Mkuu wa majeshi wa Uganda, Gen. Muhoozi Kainerugaba, anapanda mbegu gani kisiasa na anatoa ujumbe gani kwa demokrasia ya Afrika Mashariki?

Mkuu wa majeshi wa Uganda, Gen. Muhoozi Kainerugaba, anapanda mbegu gani kisiasa na anatoa ujumbe gani kwa demokrasia ya Afrika Mashariki?

Hakuna demokrasia hapa mkuu,,, ni uhuni wa watu wachache,,,,, tofauti yetu na Uganda ni kwamba Museveni anatumia jeshi moja kwa moja kukaaa madarakani,,,, ila nyie mnatumia indirect….kwa kuiba na kutisha watu.
 
ukiona mambo kama hayo yanatokea na raia wapo kimya ujue hakuna mbada wake kungekuwa na mbadala wake raia wangeshafanya maamuzi magumu
hofu yangu ni kwamba majigambo yake yanaweza kuwaudhi maafisa vijana wenzake na hata wazee wazoefu na wenye nguvu humo humo UPDF ambao pia wanaweza kupanga mapinduzi na ikasababisha hali mbaya zaidi uganda 🐒

ikitokea hivyo raia wote wa UGANDA wataunga mkono mapinduzi hayo coz wameichoka sana familia ya m7.
 
Hakuna demokrasia hapa mkuu,,, ni uhuni wa watu wachache,,,,, tofauti yetu na Uganda ni kwamba Museveni anatumia jeshi moja kwa moja kukaaa madarakani,,,, ila nyie mnatumia indirect….kwa kuiba na kutisha watu.
Nyinyi kina nani tena gentleman?

eleza kwa kina kifupi kidogo kwa faida ya wadau 🐒
 
C&P
Mkuu wa Majeshi wa Uganda, Jenerali Muhoozi Kainerugaba, ametangaza rasmi kuwa hatagombea urais katika uchaguzi wa mwaka 2026, isipokuwa ataelekeza nguvu zake jeshini huku akimuunga mkono baba yake, Rais Yoweri Museveni, ambaye anatarajiwa kugombea tena urais mwaka huo.

Kupitia akaunti yake rasmi ya mtandao wa X, Muhoozi ameeeleza kuwa Mungu alimwelekeza aelekeze nguvu zake kwenye jeshi ili kuwalinda raia wa Uganda.

"Ningependa kutangaza kuwa sitakuwa kwenye karatasi ya kura mwaka wa 2026. Mwenyezi Mungu aliniambia nijikite kwanza kwenye Jeshi lake. Kwa hivyo, namuunga mkono kabisa Rais Yoweri Museveni katika uchaguzi ujao", ameeleza Gen. Muhoozi.

Katika taarifa yake, Muhoozi ameonekana kuweka wazi kuwa ataendelea kutumikia kama Mkuu wa Majeshi akisema kuwa hakuna kitu kitakatifu zaidi hapa duniani kuliko Jeshi la wananchi wa Uganda (UPDF).

"Kwa hiyo, siwezi kufikiria heshima kubwa zaidi kuliko kuwa sehemu ya UPDF. Ni ardhi takatifu!! Mungu ibariki UPDF takatifu na Uganda yenye baraka milele”, alisema Muhoozi.

Rais Yoweri Museveni (80) ambaye anatarajiwa kugombea tena urais mwaka 2026, alichaguliwa tena kwa muhula wa sita mwaka 2021, baada ya kuwa madarakani tangu mwaka 1986.

Licha ya tangazo hili, haijulikani kwa nini Muhoozi alibadili uamuzi wake wa kugombea urais, jambo ambalo limewashangaza mashabiki wake wengi waliokuwa tayari kuanza kampeni za kumuunga mkono.

Mwaka 2023, Muhoozi alitangaza nia yake ya kugombea urais mwaka 2026 akisisitiza kuwa ni wakati wa kizazi kipya kuchukua hatamu za uongozi kwa kuwapumzisha wazee.

