Mkuu wa Mkoa Amos Makalla ana mkosi au kuna nini? Mbona masoko yanaungua sana?

Mkuu wa Mkoa Amos Makalla ana mkosi au kuna nini? Mbona masoko yanaungua sana?

Mwamba ni master minder , anaweza asiwe mzuri kusimamia maendeleo mengine lakini kwa sector hiyo ya master minder hasa matukio kama hayo yuko vizuri. Mkimpeleka Arusha haichukui round yale masoko , Moshi hivyo hivyo yaani popote hadi wananchi wamkatae labda
 
Back
Top Bottom