TANZIA Mkuu wa Wilaya ya Mtwara, Wakili Avod Mmanda afariki Dunia. Atazikwa Mtwara na Serikali na wahudhuriaji wasiozidi 10

Huko pia hakuna DJ wala dancer kila mtu na mzigo wake
 
“Tumekubaliana na familia kwamba sisi Serikali ndiyo tutakaosimamia mazishi yake…na hakutakuwa na kusafirisha mwili…atazikwa hapa Mtwara…na hatazikwa na zaidi ya watu kumi,” Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Gelasius Byakanwa akielezea taratibu za mazishi ya liyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Evod Mmanda aliyefariki dunia Aprili 26, 2020 katika Hospitali ya Rufaa Ligula alipokuwa akipatiwa matibabu.

#AzamTVUpdates
 
Huu ni Wakati wa kuchukua tahadhari

Mikusanyiko hairusiwi
 
Huu ni Wakati wa kuchukua tahadhari Mikusanyiko hairusiwi
 
Shikamoo Corona,huko Morogoro napo naibu meya katangulia mbele ya haki kwa Corona!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…