"Kwa jina la Yesu Kristo Mungu wangu, kwa jina la vijana wote wa Uganda na dunia, na kwa jina la mapinduzi yetu makubwa, nitasimama kugombea urais mwaka 2026”, ameandika Muhoozi.

Uchaguzi wa mwaka 2026 unatarajiwa kuvutia wagombea mashuhuri kama mwanamuziki aliyegeuka mwanasiasa, Robert Kyagulanyi maarufu kama Bobi Wine, na Dk. Kizza Besigye, hata hivyo kauli nyingine ya Muhoozi huenda ikabadili mwelekeo wa siasa za Uganda.

Amesema kuwa kamwe vyombo vya Ulinzi na Usalama vya Uganda havitaruhusu raia kushika madaraka ya Urais pindi baba yake atakapoamua kutokugombea.

"Hakuna raia atakayeongoza Uganda baada ya Rais Museveni. Vikosi vya usalama havitaruhusu hilo. Kiongozi ajaye atakuwa mwanajeshi au polisi", Gen Muhozi Kainerugaba aliandika hivyo kwenye ukrasa wake wa X , hapo majuzi.


Je, kwamba utawala wa kiraia ni ndoto ya mchana Uganda?

Au anahamasisha ujasiri kwa vijana majeshini kujiandaa kuchukua hatamu za uongozi wa kisiasa kwa muda muafaka, au ni maandalizi ya mapinduzi ya kidemokrasia Africa mashariki?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Yuko sahihi bora waafrica tuongozwe kwanza na wanajeshi hadi wanasiasa wapate akili ,waache kuahirisha kufikiri kizalendo, kama burkina faso ndiyo mfano mzuri kwasasa
 
C&P
Mkuu wa Majeshi wa Uganda, Jenerali Muhoozi Kainerugaba, ametangaza rasmi kuwa hatagombea urais katika uchaguzi wa mwaka 2026, isipokuwa ataelekeza nguvu zake jeshini huku akimuunga mkono baba yake, Rais Yoweri Museveni, ambaye anatarajiwa kugombea tena urais mwaka huo.

Kupitia akaunti yake rasmi ya mtandao wa X, Muhoozi ameeeleza kuwa Mungu alimwelekeza aelekeze nguvu zake kwenye jeshi ili kuwalinda raia wa Uganda.

"Ningependa kutangaza kuwa sitakuwa kwenye karatasi ya kura mwaka wa 2026. Mwenyezi Mungu aliniambia nijikite kwanza kwenye Jeshi lake. Kwa hivyo, namuunga mkono kabisa Rais Yoweri Museveni katika uchaguzi ujao", ameeleza Gen. Muhoozi.

Katika taarifa yake, Muhoozi ameonekana kuweka wazi kuwa ataendelea kutumikia kama Mkuu wa Majeshi akisema kuwa hakuna kitu kitakatifu zaidi hapa duniani kuliko Jeshi la wananchi wa Uganda (UPDF).

"Kwa hiyo, siwezi kufikiria heshima kubwa zaidi kuliko kuwa sehemu ya UPDF. Ni ardhi takatifu!! Mungu ibariki UPDF takatifu na Uganda yenye baraka milele”, alisema Muhoozi.

Rais Yoweri Museveni (80) ambaye anatarajiwa kugombea tena urais mwaka 2026, alichaguliwa tena kwa muhula wa sita mwaka 2021, baada ya kuwa madarakani tangu mwaka 1986.

Licha ya tangazo hili, haijulikani kwa nini Muhoozi alibadili uamuzi wake wa kugombea urais, jambo ambalo limewashangaza mashabiki wake wengi waliokuwa tayari kuanza kampeni za kumuunga mkono.

Mwaka 2023, Muhoozi alitangaza nia yake ya kugombea urais mwaka 2026 akisisitiza kuwa ni wakati wa kizazi kipya kuchukua hatamu za uongozi kwa kuwapumzisha wazee.

"Kwa jina la Yesu Kristo Mungu wangu, kwa jina la vijana wote wa Uganda na dunia, na kwa jina la mapinduzi yetu makubwa, nitasimama kugombea urais mwaka 2026”, ameandika Muhoozi.

