TANZIA Mkuu wa Wilaya ya Nyang'wale Mkoani Geita, Hamim Buzohera Gwiyama afariki dunia

Mkuu kwa hili wacha nikupinge, sijui umezaliwa na Kukulia mazingira gani lakini wenzio tumekuwa tukitumia tiba hii miaka na miaka
Kujifukiza kunaua watanzania tena wenye vyeo wamefuata ushauri mbovu wa Rais Magufuli. Tunamaliza watanzania wenzetu aslani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Poleni sana kwa msiba wafiwa ,ndugu,jamaa na marafiki.

Kigogo amesemaje?
 
wewe nawe unatudanganya, tuache vipi kumuamini mtoa post tukuamini wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…