Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Nikki wa Pili aanza kutekeleza majukumu

if you think that femininity is in your breasts, if you need them this big to feel womanly u have a problem! No one will be interested with u, I hate ur boobs
Kama wewe ndo DC mwenyewe, then wewe ni mpumbavu. Kama siyo yeye, unamuharibia mbaya kabisa hata kwa wale walotaka kumsikilizia kwanza.
 
Mpe ushauri tu aache kucheza Sana na camera na media maana zimeponza wengi.
Rais ana vyanzo vingi vya kujua ufanisi wa mteule wake sio kwa kutumia makamera.Anthony Mtaka ni mfano hai
 
Niki bana! Ushapata udc yanini kuendelea kujipigia debe zisizo na kichwa?kwahiyo ulipotembelea hiyo miradi ukatatua changamoto papo kwa papo au sio?
Hahaha umempa za uso
 
Mwambie asiwe na speed sana, hii nchi haina haraka kihivyo anavyofikiri. Ajuane na watu ofisini kwanza then aendelee na kazi
 
Vijana naona ni miyeyusho tu bora tungebaki kwa wazee
 
Hebu prove kama unayo maana huwa sikuamini
Hebu prove kama unayo maana huwa sikuamini kabisa
Huyo nae ni think-tank wa MATAGA anaandika jina la nchi kwa herufi ndogo napo utasikia ana Phd

Halafu ulifikiri mimi nimetunga kama amabvyo CCM mlipika taarifa za msiba na kutudanganya msiba wa dikteta umetazamwa na watu Billion 3 ?
 
Huyo nae ni think-tank wa MATAGA anaandika jina la nchi kwa herufi ndogo napo utasikia ana Phd

Halafu ulifikiri mimi nimetunga kama amabvyo CCM mlipika taarifa za msiba na kutudanganya msiba wa dikteta umetazamwa na watu Billion 3 ?
Kunywa maji mengi alafu sema "Mimi ni mjinga"
 
Sawa niki wa pili tumekusikia
 
Kasikilize hizi nyimbo kwa makini
  • Excellent
  • Good Boy
  • Kiujamaa
  • Bum Kubam
  • Sitaki kazi
  • Safari
  • Kihasara
  • Sweet Mangi
Kwa uchache tu sikiliza hizo nyimbo alafu rudi tena hapa
Mh! Sitaki kazi
 
Jambo la kuigwa? How?
Yaan kufanya majukuu hako napo panahitaji debe?
Mwalimu akifundisha napo ni matangazo?
Punguza mbwembwe bwana mdogo
Jifunze kwa Rc Mtaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…