Mkuu wa nchi lazima awe mkali na aogopwe. Asipoogopwa kila kitu kitakwenda mrama. Hata hayati Julius Nyerere aliogopwa na alikuwa mkali

Hauelewi ila unajifanya unaelewa.

Hoja hapa ni kuwa hakuna nidhamu ya moyoni kwenye kufanya kazi

Una kichwa kizito sana.
 
Vijana waliopewa kuuwa watu kipindi Cha Simba wa yuda mmeanza kujitokeza!!, Mliwaza kutumia nguvu bila maarifa ndio njia ya kutatua changamoto, mmekatili maisha ya watu huku mkineemeka wachache kwa kivuli Cha kuwatengenezea drama wananchi. Puuzi kubwa hili.
 
Hauelewi ila unajifanya unaelewa.

Hoja hapa ni kuwa hakuna nidhamu ya moyoni kwenye kufanya kazi

Una kichwa kizito sana.
Kwahiyo magufuli alikuwa na nidham ya moyo!!. Mmejaa roho mbaya wapuuz wakubwa
 
Ndugu,ungekuwa wewe au mzazi wako ni mmoja kati ya waliokuwa wananyaswa na kudhalilishwa hadharani, lazima ungejali.
Ungekuwa ni ni mmoja kati ya wanaojali na kuthamini utu na haki za wengine, ungejali.
Yaonekana hukujaliwa Upendo.
 
Kwani huu umeanzisha ww hivyo unatembea na marking scheme, au ni wa mumeo hivyo una haki ya urithi kwenye kila kitu cha mumeo?
Ustaarabu ni kitu cha bure. Jenga hoja acha matusi.
 
Nani kakuambia rais afoke? Kusimamia madaraka ya urais sio lazima afoke. Kumbuka bianadamu anaishi kwa mazoea .

Kuwa na katiba Bora haimaanishi kuwa mamlaka ya urais yasionekane pale uzembe unapotokea.
 
Ndugai alikaripiwa hadharani bila ya kukosea.
 
Siyo hospital yetu tu, hali ipo hivyo kote.

Hakuna nidhamu ya moyoni na kwa asili Waafrika hatupendi kazi, tunaona ni utumwa.

That's why tunahitaji kiongozi imara kama Magufuli anayeweza kusimamia vizuri.

Na hiyo ndio nidhamu yetu ya moyoni.
Tunashindwa kutofautisha kati ya UOGA na NIDHAMU. Mara zote sio lazima upende kutoka moyoni kutii Sheria / Kanuni/ SOPs..Inatukumbusha Sayansi Darasa la V. Matendo ya Hiyari na Yasiyo ya Hiyari.

Hiyari Yashinda Utumwa.
 
Ndiyo maana Nyumba nyingi sana zinaharibiwa na akina Mama Kama Baba hayupo, hadi Masela wanaingia ndani! Lakini Dingi akiwepo hata hao Masela watapita mbali sana na hiyo Nyumba!!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Tunashindwa kutofautisha kati ya UOGA na NIDHAMU. Mara zote sio lazima upende kutoka moyoni kutii Sheria / Kanuni/ SOPs..Inatukumbusha Sayansi Darasa la V. Matendo ya Hiyari na Yasiyo ya Hiyari.

Hiyari Yashinda Utumwa.
Waafrika tunatafsiri kazi kama utumwa...

As a result wengi wetu hatupendi kazi na ndio maana bila kusimamiwa kazi haiendi.

Hiari yetu ni kutokupenda kazi.
 

Enzi za Magufuli si ndio wahanga wa ajali ya moto wa lori la mafuta hapo Morogoro walifia wote hapa Muhimbili wakati wangeweza kupona. Au unadhani ukitunga story ndio utatopoteza maboya? Sasa kama enzi za Magufuli mlikuwa mnafanya kazi hivyo, mbona mlishindwa kumtibu Covid?
 
Waafrika tunatafsiri kazi kama utumwa...

As a result wengi wetu hatupendi kazi na ndio maana bila kusimamiwa kazi haiendi.

Hiari yetu ni kutokupenda kazi.
Hata ulaya na uchina hawakufika kwa pale kwa kuwa legelege..
Na hata sasa kwao mambo ya ufisadi na uhujumu unaadhibiwa kama mnyama
 
Na kwa nini Mfanyakazi uwogope kusimamiwa na mwajiri wako!? Unaficha nini!?

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Tunashindwa kutofautisha kati ya UOGA na NIDHAMU. Mara zote sio lazima upende kutoka moyoni kutii Sheria / Kanuni/ SOPs..Inatukumbusha Sayansi Darasa la V. Matendo ya Hiyari na Yasiyo ya Hiyari.

Hiyari Yashinda Utumwa.
Na kuna nidhamu ya uoga!
 
Nani alikuambia mkifanya kazi vifo havitokei?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…