Hauelewi ila unajifanya unaelewa.Wewe kinachokusumbua inaonekana uko kwenye kundi la legacy badala ya kuangalia mahitaji ya nchi.Unachoshindwa kurlewa ni kwamba kabla ya huyo magufuli kazi zilikuwepo na watu walifanya na zitaendelea kuwepo hadi mwisho wa dunia.Kwahiyo hakuna mtu special kwenye nchi.Ndo maana tunasema hakuitajiki kua na mtu wakutusukuma bali iwepo mifumo ili ifanye kazi miaka mingi zaidi umri ambao huyo mtu wako wakukufokea hawezi kufika.
Kwahiyo magufuli alikuwa na nidham ya moyo!!. Mmejaa roho mbaya wapuuz wakubwaHauelewi ila unajifanya unaelewa.
Hoja hapa ni kuwa hakuna nidhamu ya moyoni kwenye kufanya kazi
Una kichwa kizito sana.
Ndugu,ungekuwa wewe au mzazi wako ni mmoja kati ya waliokuwa wananyaswa na kudhalilishwa hadharani, lazima ungejali.Kuongoza maana yake ni kusimamia; hakuna uongozi bila usiamamizi.
Ndiyo maana nilishangaa sana kauli iliyotolewa na rais kwamba watu walikuwa na nidhamu ya woga kwa sababu ya kusimamiwa.
Who cares iwapo nidhamu hiyo ni ya woga au ni ya halali ilimradi shughuli za serikali zinakwenda inavyotakiwa?
Cheki hii ndizi.Kwahiyo magufuli alikuwa na nidham ya moyo!!. Mmejaa roho mbaya wapuuz wakubwa
Ustaarabu ni kitu cha bure. Jenga hoja acha matusi.Kwani huu umeanzisha ww hivyo unatembea na marking scheme, au ni wa mumeo hivyo una haki ya urithi kwenye kila kitu cha mumeo?
Nani kakuambia rais afoke? Kusimamia madaraka ya urais sio lazima afoke. Kumbuka bianadamu anaishi kwa mazoea .Haya ndiyo yanaitwa mawazo mgando. Nchi yenye Katiba Bora lazima iwe na mifumo inayofanya kazi.
Kuwa na Rais anayefoka ni kielelezo cha mapungufu ya mfumo au ya Rais mwenyewe. Kwa nini UFOKE wakati una vyombo vyako vya kufanyia kazi.
Iko siku Nyankurungu2020 utakuja sema kuwa Tanzania inapaswa kuwa na Rais anayetafuna mahindi barabarani, au Rais anayenunua mapapai au Rais anayekaa vijiweni.
Hayo maujinga yote tumeyafukia na Mwendazake mwaka jana mwezi Machi pale Chato
Ndugai alikaripiwa hadharani bila ya kukosea.Nyerere hakuwa na hulka (compulsive) ya kufokea viongozi na watumishi ovyo ovyo tena hadharani. Ilifanyika kwa visa na nyakati maalum. Wala haikuingia mubashara kwenye media (magazetini na kwenye radio).
Mambo yalikuwa yakimalizwa katika mazingira ya kiofisi Ikulu. Wananchi walikuwa wakijionea matokeo tu na kukisia kuwa kuna mtikisiko umepita huko Ikulu, au wizarani au kwenye shirika au kwenye taasisi. Kinachofuatia ni kuvuja kwa udaku.
Hii ya awamu ya tano ni kipropaganda zaidi kama show biz vile. Maagizo ya kazi, maonyo, kejeli, vitisho, adhabu zinatangazwa hadharani hata kwenye taarifa ya habari. Ujinga huo haukuwepo wakati wa Mwalimu na nidhamu ilikuwepo.
We makalio unajitambua?Itabidi ukamfufue jamaa yako aje kuongoza tena maana tumechoka na kelele zako.
Tunashindwa kutofautisha kati ya UOGA na NIDHAMU. Mara zote sio lazima upende kutoka moyoni kutii Sheria / Kanuni/ SOPs..Inatukumbusha Sayansi Darasa la V. Matendo ya Hiyari na Yasiyo ya Hiyari.Siyo hospital yetu tu, hali ipo hivyo kote.
