mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Hahaha wamsamehe tuLeo halali, na wabongo washamvamia kwenye Twitter yake, and wanamtag Mother balaa! Mwamba kafeli sana, hata Afande Sele hawezi kufanya hivyo
Mdomo umekosea
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha wamsamehe tuLeo halali, na wabongo washamvamia kwenye Twitter yake, and wanamtag Mother balaa! Mwamba kafeli sana, hata Afande Sele hawezi kufanya hivyo
Atakuwa anajuta mda huu.Sahvi akijiona sjui anajionaje
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ova
Sio Masaburi[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Matak* yapewe jina lingine "kasesera"
Hasira tu hizo [emoji23][emoji23][emoji23]Atakuwa anajuta mda huu.
Hivi huyo mwananchi alikuwa anatingisha makalio yakawa yanamvuruga D.C?Hahahaaaa.. . .DC anamtaka mwananchi atulize makalio!!
Mkuu, yalishabaatizwa 'Masaburi' ila sio mbaya lugha yetu adhimu ikiwa na utajiri wa misamiati.Matak* yapewe jina lingine "kasesera"
[emoji23][emoji23][emoji23]Kasesela ni mzee wa Kanisa la KKKT!
Mheshimiwa ni dhahiri alikuwa kayatwika.
Hawa watu wa ccm yaweza kuwa kibri tu mkuuMheshimiwa ni dhahiri alikuwa kayatwika.
Mkuu, ukiangalia vizuri hiyo lugha ya mwili, mtizame usoni, huyo ameutwika, ni kwamba walimkurupusha kwamba kuna hilo jukumu la kutatua kwenye eneo lake la kazi, hakuwa amejiandaa.Hawa watu wa ccm yaweza kuwa kibri tu mkuu
Hahahaaha naona atakua ashapata habari mavi yake, kwaio akaona amalizie hasira mtaani kwa wananchi wasio na hatia hahahahaFulastalasheni ya kutenguliwa next week
Wapambe wa bar haosikujua kama hata Kasesera ana wapambe
Ila huyu dc inaonekana kiungo chake cha mwili anachotumia kukaa kina akili kuliko ubongo wake ndiyo maana anapenda kukitaja taja
Hakuna marefu yasiyo na ncha, aendelee kutukana tu, mama ana taarifa zake, atapata majibu kwenye teuzi za ma DC na RC soon..hata huyo aliyemtukana mzee mtu mzima abaki na mavi yake, yuko kaburini hukokuna muda watu wanakera sana.
ndio maana mwingine aliambiwa asiende kazini na mavi yake.
jitu unajaribu kulisaidia kwa namna linayotaka ila ndio kwaanza makelele mtindo mmoja.
ilifaa mwandishi atuonyeshe huyo jamaa mwenye matako yako[emoji28][emoji28][emoji28].
Kwahio kumbe mnasapoti huo ukumanina ..ndugai wako siku zake zinahesabikandugai alimzima mtu na fimbo ya kichwa,next month akawa speaker.
kuna wakati yafaa nawewe na uzee huo uwe unawaelewa ccm,usiwe kama nyumbu wengine.
Mwendazake angeondoka na hawa maruhani wenzie kwakweli , wewe ukiwemoHapo unawezakuta ni kijana mmoja tu wa ufipa aliamua kuchafua hali ya hewa.