Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Nikki wa Pili aanza kutekeleza majukumu

Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Nikki wa Pili aanza kutekeleza majukumu

Huyo mtaka anaheshimika kwa nani? Kulipa watu wamsifie? File lake la aliyofanya simiyu lipo asubiri muda muafaka
Basi huyo mtaka ni mjanja anafanya madudu kimya kimya na ana kuja public very clean na watu hawamjui madudu yake. Basi ni matured mno.
 
Kwa hiyo issue ni Nikki anatembea na makamera au issue ni cheo cha Ukuu wa Wilaya hakina tija?
Issue tu Mimi huwa ni watu kutembea na macamera as if ni utendaji hyo ya UDC Sina shida nayo, angekuwa DED tungempima implentation zake kwenye wilaya aliyopo.
Pia UDC naona ni cheo kisicho na tija twaweza kubaki na ma DED wilayani na DAs basi maana UDC yoyote anaweza kuwa.
 
Basi huyo mtaka ni mjanja anafanya madudu kimya kimya na ana kuja public very clean na watu hawamjui madudu yake. Basi ni matured mno.
Watu wanamjua, Ila wewe ndio humjui. Wewe sikuweki kwenye kundi la watu
 
Issue tu Mimi huwa ni watu kutembea na macamera as if ni utendaji hyo ya UDC Sina shida nayo, angekuwa DED tungempima implentation zake kwenye wilaya aliyopo.
Pia UDC naona ni cheo kisicho na tija twaweza kubaki na ma DED wilayani na DAs basi maana UDC yoyote anaweza kuwa.
Wewe una cheo gani?
 
Issue tu Mimi huwa ni watu kutembea na macamera as if ni utendaji hyo ya UDC Sina shida nayo, angekuwa DED tungempima implentation zake kwenye wilaya aliyopo.
Pia UDC naona ni cheo kisicho na tija twaweza kubaki na ma DED wilayani na DAs basi maana UDC yoyote anaweza kuwa.
Donald Rumsfeld alisema "You go to war with the army you have, not the army you want".
 
Mtafute umuulize. Yeye ni public official.

Publicity unayoona haina impact wewe inaweza kuwa na impact kubwa kwa wengine.

Viongozi wana wajibu wa kuwapa wananchi taarifa wanafanya kazi gani.

Mimi naona tatizo kwa viongozi ambao wanajificha hatujui wanafanya nini.

Viongozi wanaofanya kazi kwa uwazi, hata wanapofanya vibaya, tunajua, kwa sababu wanafanya kazi kwa uwazi.

Nashangaa unapokemea uwazi.
Kwanza napenda ufahamu kuwa, uwazi haupo kwenye media ,uwazi upo kwenye vikao rasmi.

Pili, kiongozi huwa hapimwi kwa kiasi gani ameonekana kwenye media isipokuwa amefanya nini, Kuna viongozi kibao wametumia media/ publicity wamepotea kwa sababu rating yao imeonesha media was just a show off na ni sehemu ya kujificha tu Ila huko ground hakuna kitu.
Mwisho, mwambieni Mh.NiK afanye kazi zaidi aachane na media za show off, yeye ana bahati tu Kwamba media zipo karibu Sana na Kisarawe Ila Kuna wenzake huko Namtumbo wanapiga kazi bila hata media na wananchi wanaridhika.
 
Kwanza napenda ufahamu kuwa, uwazi haupo kwenye media ,uwazi upo kwenye vikao rasmi.

Pili, kiongozi huwa hapimwi kwa kiasi gani ameonekana kwenye media isipokuwa amefanya nini, Kuna viongozi kibao wametumia media/ publicity wamepotea kwa sababu rating yao imeonesha media was just a show off na ni sehemu ya kujificha tu Ila huko ground hakuna kitu.
Mwisho, mwambieni Mh.NiK afanye kazi zaidi aachane na media za show off, yeye ana bahati tu Kwamba media zipo karibu Sana na Kisarawe Ila Kuna wenzake huko Namtumbo wanapiga kazi bila hata media na wananchi wanaridhika.
Kiongozi anayefikia maamuzi kwenye vikao rasmi, halafu asiyatangaze kwenye media ni muwazi kuliko kiongozi anayefikia maamuzi kwenye vikao rasmi na kutangaza kwenye media?

Kiongozi anayefanya mambo kwa usiri, bila kutangaza, utampimaje kafanya nini wakati hujui kafanya nini?
 
Hebu mwacheni dc afanye kazi yake
Mpeni muda ndiyo mje mjadili utendaji
Wake

Ova
 
Inawezekana ma camera yanamfuata yeye na yeye hayafuati ma kamera.

Hapo utamlaumu pia?
Na hii ndy ilikuwa hoja yangu cariha ..Hii hoja ni simple sn km mtu akiwa mwelewa kuhusu huyu anayejadiliwa hapa ni mtu wa Aina gani

Mtaka uliyemtolea mfano hakuwahi kujulikana kabla hajachaguliwa kuwa..lkn Nikki unaelewa ni Nani

Kwangu Mimi mambo km haya nadhani yanatakiwa yawe public watu wajue jamaa wanachofanya badala ya kuficha makamera km unavyotaka miss cariha
 
So what? Sasa Kama alikuwa msanii mkubwa Sana why amekubali kuwa DC mdogo Sana.
This is ridiculous
Kaabla ya kuwa DC alikuwa ni msanii mkubwa san na maarufu sana

Kiongozi anayefikia maamuzi kwenye vikao rasmi, halafu asiyatangaze kwenye media ni muwazi kuliko kiongozi anayefikia maamuzi kwenye vikao rasmi na kutangaza kwenye media?

Kiongozi anayefanya mambo kwa usiri, bila kutangaza, utampimaje kafanya nini wakati hujui kafanya nini?
Maeneo rasmi ya matangazo ya shughuli za viongozi wa ngazi ya DC ni kwenye mikutano ya Kijiji, kata, Baraza la madiwani na vikao vya kamati ya ulinzi na usalama vya wilaya husika.

Kupitia Hayo maeneo Kuna watu ambao wanatuma taarifa za Siri katika ngazi za juu za serikali Kwamba huyu DC anafaa ama hafai.

Sasa habari za DC wa Kisarawe zinanihusu nini Mimi mkazi wa Kakonko huku Kigoma ? Kama sio show off?
 
Back
Top Bottom