Game Theory
JF-Expert Member
- Sep 5, 2006
- 8,546
- 855
Bado ninasimamia point yangu kuwa Mkono, anatumwa na "mkono mzito" kusimamia hii kesi, pamoja na sababu ya kimsingi ya dada wa Blaza Dito kuwa ofisini kwake,
Muulize Dr. Kitine, nani anaye-run the show bongo kati ya sheria na wanasiasa, ni wanasiasa wa CCM ndio wanao-run the show bongo, kitendo cha Mkono kuingia kichwa kichwa hii kesi ni lazima kina baraka toka kwa some politician au a politician, kwa sababu ni kitendo cha kuweka career yake politically, kisheria, na biashara zake kwenye line!
Na yeye binafsi anaijua bongo kuliko, kwa hiyo haiwezekani kabisaaa kuwa ameingia tuu for the sake ya utetezi kwa sababu ni mwanasheria, No Way! na tunajua better, isipokuwa tu chenye mwanzo huwa lazima kiwe na mwisho, na kwa bahati mbaya mwisho wa viongozi corrupt huja bila barua,
Unless, prosecutors wasifanye kazi yao kwenye hii kesi, maana ukweli ni kwamba kuna pattern ya Blaza Dito na Bastola, tena siku moja kabla hajaitumia alikuwa tayari amemtishia nayo mkewe, na huko nyuma tayari alishawahi kupiga risasi matairi ya gari la mwananchi mmoja, halafu tena alishawahi kuzipiga hewani kuwatisha wananchi, kwa hiyo nilitegemea Mzee kama Mkono atakuwa makini kutojiingiza na kitu kama hiii ambayo wazi kuwa imekuwa ni tabia ya Blaza Dito kucheza cheza na Bastola,
Lakini tunajua kuwa Mzee Mkono sio mjinga, ni lazima ana baraka za mzito mmoja au wengi, lakini aangallie usije ukawa mtego wa panya ambao huingiza waliokuwemo na wasiokuwemo, ARROGANCE ndiyo imemfikisha Blaza Dito hapo alipo, I hope siyo the same ARROGANCE inayomfanya Mzee Mkono aingie kichwa kichwa,
maana kama Human Right Watch Dogs & NGO's walivyomwambia Rais JK, kuwa kwenye hili wote wako macho kuona haki inatendeka!
Ni haki ya Mkono kumtetea Blaza Dito, lakini pia ni haki ya wananchi kuuliza Mwanasheria mbunge, anapokwenda kumtetea Mkuu wa Mkoa, aliyeuwa kwa makusudi!, tena dereva wa basi la walalahoi!
by the way hakuna sheria inayomkataza kutomwakilisha dito regardless of how people think ....na kama kuna mtu ana UPUPU wa MR MKONO then aanzishe separate thread ambako najua wataalam watakuja na mitazamo tofauti
Sula lingine usisahau kuwa ma Prosecutors kule kwetu ndio wenyewe kwa kuboronga sasa nchi ina wasomi wasiosoma small print then what else do you need?
Wangapi waluliwa kule Bulyankulu na mpaka leo nani aliwajibishwa? Mv Bukoba nani aliwajibishwa?