Hakuna nidhamu ya moyoni na kwa asili Waafrika hatupendi kazi, tunaona ni utumwa.
That's why tunahitaji kiongozi imara kama Magufuli anayeweza kusimamia vizuri.
Na hiyo ndio nidhamu yetu ya moyoni.
Ndiyo maana Nyumba nyingi sana zinaharibiwa na akina Mama Kama Baba hayupo, hadi Masela wanaingia ndani! Lakini Dingi akiwepo hata hao Masela watapita mbali sana na hiyo Nyumba!!Bi tozo yeye anasema hana hulka ya kufokafoka kwa sababu ana watu wanaoamua kwa niaba yake.
tofauti na hayati JPM, yeye alijua wazi ukiwaacha baadhi ya watu wafanye wapendavyo nchi ingeenda mlama.
Kama ilivyo hivi sasa, mfumuko wa bei, hakuna anayeudhibiti!
Watu wanafanya wanavyoona inafaa.
Waafrika tunatafsiri kazi kama utumwa...Tunashindwa kutofautisha kati ya UOGA na NIDHAMU. Mara zote sio lazima upende kutoka moyoni kutii Sheria / Kanuni/ SOPs..Inatukumbusha Sayansi Darasa la V. Matendo ya Hiyari na Yasiyo ya Hiyari.
Hiyari Yashinda Utumwa.
Mkuu kwenye hii hospital ninayofanyia kazi siku hizi tunaingia ofisi 07:30 then tunakuwa na vikao vya Morning Report mpaka 09:00 hadi 09:30.
Hapo mtaenda kuhudumia wagonjwa hadi kwenye 10:30 halafu watu wanaenda canteen kunywa chai. Chai inanyweka huku stori zinapigwa hata mpaka 12:00 hivi au zaidi.
Mkirudi mnafanya kazi saa moja au moja na nusu mnarudi canteen kupata lunch ndio mpaka saa 15:30 watu wanarudi ku-sign out. Siku imeisha.
Hiyo ndio nidhamu ya moyoni ya hawa Watanzania hapa nilipo. Enzi za Magufuli tulinyooshwa na kazi zilifanyika kwa weledi knowing ukizingua imekula kwako.
RIP Magufuli.
Hatuna mkuu wa nchi bali tuna zombi fulani hivi lipo ikuluNini kimemkumba mkuu wa nchi yetu?
Hata ulaya na uchina hawakufika kwa pale kwa kuwa legelege..Waafrika tunatafsiri kazi kama utumwa...
As a result wengi wetu hatupendi kazi na ndio maana bila kusimamiwa kazi haiendi.
Hiari yetu ni kutokupenda kazi.
Na kwa nini Mfanyakazi uwogope kusimamiwa na mwajiri wako!? Unaficha nini!?Kuongoza maana yake ni kusimamia; hakuna uongozi bila usiamamizi.
Ndiyo maana nilishangaa sana kauli iliyotolewa na rais kwamba watu walikuwa na nidhamu ya woga kwa sababu ya kusimamiwa.
Who cares iwapo nidhamu hiyo ni ya woga au ni ya halali ilimradi shughuli za serikali zinakwenda inavyotakiwa?
Muhuni kaenda kuwa Balozi. Achana na wahuni.Wahuni siyo watu wazuri.
Na kuna nidhamu ya uoga!Tunashindwa kutofautisha kati ya UOGA na NIDHAMU. Mara zote sio lazima upende kutoka moyoni kutii Sheria / Kanuni/ SOPs..Inatukumbusha Sayansi Darasa la V. Matendo ya Hiyari na Yasiyo ya Hiyari.
Hiyari Yashinda Utumwa.
Nani alikuambia mkifanya kazi vifo havitokei?Enzi za Magufuli si ndio wahanga wa ajali ya moto wa lori la mafuta hapo Morogoro walifia wote hapa Muhimbili wakati wangeweza kupona. Au unadhani ukitunga story ndio utatopoteza maboya? Sasa kama enzi za Magufuli mlikuwa mnafanya kazi hivyo, mbona mlishindwa kumtibu Covid?