Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
I think so..Mimi nadhani Cdf amekuwa mzalendo kusema hadharani ili sisi wenye nchi tujue kinachoendelea ktk serikali yetu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I think so..Mimi nadhani Cdf amekuwa mzalendo kusema hadharani ili sisi wenye nchi tujue kinachoendelea ktk serikali yetu.
Mkuu tusichoke kuandika, huenda wakatusikiliza sisi Raia hao wenye mamlaka yaoTumeandika sana tangu Jambo Forum (2006) mpaka hii leo Jamii Forum (2024), kuwa kuna raia wa nnje wamepatiwa pasi za Tanzania na wana vyeo huko serikalini,mashirika ya umma na taasisi za umma,lakini vyombo vya dola vimeweka pamba masikioni.
Kuna miaka ya 2010 hivi RSO wa mkoa fulani alipelekewa "dossier" ya mtu fulani mkubwa,akasema atafanyia kqzi,lakini mpaka leo huyo mtu yupo na nafasi kubwa tuu.
Hii inchi ni kama nyeti za kuku upepo uvumapo.
Ipo siku tutalia.
Inawezekana ndio maana Hatupati Katiba Mpya ni sababu ya Hawa watu aliotaja CDF?Tumeandika sana tangu Jambo Forum (2006) mpaka hii leo Jamii Forum (2024), kuwa kuna raia wa nnje wamepatiwa pasi za Tanzania na wana vyeo huko serikalini,mashirika ya umma na taasisi za umma,lakini vyombo vya dola vimeweka pamba masikioni.
Kuna miaka ya 2010 hivi RSO wa mkoa fulani alipelekewa "dossier" ya mtu fulani mkubwa,akasema atafanyia kqzi,lakini mpaka leo huyo mtu yupo na nafasi kubwa tuu.
Hii inchi ni kama nyeti za kuku upepo uvumapo.
Ipo siku tutalia.
Kwakweli wamemharibia sana...Hii kauli haikutakiwa ije public...Daah watu wabaya sana!Samia ameanza kuliagiza jeshi tena kuhusu hizi chaguzi 2 za 2024/2025!!!....
Kwamba Jeshi liwe tayari kwa lolote Lile!
Hii kwa jeshi sio ombi tena!... Ni amri-tekelezi ....Ni tayari!.
Hii ni taa nyekundu tayari kwa vyama vyote kuelekea 2024/25 vijiandae kisaikolojia!
Hii ina Maana chaguzi za 2024/2025 zitakuwa na backup ya jeshi!
Hizi chaguzi hazitakuwa tofauti na ule uchaguzi wa 2019/2020 wa mwendazake.
Hii nchi Bado tuna safari ndefu sana ya kuwa na demokrasia huru.
Wapi huwa wanadai vyeti?Sheria zetu ziko wazi Utaifa wa Kuzaliwa, wa kujiandikisha na wa kuhamia.
Hapa tz as long as wewe ni supporter wa chama kubwa Hakuna anayekuda Cheti cha Kuzaliwa cha Bibi yako wala Babu yako.
Wapo na wengine wanamiliki mpaka Mali,ardhi,mabiashara bongoKama wapo kwenye nafasi kubwa za maamuzi nini kifanyike juu yao?
Na hao ni waliofahamika, je kuna uhakika gani hao waliofahamika tayari wameshaweka mapandikizi yao huko kwenye ngazi za chini za maamuzi?
Siku zote haya yanasemwa ila leo CDF kusema mwenyewe ni hatari!
Mtajuana wenyewe bwana pambaneniWapi huwa wanadai vyeti?
Tiss Wana watu JW na majeshi yoteDuh. Ujumbe mzito wa siri. Huu ni mtonyo mkubwa kwa serikali. Naona JW wamewaambia TISS tunawamulika kwa kuwa ninyi ni wazembe, mmelega lega.
Na Bora kasema CDF angesema mwingine kingenuka😆😆Kama wapo kwenye nafasi kubwa za maamuzi nini kifanyike juu yao?
Na hao ni waliofahamika, je kuna uhakika gani hao waliofahamika tayari wameshaweka mapandikizi yao huko kwenye ngazi za chini za maamuzi?
Siku zote haya yanasemwa ila leo CDF kusema mwenyewe ni hatari!
Wakina nani hao MkuuWapo na wengine wanamiliki mpaka Mali,ardhi,mabiashara bongo
Nyie zuba3nizubaeni hko mbeleni hamna chenu [emoji1]
Ova
Kwetu ni hapa hapa. Haondoki mtu. Tanzania Hana mwnyewe ukimuondoa MGOGO. Wengine wote ni wahamiaji.Tulia Mzee,
CDF kasema bado wanatafakari kwanza ili kupata namna bora ya kuwaondosha ama kuwahamisha hapa nchini.
Kwa hiyo wewe, ndugu na jamaa zako mjiandae soon kuwa deported mpaka nyumbani kwenu.
Hakuna cha upambanaji minessota kuna wasomali wengiAnalengwa Mr Slim na mapandikizi
Wasomali ni wapambanaji tu kaangalie Nairobi walivyoishika kwa Uchumi
Watoto wa Baba hao hata US na kwingine wanakubalika kwa uaminifu
View attachment 2879527
Na wamepambana mpaka kufika hukoHakuna cha upambanaji minessota kuna wasomali wengi
Hakuna cha kupambana walienda kwa mafungu kama wakimbiziNa wamepambana mpaka kufika huko
Hilo tu ni upambanaji na wanatuma hela nyingi sana kwao
Tupeni dual 😄
Afrika iwe moja tu sahvHakuna cha kupambana walienda kwa mafungu kama wakimbizi
Na leo ni Wamarekani na wana haki zoteHakuna cha kupambana walienda kwa mafungu kama wakimbizi
Siku izi hakuna hata Askari kidole sasa wageni wana pita watakavyo hadi tunawapa uongozi na wengine tunaoa na kuolewaChakufanya ni kuendesha nchi kwa utawala wa sheria. Mamraka yote ya rudi kwa wananchi. Hapo hata mgeni akipewa uraisi haita kuwa na shida kwani atafuwata sheria za nchi na kama akikosea wananchi watamuondowa kwa kura. Siku zote maamuzi ya wengi ni maamuzi ya ki Mungu pia ni ya haki.