BASHITE ndio mpangaKuungua kwa soko la Mitumba Karume limefanya nifikirie mambo mengi mpaka jibu sina, kumbuka huyu bwana alipokuwa Mbeya mwendo wa kuwaka moto masoko, ilikuwa shida sasa naona imehamia DSM. Sasa huyu mkuu ana mkosi au kuna namna?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
BASHITE ndio mpangaKuungua kwa soko la Mitumba Karume limefanya nifikirie mambo mengi mpaka jibu sina, kumbuka huyu bwana alipokuwa Mbeya mwendo wa kuwaka moto masoko, ilikuwa shida sasa naona imehamia DSM. Sasa huyu mkuu ana mkosi au kuna namna?
Ni mwalimuHuna kazi ya kufanya wewe sasa
Hapo sawa maana ualimu hauna mipakaNi mwalimu
Lisemwalo lipo.Wanyetshaji wanakwambia yeye pekee ndio huweza ifanya kazi hiyo kwa ufanisi..
Nyie si wabishi.
Mind your language.Anaujua ukweli wote. Anafanya kazi yake ipasavyo.
Machinga wapo na hakuna chinga aliyeondolewa popote , yule makala ni mropokaji tu anaongea kumfurahisha mama ila hakuna machinga aliyemuondoa hapa Dar ... niambie kawaondia machinga wa sehem gan hapa dar?Kama aliweza waondoa machinga huku anakunywa soda hiyo Kazi ashindwi
Hakika...Wanyetshaji wanakwambia yeye pekee ndio huweza ifanya kazi hiyo kwa ufanisi..
Nyie si wabishi.
Mwenge mkuu na vibanda barabaran au naona tofauti na uonavyo ww mkuu wanguMachinga wapo na hakuna chinga aliyeondolewa popote , yule makala ni mropokaji tu anaongea kumfurahisha mama ila hakuna machinga aliyemuondoa hapa Dar ... niambie kawaondia machinga wa sehem gan hapa dar?
Karibu, Mkuu Faiza Foxy anakusalimia.kuunguwa --- kuungua
solo --- soko
karume --- Karume
nifikilie --- nifikirie
mbeya --- Mbeya
imeamia --- imehamia
dsm --- Dsm
Congo, Sijafika Dar es Salaam kitambo.Machinga wapo na hakuna chinga aliyeondolewa popote , yule makala ni mropokaji tu anaongea kumfurahisha mama ila hakuna machinga aliyemuondoa hapa Dar ... niambie kawaondia machinga wa sehem gan hapa dar?
Alichofanya ni kuondoa vibanda hajamuondoa machinga yoyoteMwenge mkuu na vibanda barabaran au naona tofauti na uonavyo ww mkuu wangu
Hahahahah ana nyota ya motoKuungua kwa soko la Mitumba Karume limefanya nifikirie mambo mengi mpaka jibu sina, kumbuka huyu bwana alipokuwa Mbeya mwendo wa kuwaka moto masoko, ilikuwa shida sasa naona imehamia DSM. Sasa huyu mkuu ana mkosi au kuna namna?
Sio mkaazi wa dar unasema hivyoMachinga wapo na hakuna chinga aliyeondolewa popote , yule makala ni mropokaji tu anaongea kumfurahisha mama ila hakuna machinga aliyemuondoa hapa Dar ... niambie kawaondia machinga wa sehem gan hapa dar?
Afukizwe na ashtakiwe kwa ugaidi. Magaidi yanajikalia tu ofisini huku yakiendelea kuratibu vitendo vya kigaidi.Kuungua kwa soko la Mitumba Karume limefanya nifikirie mambo mengi mpaka jibu sina, kumbuka huyu bwana alipokuwa Mbeya mwendo wa kuwaka moto masoko, ilikuwa shida sasa naona imehamia DSM. Sasa huyu mkuu ana mkosi au kuna namna?