Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Nikki wa Pili aanza kutekeleza majukumu

Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Nikki wa Pili aanza kutekeleza majukumu

So what? Sasa Kama alikuwa msanii mkubwa Sana why amekubali kuwa DC mdogo Sana.
This is ridiculous



Maeneo rasmi ya matangazo ya shughuli za viongozi wa ngazi ya DC ni kwenye mikutano ya Kijiji, kata, Baraza la madiwani na vikao vya kamati ya ulinzi na usalama vya wilaya husika.

Kupitia Hayo maeneo Kuna watu ambao wanatuma taarifa za Siri katika ngazi za juu za serikali Kwamba huyu DC anafaa ama hafai.

Sasa habari za DC wa Kisarawe zinanihusu nini Mimi mkazi wa Kakonko huku Kigoma ? Kama sio show off?
Kama hazikuhus jifunike shuka sister. Kama zinakuhusu tuendelee
 
What do you mean?!
Kwa upande wa Nikki, regardless ya mapungufu ya kimfumo uliyoyataja kuhusu cheo cha UDC, ambayo mimi nakubaliana nawe, yeye anafanya kazi katika mfumo kama ulivyo, kwa sababu hawezi kubadilisha mfumo mara moja.

Kukianza vita, halafu wewe una gobole, unataka machine gun, itakubidi utumie gobole tu, kwa sababu ndiyo silaha uliyo nayo.

Nina hakika Nikki ana mengi anayotaka kubadilisha, lakini hana jinsi.

Tumeona hata huyu rais kafanya mabadiliko mengi sana ambayo hakuweza kufanya hata alivyokuwa makamu wa rais tu.

Cheo cha Ukuu wa Wilaya sijawahi kuona ulazima wake, ila, kwa kuwa kipo, watu wanaweza kukitumia kufanya kazi nzuri pia.
 
Mkuu wa wilaya hana budget yoyote yuko kisiasa zaidi mkurugenzi ndio anasimamia mapato na madiwani wana msimamia mkurugenzi, Hichi cheo cha kisiasa zaidi. Watumishi wengi katika mkoa ambao wengi wanafanya kazi zilizofanana sana ila wakati ule wa zamani ilikuwa kisiasa zaidi sio utendaji. Leo tunaongelea ma DC kwa kuwa watu wanaochaguliwa walikuwa na maisha nje ya siasa lakini kuna ma DC karibia sijui 100 huko lakini hata siwajui kina nani. Kama manaibu waziri wa nini? kweli kuna wizara kubwa zinahitaji wasaidizi lakini wizara nyingi makatibu wakuu wanatosha kabisa. Huko Zanzibar kabisa haihitaji hata makamu wa Raisi lakini vyeo vinatolewa kifadhila na kisiasa halafu utasikia tubane matumizi. Ma Mayor ndio walitakiwa kufanya kazi zinazofanywa na ma DC nchini maana wamechaguliwa.
 
Mkuu wa wilaya hana budget yoyote yuko kisiasa zaidi mkurugenzi ndio anasimamia mapato na madiwani wana msimamia mkurugenzi, Hichi cheo cha kisiasa zaidi. Watumishi wengi katika mkoa ambao wengi wanafanya kazi zilizofanana sana ila wakati ule wa zamani ilikuwa kisiasa zaidi sio utendaji. Leo tunaongelea ma DC kwa kuwa watu wanaochaguliwa walikuwa na maisha nje ya siasa lakini kuna ma DC karibia sijui 100 huko lakini hata siwajui kina nani. Kama manaibu waziri wa nini? kweli kuna wizara kubwa zinahitaji wasaidizi lakini wizara nyingi makatibu wakuu wanatosha kabisa. Huko Zanzibar kabisa haihitaji hata makamu wa Raisi lakini vyeo vinatolewa kifadhila na kisiasa halafu utasikia tubane matumizi. Ma Mayor ndio walitakiwa kufanya kazi zinazofanywa na ma DC nchini maana wamechaguliwa.
Jifunze kuandika, nimesoma ila sijaelewa
 
Katoka kuapishwa jana tu mzee

Ova
Yaani alichokifanya Niki ni sawa na mtu aliyekwenda beach kupiga picha .

Alitakiwa afanye ziara ya kujitambulisha kwa halmashauri na atoe dira yake, then apange ratiba ya kutembelea vijiji akijitambulisha and huko ndio akague na miradi, sasa jamaa anakurupuka tu utadhania nyumbu wa CHADEMA.

Mshaurini ndg yenu vzr aache papara, huko aliko ni area nyingine kabisa na Wala si hip-hop.
 
Yaani alichokifanya Niki ni sawa na mtu aliyekwenda beach kupiga picha .

