Hapo ndipo udhaifu wa EAC unapoonekana.Kasema kuna nchi EAC ambazo zikitoka hadharani na kumwambia aache ni ataacha, ila anashangaa hata zenyewe hazisemi kitu kabisa.
Alikimbilia huko kuokoa maisha yake.Nyamwasa walikuwa pamoja na Kagame muda wote kuanzia miaka ya 1990's mpaka 2010 ilipoonekana Kagame anataka kumuondoa kabisa serikalini akakimbilia Africa Kusini ndipo akaanza kutoa hizi tuhuma zake.
Wao SA wakina nani kwaniHii ngoma imevuma sana, unawatisha hadi South Africa? Taifa lenye vifaa bora kijeshi na uchumi mkubwa!.
Ngoja tuone ila ule mwisho naona umekaribia
Muda utaongeaWao SA wakina nani kwani
Kwanza Congo alipaswa asipewe kabisa uanachama wa EAC yeye na Somalia sema kwa sababu hii ni jumuiya ya walevi hivyo inaokoteza kila aina ya takataka.Hapo ndipo udhaifu wa EAC unapoonekana.
Yaani wameshindwa kabisa kumlinda mwanachama mwenzao wa EAC aliyevamiwa na mwanachama mwingine.
Hata Sudan Kusini haikupaswa kupewa uanachama wa EAC kwa sasa.Kwanza Congo alipaswa asipewe kabisa uanachama wa EAC yeye na Somalia sema kwa sababu hii ni jumuiya ya walevi hivyo inaokoteza kila aina ya takataka.
Oooh ,...! Ndo maana Kagame ana Hasira na South Africa.Aliyewahi kuwa mkuu wa ujasusi Rwanda na Balozi wa Rwanda nchini India, Lt. Gen Kayumba anasema matatizo yote yanayotokea mashariki ya Congo yanasababishwa na kagame.
Anasema Congo hamna tena tatizo la Banyamulenge ,lilishakwisha zamani na wana haki sawa na wanahudumu hata sasa katika serikali ya Congo.
Anasema kagame amekuwa Congo zaidi ya miaka 30 akiwaua wahutu wa Fdrl baada ya Genocide mpaka leo, na kwamba hana kisingizio tena kuhusu Fdrl nchini Congo.
Anasema M23 wameiburiwa upya na Rwanda 2021 baada ya Tshikedi kuingia makubaliano na Burundi na Uganda, ndipo Kagame alichukia na kusema kama hajakaribishwa atajikaribisha mwenyewe.
Amekiri Rwanda inaiba madini Congo na kupeleka Rwanda kwa ajili ya kuyauza nje na anasema kila eneo wanaloshika M23 lenye madini, madini uanza kusafirishwa haraka kwenda Rwanda.
Anakiri RDF inatoa sapoti ya 100% kwa M23.
Anasema Rwanda akiikamata Kivu yote, ataivamia Burundi na huo ndio mpango.
Anakiri ndani ya Rwanda wahutu wamefungwa minyororo na kufuri hawana pakuongelea na hawana mtetezi.
Anakiri Rwanda ina wakimbizi wengi wahutu na watusi ambao hawakubalina na sera na utawala wa kagame, na kwamba kagame asipowasikiliza kuna hatarii ya kutokea Genocide nyingine Rwanda.
Kumbuka huyu Mtusi kama ilivyo kwa kagame.
Hapa chini nimeweka interview yake yote ya leo wakati akihojiwa akiwa uhamishoni nchini Afrika Kusini.
View: https://x.com/Sentletse/status/1885998079419003033?t=XrJ7G6I2xDOUSU6Sr__OXg&s=19
Yeah nimemsahau na S.Sudan Jumuiya haina standards imara inaokoteza tu takataka yoyote.Hata Sudan Kusini haikupaswa kupewa uanachama wa EAC kwa sasa.
Tuambie wewe unaye jua kuliko yeye m23 wanasadiwa na nani?
Mimi sijasema najua kuliko yeye. No. Nimesema yeye si mkuu wa ujasusi Rwanda. Nieleweke hivyo tuTuambie wewe unaye jua kuliko yeye m23 wanasadiwa na nani?
Ye anasema anachofnya Kagame ni msukumo wa walio nyuma yake ambae ni wakubwa na mimi namuuliza kwanini akubali kutumika?Anatumika na nani ?
Wewe na huyo General nani anamjua Kagame vizuri.Porojo zake tu kwa vile alishindwa kumpindua Kagame.
huyo mkimbizi anatakiwa awe DEPORTED!!!Ndiyo huyo Yoda ni Mtusi.