Uchaguzi wa mwaka 2026 unatarajiwa kuvutia wagombea mashuhuri kama mwanamuziki aliyegeuka mwanasiasa, Robert Kyagulanyi maarufu kama Bobi Wine, na Dk. Kizza Besigye, hata hivyo kauli nyingine ya Muhoozi huenda ikabadili mwelekeo wa siasa za Uganda.

Amesema kuwa kamwe vyombo vya Ulinzi na Usalama vya Uganda havitaruhusu raia kushika madaraka ya Urais pindi baba yake atakapoamua kutokugombea.

"Hakuna raia atakayeongoza Uganda baada ya Rais Museveni. Vikosi vya usalama havitaruhusu hilo. Kiongozi ajaye atakuwa mwanajeshi au polisi", Gen Muhozi Kainerugaba aliandika hivyo kwenye ukrasa wake wa X , hapo majuzi.


Je, kwamba utawala wa kiraia ni ndoto ya mchana Uganda?

Au anahamasisha ujasiri kwa vijana majeshini kujiandaa kuchukua hatamu za uongozi wa kisiasa kwa muda muafaka, au ni maandalizi ya mapinduzi ya kidemokrasia Africa mashariki?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Jitahidi unavo andika maada mtandaoni
Ambatanisha
1.Picha
2.chanzo cha habari
3.Ushahidi au nukuu

Usiandike tu kama kijana wa mparange aliyeokota simu
 
Screenshot_20241001-071728.png
 
C&P
Mkuu wa Majeshi wa Uganda, Jenerali Muhoozi Kainerugaba, ametangaza rasmi kuwa hatagombea urais katika uchaguzi wa mwaka 2026, isipokuwa ataelekeza nguvu zake jeshini huku akimuunga mkono baba yake, Rais Yoweri Museveni, ambaye anatarajiwa kugombea tena urais mwaka huo.

Kupitia akaunti yake rasmi ya mtandao wa X, Muhoozi ameeeleza kuwa Mungu alimwelekeza aelekeze nguvu zake kwenye jeshi ili kuwalinda raia wa Uganda.

"Ningependa kutangaza kuwa sitakuwa kwenye karatasi ya kura mwaka wa 2026. Mwenyezi Mungu aliniambia nijikite kwanza kwenye Jeshi lake. Kwa hivyo, namuunga mkono kabisa Rais Yoweri Museveni katika uchaguzi ujao", ameeleza Gen. Muhoozi.

Katika taarifa yake, Muhoozi ameonekana kuweka wazi kuwa ataendelea kutumikia kama Mkuu wa Majeshi akisema kuwa hakuna kitu kitakatifu zaidi hapa duniani kuliko Jeshi la wananchi wa Uganda (UPDF).

"Kwa hiyo, siwezi kufikiria heshima kubwa zaidi kuliko kuwa sehemu ya UPDF. Ni ardhi takatifu!! Mungu ibariki UPDF takatifu na Uganda yenye baraka milele”, alisema Muhoozi.

Rais Yoweri Museveni (80) ambaye anatarajiwa kugombea tena urais mwaka 2026, alichaguliwa tena kwa muhula wa sita mwaka 2021, baada ya kuwa madarakani tangu mwaka 1986.

Licha ya tangazo hili, haijulikani kwa nini Muhoozi alibadili uamuzi wake wa kugombea urais, jambo ambalo limewashangaza mashabiki wake wengi waliokuwa tayari kuanza kampeni za kumuunga mkono.

Mwaka 2023, Muhoozi alitangaza nia yake ya kugombea urais mwaka 2026 akisisitiza kuwa ni wakati wa kizazi kipya kuchukua hatamu za uongozi kwa kuwapumzisha wazee.

"Kwa jina la Yesu Kristo Mungu wangu, kwa jina la vijana wote wa Uganda na dunia, na kwa jina la mapinduzi yetu makubwa, nitasimama kugombea urais mwaka 2026”, ameandika Muhoozi.