Alitakiwa afanye ziara ya kujitambulisha kwa halmashauri na atoe dira yake, then apange ratiba ya kutembelea vijiji akijitambulisha and huko ndio akague na miradi, sasa jamaa anakurupuka tu utadhania nyumbu wa CHADEMA.

Mshaurini ndg yenu vzr aache papara, huko aliko ni area nyingine kabisa na Wala si hip-hop.
Umejuaje kama hajajitambulisha?
 
Yaani alichokifanya Niki ni sawa na mtu aliyekwenda beach kupiga picha .

Alitakiwa afanye ziara ya kujitambulisha kwa halmashauri na atoe dira yake, then apange ratiba ya kutembelea vijiji akijitambulisha and huko ndio akague na miradi, sasa jamaa anakurupuka tu utadhania nyumbu wa CHADEMA.

Mshaurini ndg yenu vzr aache papara, huko aliko ni area nyingine kabisa na Wala si hip-hop.
Duh ina maana hajajitambulisha huko uzaramoni

Ova
 
So what? Sasa Kama alikuwa msanii mkubwa Sana why amekubali kuwa DC mdogo Sana.
This is ridiculous



Maeneo rasmi ya matangazo ya shughuli za viongozi wa ngazi ya DC ni kwenye mikutano ya Kijiji, kata, Baraza la madiwani na vikao vya kamati ya ulinzi na usalama vya wilaya husika.

Kupitia Hayo maeneo Kuna watu ambao wanatuma taarifa za Siri katika ngazi za juu za serikali Kwamba huyu DC anafaa ama hafai.

Sasa habari za DC wa Kisarawe zinanihusu nini Mimi mkazi wa Kakonko huku Kigoma ? Kama sio show off?
Mkuu,

Mimi ni mdau wa Kisarawe. Pugu, Kazimzumbwi, Kinyanyiko, Minaki, Chanzige, Maneromango, Samvulachole, Masaki (original), kote kwetu huko. Sasa niko New York City.

Nafurahi kumuona DC wa Kisarawe akifanya kazi kupitia mitandao, napata habari za kazi zake mara moja. Anafanya kazi kwa "ushirikishwaji wa umma", si kwa kujifungia.

Wewe hujalazimishwa kufuatilia habari za Kisarawe wala kuchangia. Kama unaona hazikuhusu, zipotezee tu.

Kwani kuna mtu kakulazimisha kufuatilia na kuchangia habari hizi?

Kikubwa zaidi, DC namjua naweza kumtafuta mara moja nikamuambia hapo kuna mtu gani atakusaidia vipi, mtu gani muepuke, fulani mwizi, sokoni kuna mpango gani wa kuuangalia. Hospitali pale kuna upigaji gani.Nawajua watu wa pale kwa namna ambayo yeye itakuwa vigumu kuwajua mara moja.

Sasa hapo napo utalaumu DC kufanya kazi kwa uwazi mitandaoni ili hata watu wa Kisarawe tulio New York City na sisi tujue maendeleo ya kwetu na kusaidia?
 
Ametembelea miradi ya afya, ujezi, mazingira, maji na uwezeshaji wa vijana akiwa na siku moja tu kazini. Ni jambo kubwa sana
Hili ni Jambo la kuigwa, mkuu wa wilaya anapaswa kutembelea miradi na kutatua changamoto hapohapo.
kama ni kutembelea tu, ni sawa. Ziara yake kuweza kuwa na impact ni jambo lingine
 
Kwa upande wa Nikki, regardless ya mapungufu ya kimfumo uliyoyataja kuhusu cheo cha UDC, ambayo mimi nakubaliana nawe, yeye qnafanya kazi katika mfumo kama ulivyo, kwa sababu hawezi kubadilisha mfumo mara moja.

Kukianza vita, halafu wewe una gobole, unataka machine gun, itakubidi utumie gobole tu, kwa sababu ndiyo silaha uliyo nayo.

Nina hakika Nikki ana mengi anayotaka kubadilisha, lakini hana jinsi.

Tumeona hata huyu rais kafanya mabadiliko mengi sana ambayo hakuweza kufanya hata alivyokuwa makamu wa rais tu.

Cheo cha Ukuu wa Wilaya sijawahi kuona ulazima wake, ila, kwa kuwa kipo, watu wanaweza kukitumia kufanya kazi nzuri pia.
Nakubaliana na wewe
 
Nikki ni msomaji msomaji tu kama alivyo Peter Msigwa.

Ni wazee wa Quotes. Sidhani kama wana eneo lolote la specialisation.

