mimiamadiwenani
JF-Expert Member
- Mar 9, 2022
- 5,718
- 7,784
Yeah akizingua anapigwa tu, halafu muhuni hawazi wala niniHabari ikimfikia mama, mkuu wa wilaya anakuwa mtanzania mwenzetu
Yani anampiga mtoto, tena mtoto wa kike kwenye utawala wa Rais mwenye jinsia ya kike?
Sidhani kama anajali, so bado hajakomokaKwisha habari yake. Yaani hapo hakuna namna DC atachomoka.
Ulitaka afanye nini we' zee buji bujiMama Samia, muondoe huyo Simalenga, ame prove failure
Arudi tu kuendelea kuwa mkurugenzi wa vipindi kwenye redio ya MawinguKwisha habari yake. Yaani hapo hakuna namna DC atachomoka.
Si ndo safi auJamaa gani?
Hawa Watoto wa maDC wastaafu huwa ni watata sana kama alivyokuwa Ole Sabaya
Ila mvulana unaweza kumpiga?This is not right at all. Huyo mkuu wa wilaya alikuwa na issue zake binafsi personal issues.
Huwezi ukampiga mtu especially a girl. That's bodily harm assault. Mpuuzi sana
Humuongezei wala kumpunguzia chochoteKumbe jamaa ni mbukunyuku hivyo, nilikuwa namchukulia kama mtu mwenye hekima zake
Acha wivu,pambana na umasikini wakoJamaa linajifanyaga very serious, intelligent kumbe kichwani hamna kitu..
Kama kampiga mangumi kakosea, msichana huyo angempiga kofi tu basi, ikiwa alimvunjia heshima kwa kiwango kikubwa.Hii haikubaliki kabisa. Hana huo uhalali wa kumpiga huyo msichana kwa vyovyote vile tena kwa mangumi. Mimi na bangi zangu siwez famya hivyo.
Ngoja nimgoogle hiyu DC. Aibu aibu kabisa.
Mama nakuomba mtumbue haraka sana huyu jamaa. Kaweka doa kwenye serikali yako.
Acha wivuSimalenga anajifanyaga smart sana kichwani yamemkuta mabig sasa ooohhh.
HatokiMh. Rais wetu Dr. Samia, tunaomba piga chini haraka sana huyo DC, sio mtu huyo, fukuza haraka kabisa, OMG. who the hell is he?
kama umesikiliza maelezo yake anasema wazazi wake hawakuwapo nyumbani, hospitali ni gharama unadhani angetibiwa bure?Mmmhh, yaani akaenda kulala badala ya kwenda hospitali au kuomba msaada wa dawa za maumivu? Na hili bandage alifungwa kwa ajili gani? Alivuja damu? Mbona haoneshi kuvimba! Sitetei ukatili wa aina yoyote ile ila...Something is wrong somewhere!
Huyu jamaa sikuwahi kumkubali hata kwenye uigizaji, he is always overdoing shit! Alot of bluffsSimalenga anajifanyaga smart sana kichwani yamemkuta mabig sasa ooohhh.
Kwa nchi hii hao ndo wanamtoboa eg. Bashite, Dr February, Prof. Mmauye etc.Huyu jamaa sikuwahi kumkubali hata kwenye uigizaji, he is always overdoing shit! Alot of bluffs
Tulia wewe!Leteni video akipigwa ngumi, nje na hapo ni porojo, acheni uchochezi
Utaelewa tu!!Kuwa muigizaji ni kipaji chake, huyo ni mtumishi wa umma, presidential appointee..
Naona jamaa wanataka kumchafulia CV yake