Mkuu wa Ujasusi wa Rwanda, Lt. Gen Kayumba Nyanwasa, asema Kagame ni chanzo cha matatizo yote Congo na maziwa makuu

Nyamwasa walikuwa pamoja na Kagame muda wote kuanzia miaka ya 1990's mpaka 2010 ilipoonekana Kagame anataka kumuondoa kabisa serikalini akakimbilia Africa Kusini ndipo akaanza kutoa hizi tuhuma zake.
Alikimbilia huko kuokoa maisha yake.
 
Oooh ,...! Ndo maana Kagame ana Hasira na South Africa.
 
Hata Sudan Kusini haikupaswa kupewa uanachama wa EAC kwa sasa.
Yeah nimemsahau na S.Sudan Jumuiya haina standards imara inaokoteza tu takataka yoyote.

Mgogoro huo umeripuka tena jumuiya kimya wala haielewi nini cha kufanya member muathirika wa mgogoro anasusia kikao kama sio uwehu huu nini ?

Kwake yeye anaiamini zaidi SADC kuliko EAC huyu kama sio chizi ni nani ?
 
Hawa watoto wakishaangalia movie za hollywood wanahisi wanajua kila kitu kuhusu ujasusi.
 
Congo has always been unstable kusingizia Rwanda matatizo yote ya Congo ni ufinyu wa akili.

Burundi imechoka kuliko Ileje kuna ubaya gani kakiwa kamkoa ka Rwanda au TZ? Hata fees zao za uanachama EAC wanashindwa kulipa bora iwe mkoa tu.
 
Huo U General na Uluteni aliupata kwa kuua watu. Sasa anaanza kutumiwa na mabeberu wakati yeye mwenyew ni part of problem
 
Congo has always been unstable kusingizia Rwanda matatizo yote ya Congo ni ufinyu wa akili.

Burundi imechoka kuliko Ileje kuna ubaya gani kakiwa kamkoa ka Rwanda au TZ? Hata fees zao za uanachama EAC wanashindwa kulipa bora iwe mkoa tu.
Ufisadi, umalaya na ubinafsi vinamaliza Afrika
 
Hili nimelisoma kwenye makala nyingi sana..... kiufupi Kagame anatamani mno kuwa na Ushawishi huko Drc kuizidi Uganda na Burundi mahasimu wake wa kikanda.

zitto junior JokaKuu
Kagame anataka kujipenyeza ndani kabisa ya DRC, anataka kusimamisha uongozi ambao utakuwa loyal kwake, anataka kuweka mamluki wake ili aifaidi DRC vizuri, na amegundua jeshi la DRC ni dhaifu, ana intel ya kutosha kuhusu jeshi la DRC, hii vita ni ngumu kwa DRC kwa sababu tayari PAKA ameshaweka mashushu kila mahali, analifahamu jeshi la DRC kuliko hata jeshi linavyojifahamu.

Kwa namna yeyote intel ya DRC imefeli, na intel ikifeli hamna tena ujanja,.

Lakini pia Kagame anagomba na kutishia nchi baadhi za SADC kuingilia windo lake, hao waasi wamesema watakwenda hadi Kinshasa.

Pasipo msaada wa SADC, Congo inapigwa na Rwanda hadi Kinshasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…