Nikki anaweza kuwa anahojiwa masuala ya Muziki yeye akaanza kutoa quotes za Mandela au Magufuli.
Kuna wenye PhD na hawajaelimika. Huyu kiazi anajipa promo tu. Hata hicho kitabu alichomuomba Kiranga siyo lazima kiwe kimemsaidia. Anapenda tu madaraka(alishawahi kusema anataka kuwa rais),na pia naskia aliwaponda wenzake kuwa yeye ni rapper bora kwasababu kasoma. Kama yeye ndiye huyu Countrywide , nimemtoa maanani kabisa.
 
Inawezekana wewe ujifunze kusoma na kuelewa
Hii itakuwa ndiyo id yake. Kama alivyozoea kuwaponda wasanii wenzake eti hawajasoma Kwahiyo yeye ndiye bora kuliko wao, ndivyo hivyo hivyo ana behave humu JF kama kijimalaya flani tu.
 
Umejuaje kama hajajitambulisha?
Weka picha na video za utambulisho hapa tuone?

Tatizo lenu nyie watu Kila kitu mnakichukulia ki-hip hop tu, u-DC si usanii , kinahitaji maturity Ila nyinyi mnakichukulia usanii usanii tu.

So unataka kusema DC Kesha maliza Kisarawe yoote? Kakutana na madiwani, kakutana wananchi wote, kakutana na wakuu wa taasisi zote zilizopo hapo wilayani kwake?

Period
 
Kuna wenye PhD na hawajaelimika. Huyu kiazi anajipa promo tu. Hata hicho kitabu alichomuomba Kiranga siyo lazima kiwe kimemsaidia. Anapenda tu madaraka(alishawahi kusema anataka kuwa rais),na pia naskia aliwaponda wenzake kuwa yeye ni rapper bora kwasababu kasoma. Kama yeye ndiye huyu Countrywide , nimemtoa maanani kabisa.
I have guessed same thing , Kwamba huyu Countrywide ndiye DC mwenyewe, hovyo zake.
 
Mkuu,

Mimi ni mdau wa Kisarawe. Pugu, Kazimzumbwi, Kinyanyiko, Minaki, Chanzige, Maneromango, Samvulachole, Masaki (original), kote kwetu huko. Sasa niko New York City.

Nafurahi kumuona DC wa Kisarawe akifanya kazi kupitia mitandao, napata habari za kazi zake mara moja. Anafanya kazi kwa "ushirikishwaji wa umma", si kwa kujifungia.

Wewe hujalazimishwa kufuatilia habari za Kisarawe wala kuchangia. Kama unaona hazikuhusu, zipotezee tu.

Kwani kuna mtu kakulazimisha kufuatilia na kuchangia habari hizi?

Kikubwa zaidi, DC namjua naweza kumtafuta mara moja nikamuambia hapo kuna mtu gani atakusaidia vipi, mtu gani muepuke, fulani mwizi, sokoni kuna mpango gani wa kuuangalia. Hospitali pale kuna upigaji gani.Nawajua watu wa pale kwa namna ambayo yeye itakuwa vigumu kuwajua mara moja.

Sasa hapo napo utalaumu DC kufanya kazi kwa uwazi mitandaoni ili hata watu wa Kisarawe tulio New York City na sisi tujue maendeleo ya kwetu na kusaidia

Mkuu,

Mimi ni mdau wa Kisarawe. Pugu, Kazimzumbwi, Kinyanyiko, Minaki, Chanzige, Maneromango, Samvulachole, Masaki (original), kote kwetu huko. Sasa niko New York City.

Nafurahi kumuona DC wa Kisarawe akifanya kazi kupitia mitandao, napata habari za kazi zake mara moja. Anafanya kazi kwa "ushirikishwaji wa umma", si kwa kujifungia.

Wewe hujalazimishwa kufuatilia habari za Kisarawe wala kuchangia. Kama unaona hazikuhusu, zipotezee tu.

Kwani kuna mtu kakulazimisha kufuatilia na kuchangia habari hizi?

Kikubwa zaidi, DC namjua naweza kumtafuta mara moja nikamuambia hapo kuna mtu gani atakusaidia vipi, mtu gani muepuke, fulani mwizi, sokoni kuna mpango gani wa kuuangalia. Hospitali pale kuna upigaji gani.Nawajua watu wa pale kwa namna ambayo yeye itakuwa vigumu kuwajua mara moja.

Sasa hapo napo utalaumu DC kufanya kazi kwa uwazi mitandaoni ili hata watu wa Kisarawe tulio New York City na sisi tujue maendeleo ya kwetu na kusaidia?
Ndg yangu Kiranga tangu umehitimu Tambaza umekuwa tofauti Sana, yaani upo New York unamuelekeza Jamaa wa Kisarawe amasaidie DC kutawala?

Mnampoteza Sana huyu Niki Simon
 
Back
Top Bottom