Toa sababu zenye mashiko kwanini wasipewe uanachama usiongee kama walevi wa dadii.Kwanza Congo alipaswa asipewe kabisa uanachama wa EAC yeye na Somalia sema kwa sababu hii ni jumuiya ya walevi hivyo inaokoteza kila aina ya takataka.
Hawa watoto wakishaangalia movie za hollywood wanahisi wanajua kila kitu kuhusu ujasusi.Mkuu unamsemea Leutenant General, former Chief of Staff wa jeshi, jasusi, Balozi. Haya unayoandika hapa sio ya wewe kumfundisha yeye, ni ya yeye kutufundisha sisi.
Uliyoandika almost yote kayafanya kama maagizo au mikakati yake kwa ngazi za kati mpaka ngazi ya juu jeshini. Mpaka anafikia kutuhumiwa kumpa challenge Kagame unahisi alikuwa level za kuwa boya mwoga; kutoroka mamlaka, mpaka anasalimika kuuwawa. Unahisi ni kiazi kama unavyomuandika hapa?
Nasema hivi, zipo level ambazo mtu akifikia plus matendo aliyofanya kumtishia kifo ni kujisumbua tu. Anakijua kifo kukuzidi, ameshuhudia vifo, ameshiriki kuua, ameagiza kuua. Sasa kuanza kumuelekeza Rwanda wanaua hivi na vile wakati ndio kazi zake hapo unanishangaza.
Huo U General na Uluteni aliupata kwa kuua watu. Sasa anaanza kutumiwa na mabeberu wakati yeye mwenyew ni part of problemAliyewahi kuwa mkuu wa ujasusi Rwanda na Balozi wa Rwanda nchini India, Lt. Gen Kayumba anasema matatizo yote yanayotokea mashariki ya Congo yanasababishwa na kagame.
Anasema Congo hamna tena tatizo la Banyamulenge ,lilishakwisha zamani na wana haki sawa na wanahudumu hata sasa katika serikali ya Congo.
Anasema kagame amekuwa Congo zaidi ya miaka 30 akiwaua wahutu wa Fdrl baada ya Genocide mpaka leo, na kwamba hana kisingizio tena kuhusu Fdrl nchini Congo.
Anasema M23 wameiburiwa upya na Rwanda 2021 baada ya Tshikedi kuingia makubaliano na Burundi na Uganda, ndipo Kagame alichukia na kusema kama hajakaribishwa atajikaribisha mwenyewe.
Amekiri Rwanda inaiba madini Congo na kupeleka Rwanda kwa ajili ya kuyauza nje na anasema kila eneo wanaloshika M23 lenye madini, madini uanza kusafirishwa haraka kwenda Rwanda.
Anakiri RDF inatoa sapoti ya 100% kwa M23.
Anasema Rwanda akiikamata Kivu yote, ataivamia Burundi na huo ndio mpango.
Anakiri ndani ya Rwanda wahutu wamefungwa minyororo na kufuri hawana pakuongelea na hawana mtetezi.
Anakiri Rwanda ina wakimbizi wengi wahutu na watusi ambao hawakubalina na sera na utawala wa kagame, na kwamba kagame asipowasikiliza kuna hatarii ya kutokea Genocide nyingine Rwanda.
Kumbuka huyu Mtusi kama ilivyo kwa kagame.
Hapa chini nimeweka interview yake yote ya leo wakati akihojiwa akiwa uhamishoni nchini Afrika Kusini.
View: https://x.com/Sentletse/status/1885998079419003033?t=XrJ7G6I2xDOUSU6Sr__OXg&s=19
Ufisadi, umalaya na ubinafsi vinamaliza AfrikaCongo has always been unstable kusingizia Rwanda matatizo yote ya Congo ni ufinyu wa akili.
Burundi imechoka kuliko Ileje kuna ubaya gani kakiwa kamkoa ka Rwanda au TZ? Hata fees zao za uanachama EAC wanashindwa kulipa bora iwe mkoa tu.
Kagame anataka kujipenyeza ndani kabisa ya DRC, anataka kusimamisha uongozi ambao utakuwa loyal kwake, anataka kuweka mamluki wake ili aifaidi DRC vizuri, na amegundua jeshi la DRC ni dhaifu, ana intel ya kutosha kuhusu jeshi la DRC, hii vita ni ngumu kwa DRC kwa sababu tayari PAKA ameshaweka mashushu kila mahali, analifahamu jeshi la DRC kuliko hata jeshi linavyojifahamu.Hili nimelisoma kwenye makala nyingi sana..... kiufupi Kagame anatamani mno kuwa na Ushawishi huko Drc kuizidi Uganda na Burundi mahasimu wake wa kikanda.
zitto junior JokaKuu