Mkuu wa Mkoa Amos Makalla ana mkosi au kuna nini? Mbona masoko yanaungua sana?

Mwamba ni master minder , anaweza asiwe mzuri kusimamia maendeleo mengine lakini kwa sector hiyo ya master minder hasa matukio kama hayo yuko vizuri. Mkimpeleka Arusha haichukui round yale masoko , Moshi hivyo hivyo yaani popote hadi wananchi wamkatae labda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…