Mkuu wa Silaha wa Hamas, Mahsein Abu Zina auawa

Hawachelewi kusema mkuu wa kitengo Cha silaha wa hamas ni mtoto, ko Israel wameua mtoto😁😁 hayo magaidi yachakatwe mpka yakome

Ni style ya Hamas. Wakiona wamefanya uchokozi na wanapigwa hukimbilia kuhamasisha maanadamano ya kusitishwa mapigano. Sasa mwaka huu yamegonga mwamba.
 
Hizi muvi hizi!

Wanamgambo hawana hata kifaru,wakateka eneo ndani ya Israel sawa na Gaza strip

Ngoja tumalizane na Yahya Sinwar kwanza. Maana anaomba msaada na hakuna wa kumsaidia. Israel walimuachia kutoka Gerezani mwaka 2011, na Wala hakujifunza. Ngoja wammalize kwanza.
 
Una uhakika na Hilo?

Katibu mkuu UN aliwaambia Israel watoe ushahidi Hamas wameua raia kwenye tamasha,wakatoa macho tuu.

Aisee watu mna roho ngumu Sana. Kwa hivyo unadai wale sio Hamas?. Aisee. Ngoja Israel awamalize wote hao Magaidi ili heshima irudi.
 
Yemen, Syria, Lebanon zipo hapo Gaza ? Ukiitwa tahira unafikiri utakuwa unakosewa ? Jinga kabisa

Punguza bangi , tahira utakuwa mwenyewe. Usiniletee hasira zako hapa. Wapoganaji wa Houthi hawarushi makombora Israel na Hizbollah hawarushi makombora Israel?. Tatizo unadhani vita vipo Gaza pekee. Wewe unadhani kwanini Israel anarusha makombora Syria?. Kuna kundi lipo kule linajipanga kuvamia ndio maana akapiga Kambi yao wakasambaratika.

Hujiulizi kwanini baada ya Hamas kuvamia Israel, Hizbollah akawa anarusha makombora Israel?. Ngoja tuwasafishe hawa Magaidi kwanza.
 
Na nyie mlikua mnashangilia nini tare 07/ October. Mamaezenyu tulieni kitu ya moto ipenye nadhani mlishafundishwa kuinama vizuri au sio maalimu ?

Nashangaa Sasa hivi wengi wamegeuka. Ni Hawa walikuwa wanacheka na Kufurahia , ila Sasa hivi wanadai sio Hamas walioshambulia Israel. Na wamepigwa mpaka wamechakaa.
 

Iran anaitumia Hamas kuwamaliza watu wa Gaza. Sasa Gaza imekuwa mjinwa magofu pekee.
 
Hamas wanamalizwa kabisa duniani, MOSSAD wamesema kokote kule duniani atakapo kuwepo gaidi wa hamas watamfuata na kummaliza, na mossad wanajulikana how deadly they are:
 
Wawakamate hawo
 

Hamas wamekosea Sana. Wangesitisha mapigano mapema na kufanya mazungumzo. Sasa wao wakafanya sifa.
 
Nasema wewe ni tahira.
Nimeuliza nchi gani ya Kiislam inayo pigana na Israel hapo Gaza ? mpaka sasa unauma uma kucha kama unatongozwa.

Nauliza tena nchi gani ya Kiislam inayo pigana na Israel hapo Gaza ?
 

Hamas walikosea Sana. Sijui walilenga Nini kuvamia Israel. Na sijui walikuwa na mpango upi baada ya hapo.
 
hawa jamaa kumbe akili hawana. Baada ya kuzingirwa ndio wanataka makubaliano

Walikuwa wanatishia Israel akiingia Gaza wataua mateka wote. Israel akawa anatwanga tu, Sasa wameona wanakaribia kufutwa ndio wanaomba maridhiano
 
Hamas wanamalizwa kabisa duniani, MOSSAD wamesema kokote kule duniani atakapo kuwepo gaidi wa hamas watamfuata na kummaliza, na mossad wanajulikana how deadly they are:

Kweli. Na juzi wamezuia shambulio la jamaa wa Hamas kule Brazil.
 
Nasema wewe ni tahira.
Nimeuliza nchi gani ya Kiislam inayo pigana na Israel hapo Gaza ? mpaka sasa unauma uma kucha kama unatongozwa.

Nauliza tena nchi gani ya Kiislam inayo pigana na Israel hapo Gaza ?

Nchi ya Lebanon, Iran, Yemen na Syria. Misri Kapiga kimya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…