa urefu wa farasi!! Time will tell
 
Hata Mandela alipoteza ndugu zake kibao kisa kupigania haki wala sio jambo jipya kwenye independence struggle. Kama ni kufuta kizazi hao wayahudi wameua watu elfu 30 pekee kati ya wana Gaza million 2 na ushee!! Hitler mmoja tu alifuta watu million 6 almost 30% ya jewish population kipindi hiko.

Muda ukifika every blood will be avenged na hata Biblia inasema hivyo kuwa wayahudi watamwagishwa damu mpaka zitajaa urefu wa farasi!! Time will tell
Basi ukae kwa kutulia tena unatakiwa ulipongeze sana jeshi la Israel maana hao wote waliouliwa Gaza wenyewe mnaita martyr wamewahishwa peponi, Isingekuwa Operation Yao hiyo pepo wangechelewa kuiona kwahiyo Bora wawahi.

Sema Takbiiiir!! Kimoyomoyo.
 
Ni kupangusa tu hao chawa,ye mwenyewe watampangusa soon hana haja ya kulalamika
Hizo nyama za ngamia anakula siku atatapika
Bosi wa Hamas kama kapiga kambi na mabosi wengine wamepiga kambi apo Qatar. Basi wajue iyo nchi ni Muaanga wa Ugaidi
 
Basi ukae kwa kutulia tena unatakiwa ulipongeze sana jeshi la Israel maana hao wote waliouliwa Gaza wenyewe mnaita martyr wamewahishwa peponi, Isingekuwa Operation Yao hiyo pepo wangechelewa kuiona kwahiyo Bora wawahi.

Sema Takbiiiir!! Kimoyomoyo.
Wala, mimi ni mkristo kama tu wasauzi ni wakristo au Lebanon ila hawapendi ujinga wa wayahudi. Wakorofi sana hao jamaa, ila dawa yao itakuja tu siku moja hakuna ubaya usio na mwisho hii dunia.
 
Bosi wa Hamas kama kapiga kambi na mabosi wengine wamepiga kambi apo Qatar. Basi wajue iyo nchi ni Muaanga wa Ugaidi
Huyo hana ujanja wowote analiwa timing tu,siku sniper mmoja tu atamaliza kazi.
Wamemaliza wanae hiyo ni alert call kwamba jiandae.
Na Sidhani km Israel apigane na Qatar kwa ajili ya mjinga mmoja.
Iran huo msala anao.
 
Wananchi Alfu thelathin hamsa, wamekufa Palestina.

Benjamin Netanyahu anakula mihogo?

Kuna mambo mengine yanapimika.
Netanyahu yuko nchini kwake akiongoza mapigano hayuko nje ya nchi iwe Qatar au yeyote
 
Back
Top Bottom