Uchaguzi wa mwaka 2026 unatarajiwa kuvutia wagombea mashuhuri kama mwanamuziki aliyegeuka mwanasiasa, Robert Kyagulanyi maarufu kama Bobi Wine, na Dk. Kizza Besigye, hata hivyo kauli nyingine ya Muhoozi huenda ikabadili mwelekeo wa siasa za Uganda.

Amesema kuwa kamwe vyombo vya Ulinzi na Usalama vya Uganda havitaruhusu raia kushika madaraka ya Urais pindi baba yake atakapoamua kutokugombea.

"Hakuna raia atakayeongoza Uganda baada ya Rais Museveni. Vikosi vya usalama havitaruhusu hilo. Kiongozi ajaye atakuwa mwanajeshi au polisi", Gen Muhozi Kainerugaba aliandika hivyo kwenye ukrasa wake wa X , hapo majuzi.


Je, kwamba utawala wa kiraia ni ndoto ya mchana Uganda?

Au anahamasisha ujasiri kwa vijana majeshini kujiandaa kuchukua hatamu za uongozi wa kisiasa kwa muda muafaka, au ni maandalizi ya mapinduzi ya kidemokrasia Africa mashariki?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Kama siyo kifo cjui hata sisi leo tungekuwa wapi
 
Yuko sahihi bora waafrica tuongozwe kwanza na wanajeshi hadi wanasiasa wapate akili ,waache kuahirisha kufikiri kizalendo
sawa umewabeza wanasiasa ni uhuru na haki yako ya kutoa maoni,

vipi kuhusu vijana na wazee wenye nguvu na vyeo humo ndani ya hilo jeshi la UPDF, waliochoshwa na utawala wa kijeshi wa familia ya Mseveni, na wenye nia na dhamira thabiti ya kuona uganda inafaa kuongozwa kiraia, wanajiskiaje kwa kauli hizi za Gen Muhozi?🐒

huoni hatari ya mapinduzi zaidi hapo?
 
C&P
Mkuu wa Majeshi wa Uganda, Jenerali Muhoozi Kainerugaba, ametangaza rasmi kuwa hatagombea urais katika uchaguzi wa mwaka 2026, isipokuwa ataelekeza nguvu zake jeshini huku akimuunga mkono baba yake, Rais Yoweri Museveni, ambaye anatarajiwa kugombea tena urais mwaka huo.

Kupitia akaunti yake rasmi ya mtandao wa X, Muhoozi ameeeleza kuwa Mungu alimwelekeza aelekeze nguvu zake kwenye jeshi ili kuwalinda raia wa Uganda.

"Ningependa kutangaza kuwa sitakuwa kwenye karatasi ya kura mwaka wa 2026. Mwenyezi Mungu aliniambia nijikite kwanza kwenye Jeshi lake. Kwa hivyo, namuunga mkono kabisa Rais Yoweri Museveni katika uchaguzi ujao", ameeleza Gen. Muhoozi.

Katika taarifa yake, Muhoozi ameonekana kuweka wazi kuwa ataendelea kutumikia kama Mkuu wa Majeshi akisema kuwa hakuna kitu kitakatifu zaidi hapa duniani kuliko Jeshi la wananchi wa Uganda (UPDF).

"Kwa hiyo, siwezi kufikiria heshima kubwa zaidi kuliko kuwa sehemu ya UPDF. Ni ardhi takatifu!! Mungu ibariki UPDF takatifu na Uganda yenye baraka milele”, alisema Muhoozi.

Rais Yoweri Museveni (80) ambaye anatarajiwa kugombea tena urais mwaka 2026, alichaguliwa tena kwa muhula wa sita mwaka 2021, baada ya kuwa madarakani tangu mwaka 1986.

Licha ya tangazo hili, haijulikani kwa nini Muhoozi alibadili uamuzi wake wa kugombea urais, jambo ambalo limewashangaza mashabiki wake wengi waliokuwa tayari kuanza kampeni za kumuunga mkono.

