Pre GE2025 Mkuu wa Majeshi: Baadhi ya Wakimbizi wamepewa teuzi Serikalini katika nafasi zenye maamuzi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)


Kama kijana kakulia Tanzania kuanzia akiwa mdogo kumuondoa kwenye madara kwasababu ya wazazi kuwa wakimbizi ni ubaguzi na haina manufaa yeyote. Tuwape uraia watu na tuondokane na ubaguzi
 
Ni kweli ila ni mali yako lazima udai
Cha kufanya tuachane na utaratibu wa vyeti bali Kila kitu kiwe compurized pale mtoto anapozaliwa tu basi taarifa zake ziingizwe chapu kwenye mfumo, na mifumo isomane mtu akisema amezaliwa sehemu flani basi chapu unaingia website Kila kitu unakikuta vyeti vinaoza,vinaliwa na panya,mende,vinasombwa na mafuriko,vinaungua na moto n.k
 
Hizo taarifa za cdf rais huzipata zikiwa za moto,hapo mlikula mnapewa wengine taarifa
 
Kama kijana kakulia Tanzania kuanzia akiwa mdogo kumuondoa kwenye madara kwasababu ya wazazi kuwa wakimbizi ni ubaguzi na haina manufaa yeyote. Tuwape uraia watu na tuondokane na ubaguzi
Mijitu isiyokuwa na exposure ni ya hovyo kwelikweli, hao Uingereza wenyewe PM wao sasa hivi ni Muhindi.

Huyo CDF ukute nchi alizotembea ni Cuba, China na Urusi tu hana exposure.
 
Umesahau aliomba uraia kipindi cha Chikwete ?.
Wakati baba wa Bashe,sheikh mkuu wa nzega, Muhammad Ibrahim Bashe akiingia tz,Bashe alikua kishazaliwa,wazazi wake waliukana usomali lakini Bashe hakufanya hivyo,ndiyo matatizo Yale ya 2010,Ila wadogo zake Bashe yaani marehem Ismail,mushtar,kauthar na Ibrahim,walizaliwa tz wazazi wao wakiwa washaukana usomali na kuwa watz
 
Enzi ya baba wa taifa mapinduzi karibu yafanyike kwa kuratibiwa na wenye asili ya rwanda. Hao watutsi walikua wanafanya mikutano yao dsm na ngara wakipanga na wanajeshi jamaa zao namna ya kumuangusha mwalimu na wao kutwaa madaraka. Kwa hiyo ushauri uchukuliwe kwa uzito unaostahili. Kuna kabila wakikaa mahali wanataka lazima wao wawe watawala.
 
Kwa kweli usalama wa nchi yetu upo kwa kudra za Mwenyezi Mungu tu kwa sababu kama hali ipo hivyo na CDF anajua lakini hachukui hatua hilo ni tatizo.
Natoa rai kwa vyombo vyote vya ulinzi na usalama kuchukua hatua haraka lakini nawaza je ikiwa huko nako wapo itakuwaje? Watanzania tuombe na kusali hatupo salama kabisa tusijidanganye ipo siku tunaweza kujikuta tunatangaziwa kuwa sasa tupo chini ya utawala wa nchi fulani jirani maana wakati huo tunaweza kuwa tupo chini ya viongozi wakuu wote ni kutoka nchi hiyo.
Kazi ni kuonea watu tu hata wakati ule wa mapambano na "Magaidi" kule kibiti sikuwahi kuamini kama kulikuwa na magaidi.
 
Aise! Wao waliteuliwaje katika teuzi hizo na waliajiriwaje katika nafasi mbali mbali?
 
Sasa CDF analalamika au anapongeza wakimbizi kupenya serikalini?

Au anaripoti, anakemea au ni nini shida?
Mnataarifiwa watanzania. Ni taarifa ambayo CDF ameamua kuichomoa toka kwenye hadhi ya SIRI na kuileta kwa jamii. Mchango wako juu ya hili ni muhimu kwake.
 
Reactions: Ame
Kama wamezaliwa Tanzania hao sio wageni. Kitu mhimi ni kuimalisha mifumo ya sheria na elimu ili wote wanao zariwa Tanzania wawe watanzania kiakiri na kitabia. Nchi kama marekani mtoto yoyote aliye zariwa kwenye ardhi Yao hata kama wazazi wake ni wahamiaji halam, mtoto anakuwa ni marekani kama wa marekani wengine. Kwa nchi zenye utawala wa sheria haijarishi umepata je uraia kinacho matters ni unachagiaje kwenye uchumi.
 
CDF yupo sahihi, kazi ya Jeshi ni kulinda mipaka ya nchi na katika hilo wameona tatizo.

Kazi ya kutathmini ilipaswa kuwa ya Uhamiaji na TISS, kwa bahati mbaya wapo 'busy' na mambo yasiwahusu.
Kwa mfano Uhamiaji imetumika kuadhibu watu kisiasa, TISS wapo mguu sawa na Wapinzani

Afadhali CDF amesema maana wahusika hawana habari na hili ni jambo la hatari.
Lakini pia vetting katika ajiri na Teuzi ni tatizo ambalo TISS walipaswa kuliona

Pili, Tanzania ina Wakimbizi katika Vijiji bila kuwatawanya. Ipo siku Watakuwa M23 n.k. kwasababu wana maeneo.
DRC wanalipa gharama ya uzembe, '' Raia '' waliokuwa wakimbizi kutoka Rwanda sasa wanashirikiana na Rwanda

Wakimbizi walipaswa kutawanywa ili wachanganyike na Raia wengine si kuwapa ' nchi' ndani ya Nchi

Tatu, kikao hiki kimefanywa kwa 'mkakati' wakati CDM wakiandaa maandamano na fagio la RC kudoda.

RC alilitumbukiza Jeshi katika uzoaji taka, sasa Rais analiingiza Jeshi katika siasa kwa njia ya usalama wa uchaguzi.
Hapa anawaamuru kwamba wakipata maagizo waingilie kati. Ipo siku utasikia '' tumebaini' viashiaria vya hali XX

Bado tatizo la kuliingiza Jeshi katika siasa lipo pale pale ingawa leo limefanywa 'kiufundi' .
Hatari ni kwamba Jeshini kuna Watu wenye itikadi tofauti za kila eneo iwe siasa au dini.

JokaKuu Tindo Pascal Mayalla
 
Mambo ya ugaidi yametoka wapi tena kinachoongelewa ni watu kufuata utaratibu ndo maana ya kuwepo uhamiaji hata marekani watu kibao wanakua deported sababu tu hawajafuata utaratibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…