Mkuu wa kundi la Hezbollah Dokta Nassan Nasrallah aagiza Jeshi lake kuanza kuishambulia Israel kuanzia kesho Agosti 2, 2024

Mkuu wa kundi la Hezbollah Dokta Nassan Nasrallah aagiza Jeshi lake kuanza kuishambulia Israel kuanzia kesho Agosti 2, 2024

Atauwawa kama kuku na huyu. Bomo la kilo 6 kumsambaratisha vipande vipande.
 
Wadau hamjamboni nyote?

Kumekucha na amri imeshatolewa kwa magaidi kuanza kuichakaza Israel kesho kulipa kisasi mauaji ya Ismael haniyeh

Muda wa mashambuluzi ni baada ya maziko ya Ismael haniyeh/ sala ya ijumaa, hivyo ni takribani kuanzia saa 7 mchana na kuendelea kwa saa za kwetu Afrika Mashariki

Mungu ibariki Israel

Taarifa kamili hapo chini:

Nasrallah said he had ordered Hezbollah forces in southern Lebanon to curb the fighting on Wednesday and Thursday but that they would resume with higher intensity on Friday, reiterating that the only way to end the war on the Lebanese front was for Israel to stop its “aggression

View attachment 3058915
Huyu mkuu wa magaidi inapaswa nae aliwe kichwa tumechoka na matisho yake
 
Wadau hamjamboni nyote?

Kumekucha na amri imeshatolewa kwa magaidi kuanza kuichakaza Israel kesho kulipa kisasi mauaji ya Ismael haniyeh

Muda wa mashambuluzi ni baada ya maziko ya Ismael haniyeh/ sala ya ijumaa, hivyo ni takribani kuanzia saa 7 mchana na kuendelea kwa saa za kwetu Afrika Mashariki

Mungu ibariki Israel

Taarifa kamili hapo chini:

Nasrallah said he had ordered Hezbollah forces in southern Lebanon to curb the fighting on Wednesday and Thursday but that they would resume with higher intensity on Friday, reiterating that the only way to end the war on the Lebanese front was for Israel to stop its “aggression

View attachment 3058915
Dr anaongea akiwa shimo lipi
 
Hilo neno Dokta siku hizi linatumiwa vibaya sana haya tuambie huyo jamaa ni Dokta wa nini? vilipuzi ama? Mimi ninachojua huyo ni Sheikh tu hana tofauti na Sheikh Ponda/ Mwaipopo.
Hassan Nasrallah Kasoma usikute kuliko ukoo wako mzima.
Hao mashia elimu ni jambo la kwanza.
Kuna hadi wahandisi humo Hizbollah
 
Mbowe ameingiaje hapa wewe kobazi
Netanyau alishaapa magaid yote atayawahisha jehanamu wakapambe na bikra 72 mapema kabla jogoo kuwika

Pambanen na hali zenu
Tulia wewe kocho, tuliza mshono, soma tena post ya niliyemjibu utajua Mbowe anaingiaje hapo!
 
Hassan Nasrallah Kasoma usikute kuliko ukoo wako mzima.
Hao mashia elimu ni jambo la kwanza.
Kuna hadi wahandisi humo Hizbollah
Nilitegemea ungeandika hicho alichosomea badala yake unaanza kutoa mawaidha, peleka masjid mkuu hapa sio mahala pake.
 
Eti yy kaagiza kisha anakaa mbali na Bikra zake!!





KAZI ni kipimo cha UTU
 
Back
Top Bottom