Mwaka 2023, Muhoozi alitangaza nia yake ya kugombea urais mwaka 2026 akisisitiza kuwa ni wakati wa kizazi kipya kuchukua hatamu za uongozi kwa kuwapumzisha wazee.

"Kwa jina la Yesu Kristo Mungu wangu, kwa jina la vijana wote wa Uganda na dunia, na kwa jina la mapinduzi yetu makubwa, nitasimama kugombea urais mwaka 2026”, ameandika Muhoozi.

Uchaguzi wa mwaka 2026 unatarajiwa kuvutia wagombea mashuhuri kama mwanamuziki aliyegeuka mwanasiasa, Robert Kyagulanyi maarufu kama Bobi Wine, na Dk. Kizza Besigye, hata hivyo kauli nyingine ya Muhoozi huenda ikabadili mwelekeo wa siasa za Uganda.

Amesema kuwa kamwe vyombo vya Ulinzi na Usalama vya Uganda havitaruhusu raia kushika madaraka ya Urais pindi baba yake atakapoamua kutokugombea.

"Hakuna raia atakayeongoza Uganda baada ya Rais Museveni. Vikosi vya usalama havitaruhusu hilo. Kiongozi ajaye atakuwa mwanajeshi au polisi", Gen Muhozi Kainerugaba aliandika hivyo kwenye ukrasa wake wa X , hapo majuzi.


Je, kwamba utawala wa kiraia ni ndoto ya mchana Uganda?

Au anahamasisha ujasiri kwa vijana majeshini kujiandaa kuchukua hatamu za uongozi wa kisiasa kwa muda muafaka, au ni maandalizi ya mapinduzi ya kidemokrasia Africa mashariki?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Kwani hapo kuna tofauti ipi na CCM ya TZ? Si huwa mnabadirisha magarasha tu; wote Sawa tu, Africa ni laana
 
ndiyo,
ni sawa. Lakini kuna haja ya vitisho na kujiapiza kwamba hakuna raia au polisi ataingoza Uganda?

huko si kuwaamsha sasa ili wajitokeze kijeshi kutoka humo humo ndani anapopadharau?🐒

huko si kuamsha hasira, tamaa na ubabe ndani ya Majeshi ya Uganda?
Wapo generals wenye sifa na uwezo dhidi yake huenda wamejiskia vibaya sana 🐒
Sawa...kuna hotuba yake moja alisema ilikumtoa na wao waingie
Msituni 😄 mpaka akawa anajiita quarter pin

Ova
 
Jitahidi unavo andika maada mtandaoni
Ambatanisha
1.Picha
2.chanzo cha habari
3.Ushahidi au nukuu

Usiandike tu kama kijana wa mparange aliyeokota simu
Huyu Generali yuko vizuri kichwani amesomea mambo mengi wewe Google tu kuhusu yeye, alipelekwa kusoma shule nzuri
 
Huyu Generali yuko vizuri kichwani amesomea mambo mengi wewe Google tu kuhusu yeye, alipelekwa kusoma shule nzuri
Basi shule itakua imemuharibu sana, amejaa akili mingi mno, mpaka sasa upeo, Ufahamu na uelewa wake umekua wa kupindukia, na inaonekana upeo huo unamrejesha utotoni kifikra kwasababu maoni yake yaliyojaa, majivuno, kiburi na jeuri yanaamsha hasira za raia na vijana kwa wazee wenye nia nadhamira ya dhati ya kuona Uganda yenye utawala wa kiraia unasonga mbele kwa mipango madhubuti ya maendeleo na sio majivuno na majigambo mtu fulani 🐒
 
Hana busara kabisa na staha ya mdomo wake. Si unakumbuka dharau zake kwa Nchi na jeshi la Kenya mpaka ikabidi baba yake aombe msamaha kwa wakenya.
Yes,
nakumbuka vizuri sana ile,
For sure the gentleman ni tishio kwa demokrasia ya uganda,

Lakini pia kwa uhai na ustawi wa jumuiya ya Africa Mashariki.
 
Back
Top Bottom