Ila sisi tunaambiana tule kwa urefu wa kamba zetu.Hata ulaya na uchina hawakufika kwa pale kwa kuwa legelege..
Na hata sasa kwao mambo ya ufisadi na uhujumu unaadhibiwa kama mnyama
Kabisa. Na alisema mtanikumbuka.Rais alikufa mwaka jana.
Kwani mhuni ni nani? I am interested in its definition.Muhuni kaenda kuwa Balozi. Achana na wahuni.
Nini kimemkumba mkuu wa nchi yetu?
Kosa letu miaka nenda rudi ni kusimama na CHAMA na sio NCHI. Hayati JPM aliliondoa hilo akasimama na TAIFA . Aliwaponda Wapinzani kwa maneno lakini kivitendo aliwaunga mkono na kuwashirikisha katika kazi kwa teuzi mbalimbali ambao leo tumerudi kulekule ( CCM INA WENYEWE ) Tunadhani tunawakomoa kina wateule wake waliotoka upinzani kumbe alikuwa analiunganisha TAIFA.Ila sisi tunaambiana tule kwa urefu wa kamba zetu.
Nyie misukule wa Mwendazake ndiyo mmaotaka Samia awe anafoka kama MwendazakeNani kakuambia rais afoke? Kusimamia madaraka ya urais sio lazima afoke. Kumbuka bianadamu anaishi kwa mazoea .
Kuwa na katiba Bora haimaanishi kuwa mamlaka ya urais yasionekane pale uzembe unapotokea.
Ndio maana JPM alikuwa Rais wa kipekee sana.Kosa letu miaka nenda rudi ni kusimama na CHAMA na sio NCHI. Hayati JPM aliliondoa hilo akasimama na TAIFA . Aliwaponda Wapinzani kwa maneno lakini kivitendo aliwaunga mkono na kuwashirikisha katika kazi kwa teuzi mbalimbali ambao leo tumerudi kulekule ( CCM INA WENYEWE ) Tunadhani tunawakomoa kina wateule wake waliotoka upinzani kumbe alikuwa analiunganisha TAIFA.
PUa,puuaa...unaelewaaana ya mfumo wewe!?Magufuli hakuwahi kuja hospitalini ila kazi zilifanyika.
Aliwabana wa juu, chain ikaja hadi chini.
Mifumo yote ilikuwa imara enzi zake.
Uwezo wako wa kutambua mambo ni mdogo fala mkubwaNyie misukule wa Mwendazake ndiyo mmaotaka Samia awe anafoka kama Mwendazake
Umekosea Taga...Sema uwezo wakee wa kutambua mazuri ya Magufuli ni mdogo ,we fala!?Uwezo wako wa kutambua mambo ni mdogo fala mkubwa
Toka lini mfumuko wa bei ukadhibitwa kwa kufoka! Kama kufoka kunasaidia kutengeneza strong institutions basi dawa ingekuwa kuajiri mbwa wa kutosha .Bi tozo yeye anasema hana hulka ya kufokafoka kwa sababu ana watu wanaoamua kwa niaba yake.
tofauti na hayati JPM, yeye alijua wazi ukiwaacha baadhi ya watu wafanye wapendavyo nchi ingeenda mlama.
Kama ilivyo hivi sasa, mfumuko wa bei, hakuna anayeudhibiti!
Watu wanafanya wanavyoona inafaa.
swali zuri sanaNa kwa nini Mfanyakazi uwogope kusimamiwa na mwajiri wako!? Unaficha nini!?
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Mimi au mzazi wangu tusingefokewa hadharani kwa vile tungekuwa tumetekeleza majukumu yetu ipasavayo. Wote waliowahi kufokewa ni wale waliokuwa wamefanya vibaya kwenye majukumu yao, na hawawezi kuachiliwa waendelee kuharibu.Ndugu,ungekuwa wewe au mzazi wako ni mmoja kati ya waliokuwa wananyaswa na kudhalilishwa hadharani, lazima ungejali.
Ungekuwa ni ni mmoja kati ya wanaojali na kuthamini utu na haki za wengine, ungejali.
Yaonekana hukujaliwa Upendo.
Nani alikuambia mkifanya kazi vifo havitokei?
Kwahili Sina budi nikutukane kwamba hakiri zako ni ndogo kama mavi ya asubui.Amerika Waamerika hawamuogopi President wanamuheshimu vivyo hivyo nchi lukuki duniani watu wao President ni mwananchi mwenzao tu wanampa ile heshima tu ya kiongozi. Huku Afrika kuna raia kama wewe mleta sledi mnatutaka tuishi kama tupo kwenye zama za Anno Donimo (AD) enzi za akina Kayafa, Herode, Pilato, Koreshi huko Guba ya Uajemi, maFirauni aka maFarao wa Sinai nk
Analiunganisha taifa kwa kuvunjavunja miguu ya wenzake kwa marisasi, kwa kuwavunjia nyumba watu wasio wa kaBila lake na kuziacha za watu wa kabila lake, kwa kuwawinda wenzake kama digidig, kuwateka, kuwatesa, kuwapoteza, kuvamia akaunti za watu benk na maovu kadha wa kadha. UajiKosa letu miaka nenda rudi ni kusimama na CHAMA na sio NCHI. Hayati JPM aliliondoa hilo akasimama na TAIFA . Aliwaponda Wapinzani kwa maneno lakini kivitendo aliwaunga mkono na kuwashirikisha katika kazi kwa teuzi mbalimbali ambao leo tumerudi kulekule ( CCM INA WENYEWE ) Tunadhani tunawakomoa kina wateule wake waliotoka upinzani kumbe alikuwa analiunganisha TAIFA.
Rais gani wa kupita wewe bwegekwani sasa hivi hamuwi kwenye matatizo? siku yakikukuta utashukiwa individually.
Hata kipindi cha Magu walikuwepo nunda kama wewe, ndio maana leo tunawaona Makonda na Sabaya wakitiwa akili.
Wangekuwa wameisha watu wa hovyo basi jiwe asingekuwa anafukuza/simamisha watu kila leo.
Concern ya Rais ni smart sana,tusimamie taratibu kama wasomi na sio nguruwe mpaka aswagwe.
Tujenge taasisi imara za kusimamiana,rais atapita lakini taasisi smart zitabaki. Mf mzuri Hayati amesepa halafu mnabaki na nini?hayati angekuwa smart angeimarisha taasisi na sio kukaza kichwa tu kama vile utakuwepo milele